Pre GE2025 CHADEMA imekuwa kitega uchumi cha viongozi wapya kujipatia pesa za kujikimu wao na familia zao

Pre GE2025 CHADEMA imekuwa kitega uchumi cha viongozi wapya kujipatia pesa za kujikimu wao na familia zao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Wanafanya hivyo kwa mgongo wa kukusanya pesa kwaajili ya kuendesha chama, kitu ambacho kabla ya uchaguzi walipiga kelele sana kwamba ndani ya chama hicho kuna matumizi mabaya ya pesa za chama, hali ya kua hazikuepo. Ni wazi ilikua chuki binafsi na uzushi wa kuwapaint baadhi ya watu ndani ya waonekane wabaya halafu wao waonekane malaika. Kiko wapi sasa mbona ombaomba with nonstop?

Zaidi ya hapo walilalamika sana kwamba katiba ya Chadema ni mbovu sana inahitaji marekebisho ya haraka sana, sifahamu kwanini hapakua na no reform no elections, na viongozi wapya hawana khabari nayo bali sasa wanawahadaa wananchi eti wasishiriki uchaguzi mkuu.

Ni wazi matapeli na vibaka wa siasa walioshika usukani kuiongoza Chadema hawana malengo mengine yoyote ya kisiasa, ispokua kutafuta pesa na kuhakikisha wanamkomba pesa ya kiwango chochote mwanachadema maskini bila huruma na bila kutaja au kumwambia kinahitajika kiasi gani pesa, kwa muda gani na kwa matumizi gani specifically, na hapo ndipo haswa upigaji ulipo jificha.

Kumbuka,
uchaguzi mkuu wa Tanazania ni mapema October mwaka huu 2025🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Wewe ita kuwa huwa una muota lissu ana kujegeja, maana kutwa kumsema sema.
Gentleman,
relax,

halafu uliemtaja anahusikaje kwenye hiyo hoja hiyo muhimu hapo mezani ndungu yangu mpendwa ambae tayari umetapeliwa pesa yako kidogo ya bando na hao vibaka wa siasa?🐒
 
Wanafanya hivyo kwa mgongo wa kukusanya pesa kwaajili ya kuendesha chama, kitu ambacho kabla ya uchaguzi walipiga kelele sana kwamba ndani ya chama hicho kuna matumizi mabaya ya pesa za chama, hali ya kua hazikuepo. Ni wazi ilikua chuki binafsi na uzushi wa kuwapaint baadhi ya watu ndani ya waonekane wabaya halafu wao waonekane malaika. Kiko wapi sasa mbona ombaomba with nonstop?

Zaidi ya hapo walilalamika sana kwamba katiba ya Chadema ni mbovu sana inahitaji marekebisho ya haraka sana, sifahamu kwanini hapakua na no reform no elections, na viongozi wapya hawana khabari nayo bali sasa wanawahadaa wananchi eti wasishiriki uchaguzi mkuu.

Ni wazi matapeli na vibaka wa siasa walioshika usukani kuiongoza Chadema hawana malengo mengine yoyote ya kisiasa, ispokua kutafuta pesa na kuhakikisha wanamkomba pesa ya kiwango chochote mwanachadema maskini bila huruma na bila kutaja au kumwambia kinahitajika kiasi gani pesa, kwa muda gani na kwa matumizi gani specifically, na hapo ndipo haswa upigaji ulipo jificha.

Kumbuka,
uchaguzi mkuu wa Tanazania ni mapema October mwaka huu 2025🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Andika mambo ya chama chako cha mazezeta
 
Mleta mada kama na wewe unataka uchangiwe wivu upunguze sema buana..Hatutasita kukupa chochote.
Sasa gentleman,
mashamba yangu makubwa vile pamoja na ming'ombe ya maana vile nani ataitusua kwa mfano?🤣

kuomba omba kuchangiwa pesa na utapeli ni tabia mbaya 🐒
 
Wanafanya hivyo kwa mgongo wa kukusanya pesa kwaajili ya kuendesha chama, kitu ambacho kabla ya uchaguzi walipiga kelele sana kwamba ndani ya chama hicho kuna matumizi mabaya ya pesa za chama, hali ya kua hazikuepo. Ni wazi ilikua chuki binafsi na uzushi wa kuwapaint baadhi ya watu ndani ya waonekane wabaya halafu wao waonekane malaika. Kiko wapi sasa mbona ombaomba with nonstop?

Zaidi ya hapo walilalamika sana kwamba katiba ya Chadema ni mbovu sana inahitaji marekebisho ya haraka sana, sifahamu kwanini hapakua na no reform no elections, na viongozi wapya hawana khabari nayo bali sasa wanawahadaa wananchi eti wasishiriki uchaguzi mkuu.

Ni wazi matapeli na vibaka wa siasa walioshika usukani kuiongoza Chadema hawana malengo mengine yoyote ya kisiasa, ispokua kutafuta pesa na kuhakikisha wanamkomba pesa ya kiwango chochote mwanachadema maskini bila huruma na bila kutaja au kumwambia kinahitajika kiasi gani pesa, kwa muda gani na kwa matumizi gani specifically, na hapo ndipo haswa upigaji ulipo jificha.

