Uchaguzi 2020 CHADEMA imembebesha Lissu jumba bovu. Atashindwa lakini atatoa changamoto

Uchaguzi 2020 CHADEMA imembebesha Lissu jumba bovu. Atashindwa lakini atatoa changamoto

Nimeandika uongo?
Tena umeandika ukenge mtupu .. chadema haina hela ? Ingeleta gari 20 za kampeni , ingetoa order ya kiwanda china kutengeneza vifaa vya uenezi kwa miezi 4 kama hawana hela? Juzi tu hapa wananchi wamechangia milion 350 za kuwalipia viongozi wa chadema unasemaje hawana ushawishi?..umeondoka Chadema lkn bado unamapenzi na chadema..rudi huko uliko hakuna wa kukushika mkono kamanda ... chadema ya Sasa imeimarika kuliko enzi hizo za padre slaa .. chadema ya Sasa ina vijana wapya na watu wazima wapya ..wamama wapya ..ndo chama klichotoa fursa kwa akina mama 68 kugombea majimbo, wkt hao unaowatumuza ccm wa wamtoa fursa kwa wqnawake 18 tu ... chadema tunaenda kuchukua nchi unaweza kubeza lkn hbr ndo hiyo ..rudi kundini mkuu na istoshe una mchango ndani ya chadema hata Kama sio mkubwa Sana ..rudi tuendeleze chama la wana
 
Awali ya yote nawasalimu sana Ndugu zangu wa JF baada ya kupotea kidogo kwa muda.

Pili nampongeza Mh. Freeman Mbowe kwa kuamua kujiengua kwenye kinyang'anyiro cha Urais na kumpisha Tundu Lissu. Aidha nampongeza kwa kunivumilia na kupokea ukosoaji wangu. Sitazungumza tena habari za Mbowe kwasasa labda litokee jambo lenye maslahi kwa Taifa ambalo yeye atahusika.

Tatu nampongeza Tundu Lissu kwa kuteuliwa na CHADEMA kuwa Mgombea Urais. Hongera sana. Binafsi namuunga mkono Tundu Lissu kuwa miongoni mwa Wagombea wa upinzani kwenye uchaguzi. Atanogesha uchaguzi na pia atamsaidia Rais Magufuli kujitathimi. Naamini hata wanaCCM wengi wanamuunga mkono maana atawasaidia kupata fedha toka chamani na kwa wagombea wao msimu huu wa uchaguzi baada ya njaa ya muda mrefu. In short I endorse Mr. Lissu but I will not vote for him.

OK nirudi kwenye mada sasa, Kwanini nasema Lissu amebebeshwa Jumba Bovu? Kwa maoni yangu ni kwamba CHADEMA hii ambayo Lissu anapeperusha bendera yake kwenye uchaguzi huu ni jumba bovu kwa sababu kuu mbili:-

1. CHADEMA ya Lissu kwenye uchaguzi huu tofauti na ya miaka iliyopita ni CHADEMA dhaifu sana kitaalum, oganaizesheni na kuaminika kwake na viongozi wake kwa jamii yetu. Hivyo haiweze hata kwa nusu kukabiliana na CCM labada na ACT au NCCR-Mageuzi.

CHADEMA ya sasa kama ambavyo tumekuwa tukisema ni CHADEMA ambayo think tank yake ni John Mrema, Reggy Munis, Sugu, Lema, Mnyika na Msigwa watu ambao ni mahodari wa hotuba na fitina ila hawana mipango kabisa na ni mafisadi ndani ya Chama. CHADEMA hii ni tofauti na ile ya akina Lwakatare, Komu, Marando, Prof. Baregu, Prof. Safari, Prof. Kitila Mkumbo, Dr. Slaa n.k. Hii ni chadema dhaifu sana kitaaluma.

CHADEMA ya sasa ni CHADEMA ambayo viongozi wake wa chini na vijana wake ni dhaifu sana, waoga na wamekuja kutafuta fedha na fursa ndani ya Chama tofauti na CHADEMA ile yenye Redbridge imara na inayotisha, CHADEMA yenye viongozi wanaojitoa Mali na hali zao, CHADEMA iliyokuwa na viongozi wafiachama na wanachama wanaokipenda chama na kuwaamini viongozi wao.

CHADEMA ya sasa ina viongozi ambao ni wezi hawaaminiki hivyo haiwezi kuchangisha hata fedha za kampeni. CHADEMA ambayo hata ikitembeza kikapu kwenye mikutano hakuna wa kuchanga kwasababu wanaamini fedha zitaliwa tu. CHADEMA ambayo viongozi wamethubutu kula pesa za matibabu ya mwenzao aliyepigwa risasi 16. Badala ya kulia nae wakafanya matatizo yake ni fursa kwao.

CHADEMA ya sasa haina fedha na haiaminiki. Haina uwezo wala watu wa kutafuta fedha au wanaoweza kuaminika wakakopeshwa. Haiwezi kuhamasisha maandamano ya vijana kujitoa muhanga dhidi ya vitisho vya dola. Namsikia Lissu akisema habari ya kuingia barabarani. Nakuapia kwa viongozi hawa wa CHADEMA hakuna mtu mjinga wa kutoa uhai wake au kupata majeraha kwa ajili yao kwasababu sio wakweli.

2. CHADEMA ya sasa ina wagombea dhaifu sana wa Ubunge kuliko hata ile ya mwaka 2005. Wabunge wenye kamsuli kidogo wameshakaa miaka 10 madarakani na hawafiki 10. Wana wakati mgumu wa kuonyesha walichofanya kwa miaka hiyo 10 na kwa kawaida watu wanakuwa washakuchoka.

Wagombea wengi wa Ubunge wa sasa ni dhaifu kisiasa, kielimu na kirasilimali. Hawawezi kupambana na wagombea wa CCM hata kidogo. Wagombea wengi majimboni ni wale waliokuwa wanataka Vitimaalum wamelazimishwa kugombea majimboni ili angalau wachange change kura kwa ajili ya ruzuku siku zijazo. KUMBUKA RUZUKU INATEGEMEA IDADI YA KURA ZA WABUNGE SIO RAIS.

