Uchaguzi 2020 CHADEMA imejiandaa vipi kwenye mfumo wa Mawasiliano, hasa Tundu Lissu?

Uchaguzi 2020 CHADEMA imejiandaa vipi kwenye mfumo wa Mawasiliano, hasa Tundu Lissu?

Chadema imajiandaa vipi kwenye mfumo wa mawasiliano hasa Tundu Lisu?

Nitashangaa sana kama Tundu Lisu anatumia. Vodacom, Tigo, Airtel, Halotel, Zantel au Ttcl.

Ni lazima Tundu Lisu atumie satellite phone kwa Tanzania unaweza kuitumia kampuni kama Thuraya.


Kuna tabia ya kishamba kuingilia faragha za watu sina hakika kama Chadema wako aware kulinda faragha za viongozi wao wakuu na mgombea wao wa Urais Tundu Lisu?
Watumie satellite wanataka kuficha nini? Kama hakuna janjajanja watumie tu voda na airtel
 
Vipi kuhusu satellite phone kama Thuraya?

Satellite phone lazima uombe vibali TCRA ya kuzitumia hapa nchini, japo hiyo ni ishu ndogo...wanaweza kui by pass kama watakuwa na kitengo kizuri waka outsource hizo military phone kutoka private company wakawa wanazitumia wao maana kwa chama kuagiza na kuzitumia sidhani kama watakubaliwa.
 
Ina mianya ambayo watu wanaweza kupita na kufanya yao. Usione zile kelele kwamba serikali imepoteza sijui trilioni ukajua watu walikuwa wana uchungu na hiyo trillioni kweli! ile ni vitu vilinunuliwa....
Boss Tuambie iyo mianya hata ukitumia technical terms haina shida mimi pia ni mwanafield wa technology
 
Nina uhakika cdm members watakuwa wanaelewa hilo na wamelifanyia kazi ipasavyo, ila kiukweli katika wakati kama huu mawasilianao yenye manufaa zaidi ni yale ya kuonana na muhusika mkayajenga papo kwa hapo na kuachana, vinginevyo inzi ni wengi wanaruka.
Hapa ndipo ninapomuelewa vizuri Jasusi Membe ni kwa nini alikwenda Dubai.

Kweli Membe ni jasusi mbobezi
 
CHADEMA imajiandaa vipi kwenye mfumo wa mawasiliano hasa Tundu Lisu? Nitashangaa sana kama Tundu Lissu anatumia. Vodacom, Tigo, Airtel, Halotel, Zantel au TTCL.

Ni lazima Tundu Lisu atumie satellite phone kwa Tanzania unaweza kuitumia kampuni kama Thuraya.

Kuna tabia ya kishamba kuingilia faragha za watu sina hakika kama Chadema wako aware kulinda faragha za viongozi wao wakuu na mgombea wao wa Urais Tundu Lissu?
Walishalifanyia kazi kitambo sana hilo ndio maana wameweza kufika hapa walipo leo
 
Jasusi katuacha gizani, no kampeni no kuonekana popote ahahaa...!
Uchaguzi huu kuna mkakati thabiti wa kuing'owa ccm.
IMG-20200921-WA0018.jpg
 
Sasa Director of Communications Jon Mrema ndio Huyo anachangisha buku buku Twitter walau apate hela ya kampeni, Sasa hapo unategemea kweli wanaweza waka ajiri Experts and Consultants Wakulinda mawasiliano yao? Sattelite phone ni mbali sana na nadhani nazo zinakutana na TCRA kama Facilitate za mawasiliano japo I'm not sure about it ila tu kuna Platforms ziko very secured japo sio 100% mana ukiwa ndani ya network huwezi kuwa completely anonymous, Kama chadema ameshindwa hata kuwa na reliable Online Tv au Channel ya Kawaida, je swala la kulinda mawasiliano ataliweza kweli? Hawa jamaa hawana Long term plan Tupo katika ulimwengu wa digital ambao Data is Power wameshindwa kuwa hata na goals za miaka mitano angalu uchaguzi huu ungewakuta wapo kidigital. Kwangu chadema naona hawako serious kabisa na Sitashangaa kukuta top officials wao wanatumia Tecno na Local simcards
Nimeongea haya kama Technologist

Totally agree with you on this!!..Hawa jamaa inaonekana wapo wapo tu hawana mkakati wowote. Hata ACT wazalendo chama kichango wamewazidi kwenye digitization.
 
