Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
VPN is useless kama hakuna Internet, satellite phones utatumia kampuni iliyosajiliwa wapi au frequency zipi ambazo TCRA hawazijui, mawasiliano yote ya ndani na nje ya nchi yanarekodiwa.
Ukitaka ufanikiwe kuficha mambo yaks ni bora kutumia mini za kizamani za kuandika barua au Jumbe kwenye karatasi na kuzituma kwa mabasi au human couriers.
Well said.