Kumbuka,
uchaguzi mkuu wa Tanazania ni mapema October mwaka huu 2025🐒

Mungu Ibariki Tanzania
wacha wale kama zipo viongozi wetu wapendwa
 
Una katwa na mizmu
relax gentleman na matusi yako yakutie nguvu upate mihemko zaidi,

chadema haina tena malengo ya kisiasa gentleman,

ina malengo ya kupata pesa za kula viongoz pekeyake tofauti na misingi ya kuanzishwa kwake.

haitaki kuskia tena habari za uchaguzi,


kweli si kweli gentleman, au hujaliona hilo?🐒
 
Sasa gentleman,
mashamba yangu makubwa vile pamoja na ming'ombe ya maana vile nani ataitusua kwa mfano?🤣

kuomba omba kuchangiwa pesa na utapeli ni tabia mbaya 🐒
Kwa sababu ushanyonya wananchi tayari....sasa upo kujitutumua
 
Wanafanya hivyo kwa mgongo wa kukusanya pesa kwaajili ya kuendesha chama, kitu ambacho kabla ya uchaguzi walipiga kelele sana kwamba ndani ya chama hicho kuna matumizi mabaya ya pesa za chama, hali ya kua hazikuepo. Ni wazi ilikua chuki binafsi na uzushi wa kuwapaint baadhi ya watu ndani ya waonekane wabaya halafu wao waonekane malaika. Kiko wapi sasa mbona ombaomba with nonstop?

Zaidi ya hapo walilalamika sana kwamba katiba ya Chadema ni mbovu sana inahitaji marekebisho ya haraka sana, sifahamu kwanini hapakua na no reform no elections, na viongozi wapya hawana khabari nayo bali sasa wanawahadaa wananchi eti wasishiriki uchaguzi mkuu.

Ni wazi matapeli na vibaka wa siasa walioshika usukani kuiongoza Chadema hawana malengo mengine yoyote ya kisiasa, ispokua kutafuta pesa na kuhakikisha wanamkomba pesa ya kiwango chochote mwanachadema maskini bila huruma na bila kutaja au kumwambia kinahitajika kiasi gani pesa, kwa muda gani na kwa matumizi gani specifically, na hapo ndipo haswa upigaji ulipo jificha.

Kumbuka,
uchaguzi mkuu wa Tanazania ni mapema October mwaka huu 2025🐒

Mungu Ibariki Tanzania

GFfUGgLWkAAh9uE.jpeg
 
Wanafanya hivyo kwa mgongo wa kukusanya pesa kwaajili ya kuendesha chama, kitu ambacho kabla ya uchaguzi walipiga kelele sana kwamba ndani ya chama hicho kuna matumizi mabaya ya pesa za chama, hali ya kua hazikuepo. Ni wazi ilikua chuki binafsi na uzushi wa kuwapaint baadhi ya watu ndani ya waonekane wabaya halafu wao waonekane malaika. Kiko wapi sasa mbona ombaomba with nonstop?

Zaidi ya hapo walilalamika sana kwamba katiba ya Chadema ni mbovu sana inahitaji marekebisho ya haraka sana, sifahamu kwanini hapakua na no reform no elections, na viongozi wapya hawana khabari nayo bali sasa wanawahadaa wananchi eti wasishiriki uchaguzi mkuu.

Ni wazi matapeli na vibaka wa siasa walioshika usukani kuiongoza Chadema hawana malengo mengine yoyote ya kisiasa, ispokua kutafuta pesa na kuhakikisha wanamkomba pesa ya kiwango chochote mwanachadema maskini bila huruma na bila kutaja au kumwambia kinahitajika kiasi gani pesa, kwa muda gani na kwa matumizi gani specifically, na hapo ndipo haswa upigaji ulipo jificha.

Kumbuka,
uchaguzi mkuu wa Tanazania ni mapema October mwaka huu 2025🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Miandiko ya wanachama wa chama chakavu utaitambua tu. Na bado ngoma ndio kwanza inaanza. Kufika Oktoba mtakuwa hoi taabani. Lissu atawaendesha puta hadi mnyooke!
 
Kwa sababu ushanyonya wananchi tayari....sasa upo kujitutumua
wananchi hawapaswi kutapeliwa na vibaka wa kisiasa kirahisi hivyo my Lady, wanainchi wanahitaji kupelekewa maendeleo hususan mahitaji yao ya kila siku 🐒
 
Hakuna wanaokula jasho la wananchi kupita maelezo kama chama cha Kijani.
Kula kwa urefu wa kamba yako!
 
Miandiko ya wanachama wa chama chakavu utaitambua tu. Na bado ngoma ndio kwanza inaanza. Kufika Oktoba mtakuwa hoi taabani. Lissu atawaendesha puta hadi mnyooke!
Gentleman,
na hii ni trela tu picha lenyewe bado,

utafurahi mbona kwa wakati muafaka 🐒
 
wananchi hawapaswi kutapeliwa na vibaka wa kisiasa kirahisi hivyo my Lady, wanainchi wanahitaji kupelekewa maendeleo hususan mahitaji yao ya kila siku 🐒
Msifanye hivyo jamani,au siasa ndivyo zilivyo?
 
MISION ACCOMLPISHED, BATA KWA KWENDA MBELE WAJINGA NDIO WALIOWAO, WATOTO WA MJINI WASHAMPELEKA MTU KIBRA SASA NI BATA BATANI, LEMA HUNA KIU LEO?, LISSU AMEMALIZA MZINGA WOTE 😀
 

Attachments

  • IMG_20250228_173857_947.jpg
    IMG_20250228_173857_947.jpg
    91.7 KB · Views: 1
Hakuna wanaokula jasho la wananchi kupita maelezo kama chama cha Kijani.
Kula kwa urefu wa kamba yako!
mpaka sasa idadi ya waliotapeliwa na hao vibaka wa kisiasa ni wale tu waliokuako kwenye uzinduzi wa mfumo utapeli wa pesa kidigitali 🤣
 
Back
Top Bottom