Sasa kama huna wagombea imara wa Ubunge utashindaje Urais? Isitoshe chama chenyewe hakina hata hela ya kampeni? CHADEMA hii ya sasa ni JUMBA BOVU limemwangukia Lissu. Kuna majimbo hayana wagombea na mengine yana wagombea wawakilishi tu ili karatasi ya kura isikose nembo ya CHADEMA sio Wagombea shindani. Muda ungekuwepo tungechambua mgombea mmoja baada ya mwingine wa CHADEMA kwenye kila jimbo.

Siku zijazo nitatoa sababu za Lissu kushindwa ambazo ni udhaifu wake binafsi ili siku matokeo yakitangazwa tukumbushane isiwe tumeshtukizwa. Naomba kuwasilisha
Thread of an embecile
 
Awali ya yote nawasalimu sana Ndugu zangu wa JF baada ya kupotea kidogo kwa muda.

Pili nampongeza Mh. Freeman Mbowe kwa kuamua kujiengua kwenye kinyang'anyiro cha Urais na kumpisha Tundu Lissu. Aidha nampongeza kwa kunivumilia na kupokea ukosoaji wangu. Sitazungumza tena habari za Mbowe kwasasa labda litokee jambo lenye maslahi kwa Taifa ambalo yeye atahusika.

Tatu nampongeza Tundu Lissu kwa kuteuliwa na CHADEMA kuwa Mgombea Urais. Hongera sana. Binafsi namuunga mkono Tundu Lissu kuwa miongoni mwa Wagombea wa upinzani kwenye uchaguzi. Atanogesha uchaguzi na pia atamsaidia Rais Magufuli kujitathimi. Naamini hata wanaCCM wengi wanamuunga mkono maana atawasaidia kupata fedha toka chamani na kwa wagombea wao msimu huu wa uchaguzi baada ya njaa ya muda mrefu. In short I endorse Mr. Lissu but I will not vote for him.

OK nirudi kwenye mada sasa, Kwanini nasema Lissu amebebeshwa Jumba Bovu? Kwa maoni yangu ni kwamba CHADEMA hii ambayo Lissu anapeperusha bendera yake kwenye uchaguzi huu ni jumba bovu kwa sababu kuu mbili:-

1. CHADEMA ya Lissu kwenye uchaguzi huu tofauti na ya miaka iliyopita ni CHADEMA dhaifu sana kitaalum, oganaizesheni na kuaminika kwake na viongozi wake kwa jamii yetu. Hivyo haiweze hata kwa nusu kukabiliana na CCM labada na ACT au NCCR-Mageuzi.

CHADEMA ya sasa kama ambavyo tumekuwa tukisema ni CHADEMA ambayo think tank yake ni John Mrema, Reggy Munis, Sugu, Lema, Mnyika na Msigwa watu ambao ni mahodari wa hotuba na fitina ila hawana mipango kabisa na ni mafisadi ndani ya Chama. CHADEMA hii ni tofauti na ile ya akina Lwakatare, Komu, Marando, Prof. Baregu, Prof. Safari, Prof. Kitila Mkumbo, Dr. Slaa n.k. Hii ni chadema dhaifu sana kitaaluma.

CHADEMA ya sasa ni CHADEMA ambayo viongozi wake wa chini na vijana wake ni dhaifu sana, waoga na wamekuja kutafuta fedha na fursa ndani ya Chama tofauti na CHADEMA ile yenye Redbridge imara na inayotisha, CHADEMA yenye viongozi wanaojitoa Mali na hali zao, CHADEMA iliyokuwa na viongozi wafiachama na wanachama wanaokipenda chama na kuwaamini viongozi wao.

CHADEMA ya sasa ina viongozi ambao ni wezi hawaaminiki hivyo haiwezi kuchangisha hata fedha za kampeni. CHADEMA ambayo hata ikitembeza kikapu kwenye mikutano hakuna wa kuchanga kwasababu wanaamini fedha zitaliwa tu. CHADEMA ambayo viongozi wamethubutu kula pesa za matibabu ya mwenzao aliyepigwa risasi 16. Badala ya kulia nae wakafanya matatizo yake ni fursa kwao.

CHADEMA ya sasa haina fedha na haiaminiki. Haina uwezo wala watu wa kutafuta fedha au wanaoweza kuaminika wakakopeshwa. Haiwezi kuhamasisha maandamano ya vijana kujitoa muhanga dhidi ya vitisho vya dola. Namsikia Lissu akisema habari ya kuingia barabarani. Nakuapia kwa viongozi hawa wa CHADEMA hakuna mtu mjinga wa kutoa uhai wake au kupata majeraha kwa ajili yao kwasababu sio wakweli.

2. CHADEMA ya sasa ina wagombea dhaifu sana wa Ubunge kuliko hata ile ya mwaka 2005. Wabunge wenye kamsuli kidogo wameshakaa miaka 10 madarakani na hawafiki 10. Wana wakati mgumu wa kuonyesha walichofanya kwa miaka hiyo 10 na kwa kawaida watu wanakuwa washakuchoka.

Wagombea wengi wa Ubunge wa sasa ni dhaifu kisiasa, kielimu na kirasilimali. Hawawezi kupambana na wagombea wa CCM hata kidogo. Wagombea wengi majimboni ni wale waliokuwa wanataka Vitimaalum wamelazimishwa kugombea majimboni ili angalau wachange change kura kwa ajili ya ruzuku siku zijazo. KUMBUKA RUZUKU INATEGEMEA IDADI YA KURA ZA WABUNGE SIO RAIS.

Sasa kama huna wagombea imara wa Ubunge utashindaje Urais? Isitoshe chama chenyewe hakina hata hela ya kampeni? CHADEMA hii ya sasa ni JUMBA BOVU limemwangukia Lissu. Kuna majimbo hayana wagombea na mengine yana wagombea wawakilishi tu ili karatasi ya kura isikose nembo ya CHADEMA sio Wagombea shindani. Muda ungekuwepo tungechambua mgombea mmoja baada ya mwingine wa CHADEMA kwenye kila jimbo.

