Shambaboy jogoli
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 1,223
- 1,627
Watumie satellite wanataka kuficha nini? Kama hakuna janjajanja watumie tu voda na airtelChadema imajiandaa vipi kwenye mfumo wa mawasiliano hasa Tundu Lisu?
Nitashangaa sana kama Tundu Lisu anatumia. Vodacom, Tigo, Airtel, Halotel, Zantel au Ttcl.
Ni lazima Tundu Lisu atumie satellite phone kwa Tanzania unaweza kuitumia kampuni kama Thuraya.
Kuna tabia ya kishamba kuingilia faragha za watu sina hakika kama Chadema wako aware kulinda faragha za viongozi wao wakuu na mgombea wao wa Urais Tundu Lisu?
WhatsApp iko very secured mkuu mana ni end to end encryptionWhatsapp now iko vulnerable... nasikia wamejiongeza sana hao jamaa.. huko wanaweza kufika pia.
Vipi kuhusu satellite phone kama Thuraya?
Ina mianya ambayo watu wanaweza kupita na kufanya yao. Usione zile kelele kwamba serikali imepoteza sijui trilioni ukajua watu walikuwa wana uchungu na hiyo trillioni kweli! ile ni vitu vilinunuliwa....WhatsApp iko very secured mkuu mana ni end to end encryption
Boss Tuambie iyo mianya hata ukitumia technical terms haina shida mimi pia ni mwanafield wa technologyIna mianya ambayo watu wanaweza kupita na kufanya yao. Usione zile kelele kwamba serikali imepoteza sijui trilioni ukajua watu walikuwa wana uchungu na hiyo trillioni kweli! ile ni vitu vilinunuliwa....
Hapa ndipo ninapomuelewa vizuri Jasusi Membe ni kwa nini alikwenda Dubai.Nina uhakika cdm members watakuwa wanaelewa hilo na wamelifanyia kazi ipasavyo, ila kiukweli katika wakati kama huu mawasilianao yenye manufaa zaidi ni yale ya kuonana na muhusika mkayajenga papo kwa hapo na kuachana, vinginevyo inzi ni wengi wanaruka.
Hapa ndipo ninapomuelewa vizuri Jasusi Membe ni kwa nini alikwenda Dubai.
Kweli Membe ni jasusi mbobezi
Walishalifanyia kazi kitambo sana hilo ndio maana wameweza kufika hapa walipo leoCHADEMA imajiandaa vipi kwenye mfumo wa mawasiliano hasa Tundu Lisu? Nitashangaa sana kama Tundu Lissu anatumia. Vodacom, Tigo, Airtel, Halotel, Zantel au TTCL.
Ni lazima Tundu Lisu atumie satellite phone kwa Tanzania unaweza kuitumia kampuni kama Thuraya.
Kuna tabia ya kishamba kuingilia faragha za watu sina hakika kama Chadema wako aware kulinda faragha za viongozi wao wakuu na mgombea wao wa Urais Tundu Lissu?
Mambosasa hana uwezo wa kudeal na Membe.Ikawaje akaishia mikononi mwa Mambosasa?
Labda kama yuko kazini pamoja nao, naweza kuelewa...
Jasusi katuacha gizani, no kampeni no kuonekana popote ahahaa...!Hapa ndipo ninapomuelewa vizuri Jasusi Membe ni kwa nini alikwenda Dubai.
Kweli Membe ni jasusi mbobezi
Uchaguzi huu kuna mkakati thabiti wa kuing'owa ccm.Jasusi katuacha gizani, no kampeni no kuonekana popote ahahaa...!
