Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Ni property ya Madelu system.Shughulika na uombaji dhamana za akina "Mungiki ole Saambaya"!Unayoyabuni kwa CDM yatakufanya ujinunishe tu.😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni property ya Madelu system.Shughulika na uombaji dhamana za akina "Mungiki ole Saambaya"!Unayoyabuni kwa CDM yatakufanya ujinunishe tu.😂😂😂
Duh!Hasara!Mwenzie anafukunyua makabrasha ya matumizi hewa pale "the big house" kumbe yeye anachezea simu?😂😂😂Ni property ya Madelu system.
Naunga mkono hoja, Chadema bila ruzuku ni safari ya kuelekea 6ft under.Ndugu zangu,
Kiongozi mmoja ambaye ni mwandamizi alisema "huwezi kuwaambia wenzako wajikite kwenye shughuli za chama kwa kutumia gharama zao, watoto wao watakula nini, watasomaje, hakuna kazi ya bure; viongozi wa dini wanakula madhabahuni, majaji na wanasheria wanakula kortini na sisi wanasiasa lazima siasa zitutunze"
Baadhi ya viongozi wamebeza kauli ya Mbowe kuwa "CHADEMA haichukui ruzuku", wameonyesha wasiwasi, wameenda mbali kwa kusema "ni nani kati yetu anajua kwa hakika mambo ya fedha ya Chadema miaka yote?"
Muda unasema sasa!
Unatafuta mume kinguvuWakwanza huyo
Nikoseat ya mbele kabisa nasubiri wengine wanase
Una mawazo "safi" kama mzee Wassira!Naunga mkono hoja, Chadema bila ruzuku ni safari ya kuelekea 6ft under.
P
Sawa kiongoziShughulikieni mapungufu
TUNAWASHANGGAA WALIOKOMHUKO WANA MOYO WA KIFALA SANA WANASUBIRI NINI SASAHivi mnapata wapi ujasiri wa kukizungumzia chama mnachosema kimekufa? Chama ambacho hakina Wabunge? Hakina ruzuku? Hakina Watendaji serikalini?
Mwendazake Mwendazakee, Mwandazake, Mwendazake , Mwendazake, Mwendazake kweli hakulamba?
Shughulika na uombaji dhamana za akina "Mungiki ole Saambaya"!Unayoyabuni kwa CDM yatakufanya ujinunishe tu.[emoji23][emoji23][emoji23]
Kamueleze mzee Wassira anaweza kukusaidia🤣🤣🤣Jielekeze kwenye hoja kamanda
Kamueleze mzee Wassira anaweza kukusaidia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huwa huna hoja ila mwingi wa haja.😂Acha kupanic,tuliza akilia pambana na hoja
Huwa huna hoja ila mwingi wa haja.[emoji23]
sawa najikita lkn na hayo ni ya muhimu ili tuweze kupata mlo wetu, au siyo mpenzi/shemeji wetu?Jikite kwenye hoja acha kulialia
TANU ilikuwa ilipewa na ruzuku na wakoloni??? Akili gani hiiNdugu zangu,
Wakati umefika sasa baadhi ya viongozi wamemweleza Mbowe aache kuhadaa makamanda "kukubaliana na njaa, kuendesha chama kwa hela zao" ilihali yeye anatumia rasilimali za chama kuaafiri, kujilipa posho nk.
Kiongozi mmoja ambaye ni mwandamizi alisema "huwezi kuwaambia wenzako wajikite kwenye shughuli za chama kwa kutumia gharama zao, watoto wao watakula nini, watasomaje, hakuna kazi ya bure; viongozi wa dini wanakula madhabahuni, majaji na wanasheria wanakula kortini na sisi wanasiasa lazima siasa zitutunze"
Baadhi ya viongozi wamebeza kauli ya Mbowe kuwa "CHADEMA haichukui ruzuku", wameonyesha wasiwasi, wameenda mbali kwa kusema "ni nani kati yetu anajua kwa hakika mambo ya fedha ya Chadema miaka yote?"
Kumekuwepo pia na tuhuma za upendeleo wa wazi wazi ambao baadhi ya viongozi hao wamelalamikia. "Tunarudi tulikotoka,tulianza kutengeneza taasisi lakini sasa ni dhahiri tunaiona sura ya ubinafsi"
Muda unasema sasa!
Ndugu yangu,wakudadavua,Kamanda mchovu,nigrantagrant,kwani mnatumwa na nani,je ni wanachama kweli wa chama mnachokishambulia kila uchao au ni mamluki,au ni mlioenguliwa,ama waunga juhudi wa enzi zile .Msaada kutoka kwenu tafadhali.Ndugu zangu,
Wakati umefika sasa baadhi ya viongozi wamemweleza Mbowe aache kuhadaa makamanda "kukubaliana na njaa, kuendesha chama kwa hela zao" ilihali yeye anatumia rasilimali za chama kuaafiri, kujilipa posho nk.
Kiongozi mmoja ambaye ni mwandamizi alisema "huwezi kuwaambia wenzako wajikite kwenye shughuli za chama kwa kutumia gharama zao, watoto wao watakula nini, watasomaje, hakuna kazi ya bure; viongozi wa dini wanakula madhabahuni, majaji na wanasheria wanakula kortini na sisi wanasiasa lazima siasa zitutunze"
Baadhi ya viongozi wamebeza kauli ya Mbowe kuwa "CHADEMA haichukui ruzuku", wameonyesha wasiwasi, wameenda mbali kwa kusema "ni nani kati yetu anajua kwa hakika mambo ya fedha ya Chadema miaka yote?"
Kumekuwepo pia na tuhuma za upendeleo wa wazi wazi ambao baadhi ya viongozi hao wamelalamikia. "Tunarudi tulikotoka,tulianza kutengeneza taasisi lakini sasa ni dhahiri tunaiona sura ya ubinafsi"
Muda unasema sasa!
Kwani mnasahau kama ni kufa zamani kingekuwa kimesahaulika,ndio maana wengi bado mnatamani zirudi enzi zilizopita hivi karibuni,sasa naamini wengi mlinufaika na enzi za kutofuata sheria,taratibu na hata Katiba ,hii imeekaaje wajameni.Sasa niwaambie tu kwa yote waliyopitia wapenda haki,hivi sasa,wameimarika Sana.Na wanaona mwanga na wananguvu Sana za kuzidisha mapambano yenye tija na manufaa kwa taifa.Naunga mkono hoja, Chadema bila ruzuku ni safari ya kuelekea 6ft under.
P
sawa najikita lkn na hayo ni ya muhimu ili tuweze kupata mlo wetu, au siyo mpenzi/shemeji wetu?
Pole sana, Wimbo huo umeuimba kwa siku nyingi mno mpaka umechina.Naunga mkono hoja, Chadema bila ruzuku ni safari ya kuelekea 6ft under.
P