Siku zijazo nitatoa sababu za Lissu kushindwa ambazo ni udhaifu wake binafsi ili siku matokeo yakitangazwa tukumbushane isiwe tumeshtukizwa. Naomba kuwasilisha
Waambie CCM wakulipe kabisa fedha zao zote mwaka huu, maana kuanzia October hapo CCM ni chama cha upinzani
 
Umeeleza vema
Awali ya yote nawasalimu sana Ndugu zangu wa JF baada ya kupotea kidogo kwa muda.

Pili nampongeza Mh. Freeman Mbowe kwa kuamua kujiengua kwenye kinyang'anyiro cha Urais na kumpisha Tundu Lissu. Aidha nampongeza kwa kunivumilia na kupokea ukosoaji wangu. Sitazungumza tena habari za Mbowe kwasasa labda litokee jambo lenye maslahi kwa Taifa ambalo yeye atahusika.

Tatu nampongeza Tundu Lissu kwa kuteuliwa na CHADEMA kuwa Mgombea Urais. Hongera sana. Binafsi namuunga mkono Tundu Lissu kuwa miongoni mwa Wagombea wa upinzani kwenye uchaguzi. Atanogesha uchaguzi na pia atamsaidia Rais Magufuli kujitathimi. Naamini hata wanaCCM wengi wanamuunga mkono maana atawasaidia kupata fedha toka chamani na kwa wagombea wao msimu huu wa uchaguzi baada ya njaa ya muda mrefu. In short I endorse Mr. Lissu but I will not vote for him.

OK nirudi kwenye mada sasa, Kwanini nasema Lissu amebebeshwa Jumba Bovu? Kwa maoni yangu ni kwamba CHADEMA hii ambayo Lissu anapeperusha bendera yake kwenye uchaguzi huu ni jumba bovu kwa sababu kuu mbili:-

1. CHADEMA ya Lissu kwenye uchaguzi huu tofauti na ya miaka iliyopita ni CHADEMA dhaifu sana kitaalum, oganaizesheni na kuaminika kwake na viongozi wake kwa jamii yetu. Hivyo haiweze hata kwa nusu kukabiliana na CCM labada na ACT au NCCR-Mageuzi.

CHADEMA ya sasa kama ambavyo tumekuwa tukisema ni CHADEMA ambayo think tank yake ni John Mrema, Reggy Munis, Sugu, Lema, Mnyika na Msigwa watu ambao ni mahodari wa hotuba na fitina ila hawana mipango kabisa na ni mafisadi ndani ya Chama. CHADEMA hii ni tofauti na ile ya akina Lwakatare, Komu, Marando, Prof. Baregu, Prof. Safari, Prof. Kitila Mkumbo, Dr. Slaa n.k. Hii ni chadema dhaifu sana kitaaluma.

CHADEMA ya sasa ni CHADEMA ambayo viongozi wake wa chini na vijana wake ni dhaifu sana, waoga na wamekuja kutafuta fedha na fursa ndani ya Chama tofauti na CHADEMA ile yenye Redbridge imara na inayotisha, CHADEMA yenye viongozi wanaojitoa Mali na hali zao, CHADEMA iliyokuwa na viongozi wafiachama na wanachama wanaokipenda chama na kuwaamini viongozi wao.

CHADEMA ya sasa ina viongozi ambao ni wezi hawaaminiki hivyo haiwezi kuchangisha hata fedha za kampeni. CHADEMA ambayo hata ikitembeza kikapu kwenye mikutano hakuna wa kuchanga kwasababu wanaamini fedha zitaliwa tu. CHADEMA ambayo viongozi wamethubutu kula pesa za matibabu ya mwenzao aliyepigwa risasi 16. Badala ya kulia nae wakafanya matatizo yake ni fursa kwao.

CHADEMA ya sasa haina fedha na haiaminiki. Haina uwezo wala watu wa kutafuta fedha au wanaoweza kuaminika wakakopeshwa. Haiwezi kuhamasisha maandamano ya vijana kujitoa muhanga dhidi ya vitisho vya dola. Namsikia Lissu akisema habari ya kuingia barabarani. Nakuapia kwa viongozi hawa wa CHADEMA hakuna mtu mjinga wa kutoa uhai wake au kupata majeraha kwa ajili yao kwasababu sio wakweli.

2. CHADEMA ya sasa ina wagombea dhaifu sana wa Ubunge kuliko hata ile ya mwaka 2005. Wabunge wenye kamsuli kidogo wameshakaa miaka 10 madarakani na hawafiki 10. Wana wakati mgumu wa kuonyesha walichofanya kwa miaka hiyo 10 na kwa kawaida watu wanakuwa washakuchoka.

Wagombea wengi wa Ubunge wa sasa ni dhaifu kisiasa, kielimu na kirasilimali. Hawawezi kupambana na wagombea wa CCM hata kidogo. Wagombea wengi majimboni ni wale waliokuwa wanataka Vitimaalum wamelazimishwa kugombea majimboni ili angalau wachange change kura kwa ajili ya ruzuku siku zijazo. KUMBUKA RUZUKU INATEGEMEA IDADI YA KURA ZA WABUNGE SIO RAIS.

Sasa kama huna wagombea imara wa Ubunge utashindaje Urais? Isitoshe chama chenyewe hakina hata hela ya kampeni? CHADEMA hii ya sasa ni JUMBA BOVU limemwangukia Lissu. Kuna majimbo hayana wagombea na mengine yana wagombea wawakilishi tu ili karatasi ya kura isikose nembo ya CHADEMA sio Wagombea shindani. Muda ungekuwepo tungechambua mgombea mmoja baada ya mwingine wa CHADEMA kwenye kila jimbo.

Siku zijazo nitatoa sababu za Lissu kushindwa ambazo ni udhaifu wake binafsi ili siku matokeo yakitangazwa tukumbushane isiwe tumeshtukizwa. Naomba kuwasilisha
 
..sina uhakika kama umeandika uongo, au ukweli.

..hoja yangu ni kwamba, cdm ina sifa mbaya, na sifa nzuri.

..sasa wewe umepitiliza ktk kuzielezea unachoamini ni sifa mbaya za cdm.