Nina uhakika cdm members watakuwa wanaelewa hilo na wamelifanyia kazi ipasavyo, ila kiukweli katika wakati kama huu mawasilianao yenye manufaa zaidi ni yale ya kuonana na muhusika mkayajenga papo kwa hapo na kuachana, vinginevyo inzi ni wengi wanaruka.
VPN is useless kama hakuna Internet, satellite phones utatumia kampuni iliyosajiliwa wapi au frequency zipi ambazo TCRA hawazijui, mawasiliano yote ya ndani na nje ya nchi yanarekodiwa.

Ukitaka ufanikiwe kuficha mambo yaks ni bora kutumia mini za kizamani za kuandika barua au Jumbe kwenye karatasi na kuzituma kwa mabasi au human couriers.
 
Ukitaka ufanikiwe kuficha mambo yaks ni bora kutumia mini za kizamani za kuandika barua au Jumbe kwenye karatasi na kuzituma kwa mabasi au human couriers.
Sasa ulichokiandika hapo ☝️ na hicho hapo chini 👇 vinatofautiana nini mkuu?.
...ila kiukweli katika wakati kama huu mawasilianao yenye manufaa zaidi ni yale ya kuonana na muhusika mkayajenga papo kwa hapo na kuachana, vinginevyo inzi ni wengi wanaruka.
 
CHADEMA imajiandaa vipi kwenye mfumo wa mawasiliano hasa Tundu Liss? Nitashangaa sana kama Tundu Lissu anatumia. Vodacom, Tigo, Airtel, Halotel, Zantel au TTCL.

Ni lazima Tundu Lissu atumie satellite phone kwa Tanzania unaweza kuitumia kampuni kama Thuraya.

Kuna tabia ya kishamba kuingilia faragha za watu sina hakika kama Chadema wako aware kulinda faragha za viongozi wao wakuu na mgombea wao wa Urais Tundu Lissu?

Ukitumia hiyo thuraya utashitakiwa na TCRA na faini na kifungo kinakuhusu.
 
Hiv tecno kumbe hazifai
Sasa Director of Communications Jon Mrema ndio Huyo anachangisha buku buku Twitter walau apate hela ya kampeni, Sasa hapo unategemea kweli wanaweza waka ajiri Experts and Consultants Wakulinda mawasiliano yao? Sattelite phone ni mbali sana na nadhani nazo zinakutana na TCRA kama Facilitate za mawasiliano japo I'm not sure about it ila tu kuna Platforms ziko very secured japo sio 100% mana ukiwa ndani ya network huwezi kuwa completely anonymous, Kama chadema ameshindwa hata kuwa na reliable Online Tv au Channel ya Kawaida, je swala la kulinda mawasiliano ataliweza kweli? Hawa jamaa hawana Long term plan Tupo katika ulimwengu wa digital ambao Data is Power wameshindwa kuwa hata na goals za miaka mitano angalu uchaguzi huu ungewakuta wapo kidigital. Kwangu chadema naona hawako serious kabisa na Sitashangaa kukuta top officials wao wanatumia Tecno na Local simcards
Nimeongea haya kama Technologist
 
VPN yatosha.
afu ka tabia haka kamenza ndani ya hii miaka 5 - yaani ni kupekuana pekuana tu hadi vitandani ha ha ha - CCM bana

CDM watakuwa vizuri - ni mambo ya Virtual Private Network njomba!!
...😁😁 alafu wanakuja kusema hazarani kwamba ulimtongoza furani
 
Back
Top Bottom