Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gentleman,Top dogs eat under dogs.
Nothing new under the sun , this is the world of dog eats dog.
None loves you than yourself not even your parents, nothing is free under the sun, everything is traded.
Even fries can't stay with you if you don't dusts or wound , they run away. So who are you do you think he thinks about you.
People eat others just using their emotions
VYAMA VYA UPINZANI N MAPEPO MKUU WAPIGAJI WATUPUWanafanya hivyo kwa mgongo wa kukusanya pesa kwaajili ya kuendesha chama, kitu ambacho kabla ya uchaguzi walipiga kelele sana kwamba ndani ya chama hicho kuna matumizi mabaya ya pesa za chama, hali ya kua hazikuepo. Ni wazi ilikua chuki binafsi na uzushi wa kuwapaint baadhi ya watu ndani ya waonekane wabaya halafu wao waonekane malaika. Kiko wapi sasa mbona ombaomba with nonstop?
Zaidi ya hapo walilalamika sana kwamba katiba ya Chadema ni mbovu sana inahitaji marekebisho ya haraka sana, sifahamu kwanini hapakua na no reform no elections, na viongozi wapya hawana khabari nayo bali sasa wanawahadaa wananchi eti wasishiriki uchaguzi mkuu.
Ni wazi matapeli na vibaka wa siasa walioshika usukani kuiongoza Chadema hawana malengo mengine yoyote ya kisiasa, ispokua kutafuta pesa na kuhakikisha wanamkomba pesa ya kiwango chochote mwanachadema maskini bila huruma na bila kutaja au kumwambia kinahitajika kiasi gani pesa, kwa muda gani na kwa matumizi gani specifically, na hapo ndipo haswa upigaji ulipo jificha.
Kumbuka,
uchaguzi mkuu wa Tanazania ni mapema October mwaka huu 2025🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Gentleman,Mkuu,
Naona una hamisha magoli na kuamua kububujikwa Kama nduguyo comrade Lucas.
Una ambiwa lete ushahidi wewe unaleta maneno matupu/ porojo za vijiwe vya kahawa??
Wewe ni mwazili wa porojo,hila,uzandiki,fitina,uzushi na uongo ??!
Gentleman,Mtoa mada wewe ni timu mbowe acha uongozi mpya ufanye shughuli zao with new strategies
Lakini hawa vibaka walipiga kelele sana kwamba chadema ina pesa mingi sana na zinatumika vibaya sana na uongozi wa zamani?Sasa wataendesha chama kwa pesa ya bibi yako ruzuku haitoshi.
Lecturer wangu nakuelewaga Sanaa Ila wewe sio Kama Lucas.Gentleman,
kwamba umefumba macho huoni watu waliotapeliwa pesa kidigitali na vibaka wa siasa ndani ya chadema?
wewe bado hujapigwa sio, unajitafakari?
kwahivyo malengo ya kuanzishwa kwa chadema ni kutapeli wananchi pesa na kususia uchaguzi mkuu ili kuepuka kushika dollar? nauliza tu sio kwa ubaya 🤣
Uchawa umepitiliza vipimo😠natandaza na kusambaza ukweli kibabe sanaee gentleman?
uzuri natumia left and right 🤣