..katika uandishi, ukielemea zaidi upande mmoja unapoteza CREDIBILITY.

..unaonekana umekuja kuwapiga vita CDM, wakati wasomaji makini wanataka kujua pande zote mbili za mada husika.

..ndio maana nimekushauri ili wasomaji waheshimu mchango wako inabidi uwe BALANCED ktk mada yako.

..andika kitu kizuri, kilichokwenda SHULE, huwezi kujua nani anasoma mada zako na wapi uandishi wako unaweza kukufikisha.

cc tindo

Mkuu kwanza kwa wewe kuwa Platinum member ni heshima kuu hapa JF, Nakupongeza kwa kuwa wengi wetu tungependa tuwe na daraja lako.
Nina machache ambayo nitataka kukumbusha;
1) Alicho changia Mramba hapa hakina tofauti yeyote ikiwa umepata nafasi ya kuongea kwa uchambuzi na wafuatao, Prof. Safari, Rwakatare, Komu, Selasini, Waitara, Zitto Kabwe, Gekul, Prof. Mkubo, Prof. Baregu, Marando, Dr Slaa na wengine.

2) Lakini kwa kuwa The brain you have is your standard unaweza kusema utachotaka kusema.

3) Prof. Baregu aliniambia na naquote " you plan as if you will never die" na akaaniambia hichi kitu hakipo CHADEMA na hata unapolazimisha kwa kuwa faida yake itaonekana baadae , hakuna anae kuwa tayari kuku sikiliza.

4) Katika mazungumzo yangu na Prof. Safari japo kuna mengi aliyozungumza lakini nitaelezea moja tuu Kuna systemic deficiency katika mfumo wa kuendesha chama kiasi mawazo mbadala hayani nafasi ila ushabiki bila kuwakilisha hoja toshelevu ndio zenye nafasi CHADEMA.

5) Mh. Kommu anasema mfumo wa kundesha chama na matumizi ya pesa yana fanana sana na duka la mtaani. ' Mtu analipwa pesa haujui mantiki ya kulipwa na kwa nii analipwa kiwango hicho?" Huyu Bwana haipendi CCM kweli kweli, hataki hata kuisikia. Lakini anasema CCM wanao mfumo wa kuendesha chama ambao unweza kuuzungumza na wanachama wanatakiwa kuutii.

6) Na wote wanasema it is not a coincidence Mbowe -Chairman - non Graduate, Benson Kigaila- Deputy Secretary Gen. - non Graduate, Sec. Gen- Mnyika- Collage drp out, Mwalimu Deputy Sec Gen Non Graduate.

Ukitaka kuishi Chadema kwa amani na upendwe na viongozi uliowakuta lazima uwe "NYUMBU NA KASUKU" haya ni maneno ya viongozi waandamizi wasomi ambao bado wako CHADEMA waajiriwa.
MKUU SAFARI YA UPINZANI BADO NI NDEFU.
 
Mkuu kwanza kwa wewe kuwa Platinum member ni heshima kuu hapa JF, Nakupongeza kwa kuwa wengi wetu tungependa tuwe na daraja lako.
Nina machache ambayo nitataka kukumbusha;
1) Alicho changia Mramba hapa hakina tofauti yeyote ikiwa umepata nafasi ya kuongea kwa uchambuzi na wafuatao, Prof. Safari, Rwakatare, Komu, Selasini, Waitara, Zitto Kabwe, Gekul, Prof. Mkubo, Prof. Baregu, Marando, Dr Slaa na wengine.

2) Lakini kwa kuwa The brain you have is your standard unaweza kusema utachotaka kusema.

3) Prof. Baregu aliniambia na naquote " you plan as if you will never die" na akaaniambia hichi kitu hakipo CHADEMA na hata unapolazimisha kwa kuwa faida yake itaonekana baadae , hakuna anae kuwa tayari kuku sikiliza.

4) Katika mazungumzo yangu na Prof. Safari japo kuna mengi aliyozungumza lakini nitaelezea moja tuu Kuna systemic deficiency katika mfumo wa kuendesha chama kiasi mawazo mbadala hayani nafasi ila ushabiki bila kuwakilisha hoja toshelevu ndio zenye nafasi CHADEMA.

5) Mh. Kommu anasema mfumo wa kundesha chama na matumizi ya pesa yana fanana sana na duka la mtaani. ' Mtu analipwa pesa haujui mantiki ya kulipwa na kwa nii analipwa kiwango hicho?" Huyu Bwana haipendi CCM kweli kweli, hataki hata kuisikia. Lakini anasema CCM wanao mfumo wa kuendesha chama ambao unweza kuuzungumza na wanachama wanatakiwa kuutii.

6) Na wote wanasema it is not a coincidence Mbowe -Chairman - non Graduate, Benson Kigaila- Deputy Secretary Gen. - non Graduate, Sec. Gen- Mnyika- Collage drp out, Mwalimu Deputy Sec Gen Non Graduate.

Ukitaka kuishi Chadema kwa amani na upendwe na viongozi uliowakuta lazima uwe "NYUMBU NA KASUKU" haya ni maneno ya viongozi waandamizi wasomi ambao bado wako CHADEMA waajiriwa.
MKUU SAFARI YA UPINZANI BADO NI NDEFU.
Kachukue buku Saba yako kwa polepole. Mmeishiwa hoja mmekimbilia viroja. Kweli CCM mna hali mbaya 😀
 
Awali ya yote nawasalimu sana Ndugu zangu wa JF baada ya kupotea kidogo kwa muda.

Pili nampongeza Mh. Freeman Mbowe kwa kuamua kujiengua kwenye kinyang'anyiro cha Urais na kumpisha Tundu Lissu. Aidha nampongeza kwa kunivumilia na kupokea ukosoaji wangu. Sitazungumza tena habari za Mbowe kwasasa labda litokee jambo lenye maslahi kwa Taifa ambalo yeye atahusika.