Sasa Director of Communications Jon Mrema ndio Huyo anachangisha buku buku Twitter walau apate hela ya kampeni, Sasa hapo unategemea kweli wanaweza waka ajiri Experts and Consultants Wakulinda mawasiliano yao? Sattelite phone ni mbali sana na nadhani nazo zinakutana na TCRA kama Facilitate za mawasiliano japo I'm not sure about it ila tu kuna Platforms ziko very secured japo sio 100% mana ukiwa ndani ya network huwezi kuwa completely anonymous, Kama chadema ameshindwa hata kuwa na reliable Online Tv au Channel ya Kawaida, je swala la kulinda mawasiliano ataliweza kweli? Hawa jamaa hawana Long term plan Tupo katika ulimwengu wa digital ambao Data is Power wameshindwa kuwa hata na goals za miaka mitano angalu uchaguzi huu ungewakuta wapo kidigital. Kwangu chadema naona hawako serious kabisa na Sitashangaa kukuta top officials wao wanatumia Tecno na Local simcards
Nimeongea haya kama Technologist
Mlipondukua Membe alikuwa na nini la maana ?Wadukuliwe wana nini la maana?
Maneno na vitendo vyao wanajianika wenyewe wala wasisake mchawi
Sasa kama walifikia kumdukua hadi Yusuph Makamba kwani alikuwa na nini ?Wadukuliwe wana nini la maana?
Maneno na vitendo vyao wanajianika wenyewe wala wasisake mchawi
Hiyo ndo mpango mzimaVipi kuhusu satellite phone kama Thuraya?
VPN is useless kama hakuna Internet, satellite phones utatumia kampuni iliyosajiliwa wapi au frequency zipi ambazo TCRA hawazijui, mawasiliano yote ya ndani na nje ya nchi yanarekodiwa.Nina uhakika cdm members watakuwa wanaelewa hilo na wamelifanyia kazi ipasavyo, ila kiukweli katika wakati kama huu mawasilianao yenye manufaa zaidi ni yale ya kuonana na muhusika mkayajenga papo kwa hapo na kuachana, vinginevyo inzi ni wengi wanaruka.
Sasa ulichokiandika hapo βοΈ na hicho hapo chini π vinatofautiana nini mkuu?.Ukitaka ufanikiwe kuficha mambo yaks ni bora kutumia mini za kizamani za kuandika barua au Jumbe kwenye karatasi na kuzituma kwa mabasi au human couriers.
CHADEMA imajiandaa vipi kwenye mfumo wa mawasiliano hasa Tundu Liss? Nitashangaa sana kama Tundu Lissu anatumia. Vodacom, Tigo, Airtel, Halotel, Zantel au TTCL.
Ni lazima Tundu Lissu atumie satellite phone kwa Tanzania unaweza kuitumia kampuni kama Thuraya.
Kuna tabia ya kishamba kuingilia faragha za watu sina hakika kama Chadema wako aware kulinda faragha za viongozi wao wakuu na mgombea wao wa Urais Tundu Lissu?
Sasa Director of Communications Jon Mrema ndio Huyo anachangisha buku buku Twitter walau apate hela ya kampeni, Sasa hapo unategemea kweli wanaweza waka ajiri Experts and Consultants Wakulinda mawasiliano yao? Sattelite phone ni mbali sana na nadhani nazo zinakutana na TCRA kama Facilitate za mawasiliano japo I'm not sure about it ila tu kuna Platforms ziko very secured japo sio 100% mana ukiwa ndani ya network huwezi kuwa completely anonymous, Kama chadema ameshindwa hata kuwa na reliable Online Tv au Channel ya Kawaida, je swala la kulinda mawasiliano ataliweza kweli? Hawa jamaa hawana Long term plan Tupo katika ulimwengu wa digital ambao Data is Power wameshindwa kuwa hata na goals za miaka mitano angalu uchaguzi huu ungewakuta wapo kidigital. Kwangu chadema naona hawako serious kabisa na Sitashangaa kukuta top officials wao wanatumia Tecno na Local simcards
Nimeongea haya kama Technologist
...ππ alafu wanakuja kusema hazarani kwamba ulimtongoza furaniVPN yatosha.
afu ka tabia haka kamenza ndani ya hii miaka 5 - yaani ni kupekuana pekuana tu hadi vitandani ha ha ha - CCM bana
CDM watakuwa vizuri - ni mambo ya Virtual Private Network njomba!!