Chadema imemfanya Lissu kufilisika, enzi akifanya shughuli za uwakili, alikuwa ana mabilioni kwenye akaunti, sasa anatembeza bakuli

Umesahau mpaka kawa kichaa yaani kichwani kawa mtupu, anatapa tapa tu ovyo mara mbowe mwizi mara kuna rushwa chama mfu chadema. Nadhani asaidiwe kisaikolojia ili arudi kuwa mtu
 
Kimbene unahangaika mno na chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…