Tatu nampongeza Tundu Lissu kwa kuteuliwa na CHADEMA kuwa Mgombea Urais. Hongera sana. Binafsi namuunga mkono Tundu Lissu kuwa miongoni mwa Wagombea wa upinzani kwenye uchaguzi. Atanogesha uchaguzi na pia atamsaidia Rais Magufuli kujitathimi. Naamini hata wanaCCM wengi wanamuunga mkono maana atawasaidia kupata fedha toka chamani na kwa wagombea wao msimu huu wa uchaguzi baada ya njaa ya muda mrefu. In short I endorse Mr. Lissu but I will not vote for him.

OK nirudi kwenye mada sasa, Kwanini nasema Lissu amebebeshwa Jumba Bovu? Kwa maoni yangu ni kwamba CHADEMA hii ambayo Lissu anapeperusha bendera yake kwenye uchaguzi huu ni jumba bovu kwa sababu kuu mbili:-

1. CHADEMA ya Lissu kwenye uchaguzi huu tofauti na ya miaka iliyopita ni CHADEMA dhaifu sana kitaalum, oganaizesheni na kuaminika kwake na viongozi wake kwa jamii yetu. Hivyo haiweze hata kwa nusu kukabiliana na CCM labada na ACT au NCCR-Mageuzi.

CHADEMA ya sasa kama ambavyo tumekuwa tukisema ni CHADEMA ambayo think tank yake ni John Mrema, Reggy Munis, Sugu, Lema, Mnyika na Msigwa watu ambao ni mahodari wa hotuba na fitina ila hawana mipango kabisa na ni mafisadi ndani ya Chama. CHADEMA hii ni tofauti na ile ya akina Lwakatare, Komu, Marando, Prof. Baregu, Prof. Safari, Prof. Kitila Mkumbo, Dr. Slaa n.k. Hii ni chadema dhaifu sana kitaaluma.

CHADEMA ya sasa ni CHADEMA ambayo viongozi wake wa chini na vijana wake ni dhaifu sana, waoga na wamekuja kutafuta fedha na fursa ndani ya Chama tofauti na CHADEMA ile yenye Redbridge imara na inayotisha, CHADEMA yenye viongozi wanaojitoa Mali na hali zao, CHADEMA iliyokuwa na viongozi wafiachama na wanachama wanaokipenda chama na kuwaamini viongozi wao.

CHADEMA ya sasa ina viongozi ambao ni wezi hawaaminiki hivyo haiwezi kuchangisha hata fedha za kampeni. CHADEMA ambayo hata ikitembeza kikapu kwenye mikutano hakuna wa kuchanga kwasababu wanaamini fedha zitaliwa tu. CHADEMA ambayo viongozi wamethubutu kula pesa za matibabu ya mwenzao aliyepigwa risasi 16. Badala ya kulia nae wakafanya matatizo yake ni fursa kwao.

CHADEMA ya sasa haina fedha na haiaminiki. Haina uwezo wala watu wa kutafuta fedha au wanaoweza kuaminika wakakopeshwa. Haiwezi kuhamasisha maandamano ya vijana kujitoa muhanga dhidi ya vitisho vya dola. Namsikia Lissu akisema habari ya kuingia barabarani. Nakuapia kwa viongozi hawa wa CHADEMA hakuna mtu mjinga wa kutoa uhai wake au kupata majeraha kwa ajili yao kwasababu sio wakweli.

2. CHADEMA ya sasa ina wagombea dhaifu sana wa Ubunge kuliko hata ile ya mwaka 2005. Wabunge wenye kamsuli kidogo wameshakaa miaka 10 madarakani na hawafiki 10. Wana wakati mgumu wa kuonyesha walichofanya kwa miaka hiyo 10 na kwa kawaida watu wanakuwa washakuchoka.

Wagombea wengi wa Ubunge wa sasa ni dhaifu kisiasa, kielimu na kirasilimali. Hawawezi kupambana na wagombea wa CCM hata kidogo. Wagombea wengi majimboni ni wale waliokuwa wanataka Vitimaalum wamelazimishwa kugombea majimboni ili angalau wachange change kura kwa ajili ya ruzuku siku zijazo. KUMBUKA RUZUKU INATEGEMEA IDADI YA KURA ZA WABUNGE SIO RAIS.

Sasa kama huna wagombea imara wa Ubunge utashindaje Urais? Isitoshe chama chenyewe hakina hata hela ya kampeni? CHADEMA hii ya sasa ni JUMBA BOVU limemwangukia Lissu. Kuna majimbo hayana wagombea na mengine yana wagombea wawakilishi tu ili karatasi ya kura isikose nembo ya CHADEMA sio Wagombea shindani. Muda ungekuwepo tungechambua mgombea mmoja baada ya mwingine wa CHADEMA kwenye kila jimbo.

Siku zijazo nitatoa sababu za Lissu kushindwa ambazo ni udhaifu wake binafsi ili siku matokeo yakitangazwa tukumbushane isiwe tumeshtukizwa. Naomba kuwasilisha
Anayefahamu majimbo ambayo CHADEMA hawajaweka wagombea ayataje hapa ili wengine tuyajue.

Kujusu kushindwa Lissu hilo ni dhahiri.
 
Hivi ulitaka Mbowe akujibu wewe kama nani?! unajiaminisha una nguvu ya kupinga ambayo huna, wewe ni raia fulani tu uliekimbia Chadema ambae hujui uelekee wapi, ndio maana kila siku kelele zako ni Chadema, kwanini usiwekeze hizo nguvu zako huko ulipo au unapoelekea ukajijenge huko? ndio maana nakwambia huna kichwa wala miguu, unatapatapa tu.

Again, kila siku unaikosoa menejimenti ya Chadema, kwamba hao waliopo hawana uwezo wa kuwa think tank wa chama, lakini kwa taarifa yako, hao ndio wamekifanya Chadema kuwa chama kikuu cha upinzani Tz, sijui wewe wakati ukiwa Chadema uliacha mchango gani? inawezekana kabisa hukuacha chochote, na hata hizi thread unazoleta huku kila mara zinakutambulisha vizuri kama mtu usiejua chochote, ila unajiaminisha unajua kila kitu, wacha kujidanganya kijana.

