CHADEMA in Limbo: Makundi, njaa, upendeleo vyatajwa kuwa chanzo cha sintofahamu

CHADEMA in Limbo: Makundi, njaa, upendeleo vyatajwa kuwa chanzo cha sintofahamu

Ndugu zangu,
Kiongozi mmoja ambaye ni mwandamizi alisema "huwezi kuwaambia wenzako wajikite kwenye shughuli za chama kwa kutumia gharama zao, watoto wao watakula nini, watasomaje, hakuna kazi ya bure; viongozi wa dini wanakula madhabahuni, majaji na wanasheria wanakula kortini na sisi wanasiasa lazima siasa zitutunze"

Baadhi ya viongozi wamebeza kauli ya Mbowe kuwa "CHADEMA haichukui ruzuku", wameonyesha wasiwasi, wameenda mbali kwa kusema "ni nani kati yetu anajua kwa hakika mambo ya fedha ya Chadema miaka yote?"
Muda unasema sasa!
Naunga mkono hoja, Chadema bila ruzuku ni safari ya kuelekea 6ft under.
P
 
Hivi mnapata wapi ujasiri wa kukizungumzia chama mnachosema kimekufa? Chama ambacho hakina Wabunge? Hakina ruzuku? Hakina Watendaji serikalini?
TUNAWASHANGGAA WALIOKOMHUKO WANA MOYO WA KIFALA SANA WANASUBIRI NINI SASA
 
Ndugu zangu,

Wakati umefika sasa baadhi ya viongozi wamemweleza Mbowe aache kuhadaa makamanda "kukubaliana na njaa, kuendesha chama kwa hela zao" ilihali yeye anatumia rasilimali za chama kuaafiri, kujilipa posho nk.

Kiongozi mmoja ambaye ni mwandamizi alisema "huwezi kuwaambia wenzako wajikite kwenye shughuli za chama kwa kutumia gharama zao, watoto wao watakula nini, watasomaje, hakuna kazi ya bure; viongozi wa dini wanakula madhabahuni, majaji na wanasheria wanakula kortini na sisi wanasiasa lazima siasa zitutunze"

Baadhi ya viongozi wamebeza kauli ya Mbowe kuwa "CHADEMA haichukui ruzuku", wameonyesha wasiwasi, wameenda mbali kwa kusema "ni nani kati yetu anajua kwa hakika mambo ya fedha ya Chadema miaka yote?"

Kumekuwepo pia na tuhuma za upendeleo wa wazi wazi ambao baadhi ya viongozi hao wamelalamikia. "Tunarudi tulikotoka,tulianza kutengeneza taasisi lakini sasa ni dhahiri tunaiona sura ya ubinafsi"

Muda unasema sasa!
TANU ilikuwa ilipewa na ruzuku na wakoloni??? Akili gani hii
 
Ndugu zangu,

Wakati umefika sasa baadhi ya viongozi wamemweleza Mbowe aache kuhadaa makamanda "kukubaliana na njaa, kuendesha chama kwa hela zao" ilihali yeye anatumia rasilimali za chama kuaafiri, kujilipa posho nk.

Kiongozi mmoja ambaye ni mwandamizi alisema "huwezi kuwaambia wenzako wajikite kwenye shughuli za chama kwa kutumia gharama zao, watoto wao watakula nini, watasomaje, hakuna kazi ya bure; viongozi wa dini wanakula madhabahuni, majaji na wanasheria wanakula kortini na sisi wanasiasa lazima siasa zitutunze"

Baadhi ya viongozi wamebeza kauli ya Mbowe kuwa "CHADEMA haichukui ruzuku", wameonyesha wasiwasi, wameenda mbali kwa kusema "ni nani kati yetu anajua kwa hakika mambo ya fedha ya Chadema miaka yote?"

Kumekuwepo pia na tuhuma za upendeleo wa wazi wazi ambao baadhi ya viongozi hao wamelalamikia. "Tunarudi tulikotoka,tulianza kutengeneza taasisi lakini sasa ni dhahiri tunaiona sura ya ubinafsi"

Muda unasema sasa!
Ndugu yangu,wakudadavua,Kamanda mchovu,nigrantagrant,kwani mnatumwa na nani,je ni wanachama kweli wa chama mnachokishambulia kila uchao au ni mamluki,au ni mlioenguliwa,ama waunga juhudi wa enzi zile .Msaada kutoka kwenu tafadhali.
 
Naunga mkono hoja, Chadema bila ruzuku ni safari ya kuelekea 6ft under.
P
Kwani mnasahau kama ni kufa zamani kingekuwa kimesahaulika,ndio maana wengi bado mnatamani zirudi enzi zilizopita hivi karibuni,sasa naamini wengi mlinufaika na enzi za kutofuata sheria,taratibu na hata Katiba ,hii imeekaaje wajameni.Sasa niwaambie tu kwa yote waliyopitia wapenda haki,hivi sasa,wameimarika Sana.Na wanaona mwanga na wananguvu Sana za kuzidisha mapambano yenye tija na manufaa kwa taifa.
 
Itawasaidia kupata usingizi, endelea kujiliwaza na wenzio.
 
Naunga mkono hoja, Chadema bila ruzuku ni safari ya kuelekea 6ft under.
P
Pole sana, Wimbo huo umeuimba kwa siku nyingi mno mpaka umechina.
Baada ya yale MAPOROJO ya Lwakatare kumwaga mboga na JIWE kuondoka zake, kama mzoefu ungejionea huruma na kujinyamazia.
 
Back
Top Bottom