Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
afu ka tabia haka kamenza ndani ya hii miaka 5 - yaani ni kupekuana pekuana tu hadi vitandani ha ha ha - CCM banaKuna tabia ya kishamba kuingilia faragha za watu sina hakika kama Chadema wako aware kulinda faragha za viongozi wao wakuu na mgombea wao wa Urais Tundu Lisu?
Unaweza kituwekea hapa link ya VPN ambayo iko vizuri watu waipakuwe?VPN yatosha.
afu ka tabia haka kamenza ndani ya hii miaka 5 - yaani ni kupekuana pekuana tu hadi vitandani ha ha ha - CCM bana
CDM watakuwa vizuri - ni mambo ya Virtual Private Network njomba!!
VPN yatosha.
afu ka tabia haka kamenza ndani ya hii miaka 5 - yaani ni kupekuana pekuana tu hadi vitandani ha ha ha - CCM bana
CDM watakuwa vizuri - ni mambo ya Virtual Private Network njomba!!
VPN yatosha.
afu ka tabia haka kamenza ndani ya hii miaka 5 - yaani ni kupekuana pekuana tu hadi vitandani ha ha ha - CCM bana
CDM watakuwa vizuri - ni mambo ya Virtual Private Network njomba!!
VPN kazi yake ni kudanganya mtumia simu aliko. Kwa mfano wewe uko Tanzania unatumia VPN inaonyesha kama uko Uingereza, Kenya au China nk. Hii haifai kwenye udukuzi. Watakudukua tu.Hivi VPN ina encrypt mpaka voice call? na normal sms?
VPN kazi yake ni kudanganya mtumia simu aliko. Kwa mfano wewe uko Tanzania unatumia VPN inaonyesha kama uko Uingereza, Kenya au China nk. Hii haifai kwenye udukuzi. Watakudukua tu. VPN inakufanya uweze kwa mfano kuperuzi website ambayo ni kwa ajili ya nchi nyingine tu. Kwa mfano unataka kuangalia mpira kwa kutumia Sky Sport, ukiwa Tanzania haiwezekani. Lakini ukitumia VPN inakufanya uweze kuona kwa sababu location yako virtually inakuwa uko UK japo uko Tanzania.
VPN siyo kwa ajili ya kulinda mawasiliano yako bali ni kwa ajili ya ku fake locationVPN yatosha.
afu ka tabia haka kamenza ndani ya hii miaka 5 - yaani ni kupekuana pekuana tu hadi vitandani ha ha ha - CCM bana
CDM watakuwa vizuri - ni mambo ya Virtual Private Network njomba!!
Ndiyo. Nadhani kwenye simu bora watumie Whatsup calls na msg.Okay, kwa hiyo hii inakuficha tu kwenye mambo ya mtandaoni, ila kwenye kupiga na kupigiwa simu huko haihusiki sio? Nadhani ndio concern ya mleta mada ipo hapo..
Ndiyo. Nadhani kwenye simu bora watumie Whatsup calls na msg.
Vipi kuhusu satellite phone kama Thuraya?Whatsapp now iko vulnerable... nasikia wamejiongeza sana hao jamaa.. huko wanaweza kufika pia.