Mfano. Unavyosema Chadema ina viongozi wasioaminika kwa wananchi hata wakitembeza kikapu hakuna ataetoa mchango wake, huku ukisahau juzi tu, wananchi walitoa michango yao kuwatoa jela viongozi wa Chadema waliohukumiwa pale Kisutu, nakuona wewe ni kichaa tu, unaetaka Mbowe akujibu huu upuuzi wako, wacha utoto.
Hujui kitu wewe
 
Mkuu kwanza kwa wewe kuwa Platinum member ni heshima kuu hapa JF, Nakupongeza kwa kuwa wengi wetu tungependa tuwe na daraja lako.
Nina machache ambayo nitataka kukumbusha;
1) Alicho changia Mramba hapa hakina tofauti yeyote ikiwa umepata nafasi ya kuongea kwa uchambuzi na wafuatao, Prof. Safari, Rwakatare, Komu, Selasini, Waitara, Zitto Kabwe, Gekul, Prof. Mkubo, Prof. Baregu, Marando, Dr Slaa na wengine.

2) Lakini kwa kuwa The brain you have is your standard unaweza kusema utachotaka kusema.

3) Prof. Baregu aliniambia na naquote " you plan as if you will never die" na akaaniambia hichi kitu hakipo CHADEMA na hata unapolazimisha kwa kuwa faida yake itaonekana baadae , hakuna anae kuwa tayari kuku sikiliza.

4) Katika mazungumzo yangu na Prof. Safari japo kuna mengi aliyozungumza lakini nitaelezea moja tuu Kuna systemic deficiency katika mfumo wa kuendesha chama kiasi mawazo mbadala hayani nafasi ila ushabiki bila kuwakilisha hoja toshelevu ndio zenye nafasi CHADEMA.

5) Mh. Kommu anasema mfumo wa kundesha chama na matumizi ya pesa yana fanana sana na duka la mtaani. ' Mtu analipwa pesa haujui mantiki ya kulipwa na kwa nii analipwa kiwango hicho?" Huyu Bwana haipendi CCM kweli kweli, hataki hata kuisikia. Lakini anasema CCM wanao mfumo wa kuendesha chama ambao unweza kuuzungumza na wanachama wanatakiwa kuutii.

6) Na wote wanasema it is not a coincidence Mbowe -Chairman - non Graduate, Benson Kigaila- Deputy Secretary Gen. - non Graduate, Sec. Gen- Mnyika- Collage drp out, Mwalimu Deputy Sec Gen Non Graduate.

Ukitaka kuishi Chadema kwa amani na upendwe na viongozi uliowakuta lazima uwe "NYUMBU NA KASUKU" haya ni maneno ya viongozi waandamizi wasomi ambao bado wako CHADEMA waajiriwa.
MKUU SAFARI YA UPINZANI BADO NI NDEFU.

..tatizo umesikiliza ma-graduate peke yao.

..ungesikiliza na hao college-drouputs, high school failures, na wengine walioko CDM.

..sikiliza pande zote ndiyo uje utoe hukumu.
 
Nimedharau bandiko lako lote lililojaa matamanio yako, baada ya kile ulichotegemea wakati unahamia ccm kutokufikia. Unasema kura za urais hazileti ruzuku, bali idadi ya wabunge, bila kujua kuwa kura za urais zinazaa viti maalum vya wabung! Hapo ndio nimejua kuwa huna lolote ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jukwaani. Lisu anaweza kushindwa kama ambavyo mtu yoyote anaweza kushindwa kwenye ushindani, bali sio kwa hizi sababu zako za kitoto.

Kama tume ya uchaguzi inasema ina wapiga kura 29m+, huku watanzania tukiwa hatujafika 60m kamili, huwezi kuona kama Lisu atashindwa ni kutokana na idadi hiyo ya kupika? Inawezekana vipi watu wenye umri wa miaka 18+ idadi yao ikawa sawa sawa na walio chini ya miaka 18? Kama kweli waliojindikisha kupiga kura ni 29m+, hiyo ina maana kila mtanzania mwenye miaka 18+ kajiandikisha kupiga kura, yaani kila watanzania wawili mmoja kajiandikisha kupiga kura. Iwapo NEC tayari wana idadi ya kupika, na Lisu atashindwa, tunasubiri nini kujua sababu za kushindwa kwake, wakati tayari tume ya uchaguzi wana taarifa za uongo? Ukitaka kujua NEC wanaandaa matokeo ya kupika, nenda tovuti ya tume uone kama wameweka idadi ya wapiga, zaidi ya kutamka hadharani hiyo idadi ya kubumba.

Jmc06, misuli, paskali mayalla
Umeandika sana ila hujui kitu. Viti maalum havihusiani na kura za Rais bali idadi ya wabunge wa kuchaguliwa
 
Tena umeandika ukenge mtupu .. chadema haina hela ? Ingeleta gari 20 za kampeni , ingetoa order ya kiwanda china kutengeneza vifaa vya uenezi kwa miezi 4 kama hawana hela? Juzi tu hapa wananchi wamechangia milion 350 za kuwalipia viongozi wa chadema unasemaje hawana ushawishi?..umeondoka Chadema lkn bado unamapenzi na chadema..rudi huko uliko hakuna wa kukushika mkono kamanda ... chadema ya Sasa imeimarika kuliko enzi hizo za padre slaa .. chadema ya Sasa ina vijana wapya na watu wazima wapya ..wamama wapya ..ndo chama klichotoa fursa kwa akina mama 68 kugombea majimbo, wkt hao unaowatumuza ccm wa wamtoa fursa kwa wqnawake 18 tu ... chadema tunaenda kuchukua nchi unaweza kubeza lkn hbr ndo hiyo ..rudi kundini mkuu na istoshe una mchango ndani ya chadema hata Kama sio mkubwa Sana ..rudi tuendeleze chama la wana
Hata matibabu ya Lissu uliambiwa hivyo hivyo kuwa zimechangwa ila waakubwa wakavunja akiba ya akaunti ya michango ya wabunge kwa matibabu hayo hayo. Wale walijilipia usiwe mjinga
 
..tatizo umesikiliza ma-graduate peke yao.

..ungesikiliza na hao college-drouputs, high school failures, na wengine walioko CDM.

