Uchaguzi 2020 CHADEMA imembebesha Lissu jumba bovu. Atashindwa lakini atatoa changamoto

Hujui kitu wewe

Ww ni wale wachaga wanaokunywa vibiabia vilivyofloat vya mchana, kisha vikipanda kichwani vinaamsha hasira yako kwa watu uliotegemea wakutoe halafu wakakupotezea. Uko ccm lakini huna mchango wowote tangible kwa chama hicho, bali umebaki na gia hilo hilo la kuifitini cdm ili thamani yako ipande huko ccm.

Kama ccm walikuwa wanakuona wa maana mbona chaguzi hizi zinaendelea hujapewa nafasi yoyote? Ccm walitegemea nyie mkihamia huko mtaipa mvuto, mbona ccm bado inategemea hujuma kushinda uchaguzi, na sio mvuto ambao nyie mmeenda nao? Uchaguzi WA SM za mitaa juzi ccm imejitangaza washindi bila kuuza sera, mbona haijakutumia ww na wajasiriasiasa wenzako kushinda kwa kura? Punda kihongwe ww.
 
Vipi polepole? Na mwenyekiti wake anafeki PHD, msirushe mawe kwenye nyumba ya vioo. Mtaumbuka
 
Wivu kitu kibaya sana.
Ngoja nifute fute gari kwanza
 
Mataga wa CCM akiwemo mleta mada mliishambulia CDM na kusema imekufa,hamjaamini macho yenu watu wanavyompokea Lissu mikoani,sasa mnakuja na propaganda zisizo na kichwa wala miguu!
 
Unaandika ili baadae uje kusema ulisema
 
CCM hawana mpango na wewe, jikite tu kwenye biashara yako ya mama lishe na bar bubu
 
Naona unatafuta nafasi ya kufagia Ikulu😂😂.
 
Hata matibabu ya Lissu uliambiwa hivyo hivyo kuwa zimechangwa ila waakubwa wakavunja akiba ya akaunti ya michango ya wabunge kwa matibabu hayo hayo. Wale walijilipia usiwe mjinga
Ww ndo mjinga wa kudhani lissu matibabu yake ni sawa na mgonjwa mwingine pale muhimbili ..yaani ww cjui ni mchaga gani mpumbavu kiasi hicho ..miaka mitatu mtu atatibiwa kwa bilion ngp? Ndugai miezi 6 tu ilitumika bilion 29 japo ni ufisadi was hali ya juu ..je kwa akili yako fupi Kama ulivyo ww unadhani lissu ametibiwa kwa sh ngp hadi anarejea nchini? Yaan kifupi wee ni kenge tu
 
Naona hili jukwaa linazidi kuharibika, kuna haja gani ya kuhoji Kabila la mtoa mada hata kama baadhi yetu hatupendi alichoposti.

Hivi ni lazima Wachaga wote wawe wanadapoti chama kimoja? Uhuru na Demokrasia ya kuchagua iko wapi sasa?

Hili nimeona niliseme hapa maana nimesoma majibu ya watu mbali kwa mtoa mada na baadhi wamehoji uhalali wa yeye kuwa Mchaga.

Kwakweli inasikitisha sana hapa tulipofika wana JF.
 
Jitahidi kuichukia chadema mitandaoni ili Magufuli akupe teuzi, jitahidi eheee, haya jitahidi sana.
Ukilala chadema ukiamka Mbowe.. Mpaka upate teuzi usiache kujitahid ehee.
Teuzi zinawatoa akili.
Na hivi Chakubanga kawambia teuzi zipo kwa wenye kupambana na CHADEMA.
 
Hayo ni mawazo yako, nakusikitikia umeshindwa kuzisoma alama za nyakati.
 
Aisee, tumerudi kuangalia utabiri wako🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…