..sikiliza pande zote ndiyo uje utoe hukumu.

Nitafanya hivyo bila kuchelwa kwa kuwa bado nina uhusiano bora kabisa na wengi tuu. Ila ukumbuke mwendo wa nyoka huongozwa na kichwa.
 

Ninahitaji kweli kuuliza Dr Slaa aliacha legacy gani wakati it speaks for itself? Sasa kwa nini niulize about you? Hakuna maana kingeonekana. Halafu mke mkiachana muache aendelee na maisha yake mapya....
 
Awali ya yote nawasalimu sana Ndugu zangu wa JF baada ya kupotea kidogo kwa muda.

Pili nampongeza Mh. Freeman Mbowe kwa kuamua kujiengua kwenye kinyang'anyiro cha Urais na kumpisha Tundu Lissu. Aidha nampongeza kwa kunivumilia na kupokea ukosoaji wangu. Sitazungumza tena habari za Mbowe kwasasa labda litokee jambo lenye maslahi kwa Taifa ambalo yeye atahusika.

Tatu nampongeza Tundu Lissu kwa kuteuliwa na CHADEMA kuwa Mgombea Urais. Hongera sana. Binafsi namuunga mkono Tundu Lissu kuwa miongoni mwa Wagombea wa upinzani kwenye uchaguzi. Atanogesha uchaguzi na pia atamsaidia Rais Magufuli kujitathimi. Naamini hata wanaCCM wengi wanamuunga mkono maana atawasaidia kupata fedha toka chamani na kwa wagombea wao msimu huu wa uchaguzi baada ya njaa ya muda mrefu. In short I endorse Mr. Lissu but I will not vote for him.

OK nirudi kwenye mada sasa, Kwanini nasema Lissu amebebeshwa Jumba Bovu? Kwa maoni yangu ni kwamba CHADEMA hii ambayo Lissu anapeperusha bendera yake kwenye uchaguzi huu ni jumba bovu kwa sababu kuu mbili:-

1. CHADEMA ya Lissu kwenye uchaguzi huu tofauti na ya miaka iliyopita ni CHADEMA dhaifu sana kitaalum, oganaizesheni na kuaminika kwake na viongozi wake kwa jamii yetu. Hivyo haiweze hata kwa nusu kukabiliana na CCM labada na ACT au NCCR-Mageuzi.

CHADEMA ya sasa kama ambavyo tumekuwa tukisema ni CHADEMA ambayo think tank yake ni John Mrema, Reggy Munis, Sugu, Lema, Mnyika na Msigwa watu ambao ni mahodari wa hotuba na fitina ila hawana mipango kabisa na ni mafisadi ndani ya Chama. CHADEMA hii ni tofauti na ile ya akina Lwakatare, Komu, Marando, Prof. Baregu, Prof. Safari, Prof. Kitila Mkumbo, Dr. Slaa n.k. Hii ni chadema dhaifu sana kitaaluma.

CHADEMA ya sasa ni CHADEMA ambayo viongozi wake wa chini na vijana wake ni dhaifu sana, waoga na wamekuja kutafuta fedha na fursa ndani ya Chama tofauti na CHADEMA ile yenye Redbridge imara na inayotisha, CHADEMA yenye viongozi wanaojitoa Mali na hali zao, CHADEMA iliyokuwa na viongozi wafiachama na wanachama wanaokipenda chama na kuwaamini viongozi wao.

CHADEMA ya sasa ina viongozi ambao ni wezi hawaaminiki hivyo haiwezi kuchangisha hata fedha za kampeni. CHADEMA ambayo hata ikitembeza kikapu kwenye mikutano hakuna wa kuchanga kwasababu wanaamini fedha zitaliwa tu. CHADEMA ambayo viongozi wamethubutu kula pesa za matibabu ya mwenzao aliyepigwa risasi 16. Badala ya kulia nae wakafanya matatizo yake ni fursa kwao.

CHADEMA ya sasa haina fedha na haiaminiki. Haina uwezo wala watu wa kutafuta fedha au wanaoweza kuaminika wakakopeshwa. Haiwezi kuhamasisha maandamano ya vijana kujitoa muhanga dhidi ya vitisho vya dola. Namsikia Lissu akisema habari ya kuingia barabarani. Nakuapia kwa viongozi hawa wa CHADEMA hakuna mtu mjinga wa kutoa uhai wake au kupata majeraha kwa ajili yao kwasababu sio wakweli.

2. CHADEMA ya sasa ina wagombea dhaifu sana wa Ubunge kuliko hata ile ya mwaka 2005. Wabunge wenye kamsuli kidogo wameshakaa miaka 10 madarakani na hawafiki 10. Wana wakati mgumu wa kuonyesha walichofanya kwa miaka hiyo 10 na kwa kawaida watu wanakuwa washakuchoka.

Wagombea wengi wa Ubunge wa sasa ni dhaifu kisiasa, kielimu na kirasilimali. Hawawezi kupambana na wagombea wa CCM hata kidogo. Wagombea wengi majimboni ni wale waliokuwa wanataka Vitimaalum wamelazimishwa kugombea majimboni ili angalau wachange change kura kwa ajili ya ruzuku siku zijazo. KUMBUKA RUZUKU INATEGEMEA IDADI YA KURA ZA WABUNGE SIO RAIS.

Sasa kama huna wagombea imara wa Ubunge utashindaje Urais? Isitoshe chama chenyewe hakina hata hela ya kampeni? CHADEMA hii ya sasa ni JUMBA BOVU limemwangukia Lissu. Kuna majimbo hayana wagombea na mengine yana wagombea wawakilishi tu ili karatasi ya kura isikose nembo ya CHADEMA sio Wagombea shindani. Muda ungekuwepo tungechambua mgombea mmoja baada ya mwingine wa CHADEMA kwenye kila jimbo.

Siku zijazo nitatoa sababu za Lissu kushindwa ambazo ni udhaifu wake binafsi ili siku matokeo yakitangazwa tukumbushane isiwe tumeshtukizwa. Naomba kuwasilisha
Roho inakusokota na vile mkuu hakuoni bado unajitahidi sana lakini keep trying. Inategemea ataamka vipi.
 
Awali ya yote nawasalimu sana Ndugu zangu wa JF baada ya kupotea kidogo kwa muda.

Pili nampongeza Mh. Freeman Mbowe kwa kuamua kujiengua kwenye kinyang'anyiro cha Urais na kumpisha Tundu Lissu. Aidha nampongeza kwa kunivumilia na kupokea ukosoaji wangu. Sitazungumza tena habari za Mbowe kwasasa labda litokee jambo lenye maslahi kwa Taifa ambalo yeye atahusika.

Tatu nampongeza Tundu Lissu kwa kuteuliwa na CHADEMA kuwa Mgombea Urais. Hongera sana. Binafsi namuunga mkono Tundu Lissu kuwa miongoni mwa Wagombea wa upinzani kwenye uchaguzi. Atanogesha uchaguzi na pia atamsaidia Rais Magufuli kujitathimi. Naamini hata wanaCCM wengi wanamuunga mkono maana atawasaidia kupata fedha toka chamani na kwa wagombea wao msimu huu wa uchaguzi baada ya njaa ya muda mrefu. In short I endorse Mr. Lissu but I will not vote for him.

OK nirudi kwenye mada sasa, Kwanini nasema Lissu amebebeshwa Jumba Bovu? Kwa maoni yangu ni kwamba CHADEMA hii ambayo Lissu anapeperusha bendera yake kwenye uchaguzi huu ni jumba bovu kwa sababu kuu mbili:-

1. CHADEMA ya Lissu kwenye uchaguzi huu tofauti na ya miaka iliyopita ni CHADEMA dhaifu sana kitaalum, oganaizesheni na kuaminika kwake na viongozi wake kwa jamii yetu. Hivyo haiweze hata kwa nusu kukabiliana na CCM labada na ACT au NCCR-Mageuzi.

CHADEMA ya sasa kama ambavyo tumekuwa tukisema ni CHADEMA ambayo think tank yake ni John Mrema, Reggy Munis, Sugu, Lema, Mnyika na Msigwa watu ambao ni mahodari wa hotuba na fitina ila hawana mipango kabisa na ni mafisadi ndani ya Chama. CHADEMA hii ni tofauti na ile ya akina Lwakatare, Komu, Marando, Prof. Baregu, Prof. Safari, Prof. Kitila Mkumbo, Dr. Slaa n.k. Hii ni chadema dhaifu sana kitaaluma.

CHADEMA ya sasa ni CHADEMA ambayo viongozi wake wa chini na vijana wake ni dhaifu sana, waoga na wamekuja kutafuta fedha na fursa ndani ya Chama tofauti na CHADEMA ile yenye Redbridge imara na inayotisha, CHADEMA yenye viongozi wanaojitoa Mali na hali zao, CHADEMA iliyokuwa na viongozi wafiachama na wanachama wanaokipenda chama na kuwaamini viongozi wao.

CHADEMA ya sasa ina viongozi ambao ni wezi hawaaminiki hivyo haiwezi kuchangisha hata fedha za kampeni. CHADEMA ambayo hata ikitembeza kikapu kwenye mikutano hakuna wa kuchanga kwasababu wanaamini fedha zitaliwa tu. CHADEMA ambayo viongozi wamethubutu kula pesa za matibabu ya mwenzao aliyepigwa risasi 16. Badala ya kulia nae wakafanya matatizo yake ni fursa kwao.

CHADEMA ya sasa haina fedha na haiaminiki. Haina uwezo wala watu wa kutafuta fedha au wanaoweza kuaminika wakakopeshwa. Haiwezi kuhamasisha maandamano ya vijana kujitoa muhanga dhidi ya vitisho vya dola. Namsikia Lissu akisema habari ya kuingia barabarani. Nakuapia kwa viongozi hawa wa CHADEMA hakuna mtu mjinga wa kutoa uhai wake au kupata majeraha kwa ajili yao kwasababu sio wakweli.

2. CHADEMA ya sasa ina wagombea dhaifu sana wa Ubunge kuliko hata ile ya mwaka 2005. Wabunge wenye kamsuli kidogo wameshakaa miaka 10 madarakani na hawafiki 10. Wana wakati mgumu wa kuonyesha walichofanya kwa miaka hiyo 10 na kwa kawaida watu wanakuwa washakuchoka.

Wagombea wengi wa Ubunge wa sasa ni dhaifu kisiasa, kielimu na kirasilimali. Hawawezi kupambana na wagombea wa CCM hata kidogo. Wagombea wengi majimboni ni wale waliokuwa wanataka Vitimaalum wamelazimishwa kugombea majimboni ili angalau wachange change kura kwa ajili ya ruzuku siku zijazo. KUMBUKA RUZUKU INATEGEMEA IDADI YA KURA ZA WABUNGE SIO RAIS.

Sasa kama huna wagombea imara wa Ubunge utashindaje Urais? Isitoshe chama chenyewe hakina hata hela ya kampeni? CHADEMA hii ya sasa ni JUMBA BOVU limemwangukia Lissu. Kuna majimbo hayana wagombea na mengine yana wagombea wawakilishi tu ili karatasi ya kura isikose nembo ya CHADEMA sio Wagombea shindani. Muda ungekuwepo tungechambua mgombea mmoja baada ya mwingine wa CHADEMA kwenye kila jimbo.

Siku zijazo nitatoa sababu za Lissu kushindwa ambazo ni udhaifu wake binafsi ili siku matokeo yakitangazwa tukumbushane isiwe tumeshtukizwa. Naomba kuwasilisha
Upo ccm lakini kutwa unahangaika na CHADEMA. Au na wewe ni afisa kipenyo?

Jengeni ccm yenu. Achana na chadema. Hawakuskilizi na hawatakusikiliza
 
Punguza chuki jombaa, endelea na maisha yako huko uliko maana ulipokuwa CDM hatujaona chochote na hata sasa huna legacy uliyoacha, so acha wenzio waendelee na kazi.
Hahaha bensi bwana. Ni mchumia tumbo tu.
 
Back
Top Bottom