CHADEMA in Limbo: Makundi, njaa, upendeleo vyatajwa kuwa chanzo cha sintofahamu

CHADEMA in Limbo: Makundi, njaa, upendeleo vyatajwa kuwa chanzo cha sintofahamu

Ndugu zangu,

Wakati umefika sasa baadhi ya viongozi wamemweleza Mbowe aache kuhadaa makamanda "kukubaliana na njaa, kuendesha chama kwa hela zao" ilihali yeye anatumia rasilimali za chama kuaafiri, kujilipa posho nk.

Kiongozi mmoja ambaye ni mwandamizi alisema "huwezi kuwaambia wenzako wajikite kwenye shughuli za chama kwa kutumia gharama zao, watoto wao watakula nini, watasomaje, hakuna kazi ya bure; viongozi wa dini wanakula madhabahuni, majaji na wanasheria wanakula kortini na sisi wanasiasa lazima siasa zitutunze"

Baadhi ya viongozi wamebeza kauli ya Mbowe kuwa "CHADEMA haichukui ruzuku", wameonyesha wasiwasi, wameenda mbali kwa kusema "ni nani kati yetu anajua kwa hakika mambo ya fedha ya Chadema miaka yote?"

Kumekuwepo pia na tuhuma za upendeleo wa wazi wazi ambao baadhi ya viongozi hao wamelalamikia. "Tunarudi tulikotoka,tulianza kutengeneza taasisi lakini sasa ni dhahiri tunaiona sura ya ubinafsi"

Muda unasema sasa!
Mbona kama wewe wakudadavua ndio una njaa.
Nakushauri ongelea ya Lumbumba, ya Ufipa waachie wenyewe.

Umeelewa?
 
Kamanda tulia
Pole sana, Wimbo huo umeuimba kwa siku nyingi mno mpaka umechina.
Baada ya yale MAPOROJO ya Lwakatare kumwaga mboga na JIWE kuondoka zake, kama mzoefu ungejionea huruma na kujinyamazia.
 
Ndugu zangu,

Wakati umefika sasa baadhi ya viongozi wamemweleza Mbowe aache kuhadaa makamanda "kukubaliana na njaa, kuendesha chama kwa hela zao" ilihali yeye anatumia rasilimali za chama kuaafiri, kujilipa posho nk.

Kiongozi mmoja ambaye ni mwandamizi alisema "huwezi kuwaambia wenzako wajikite kwenye shughuli za chama kwa kutumia gharama zao, watoto wao watakula nini, watasomaje, hakuna kazi ya bure; viongozi wa dini wanakula madhabahuni, majaji na wanasheria wanakula kortini na sisi wanasiasa lazima siasa zitutunze"

Baadhi ya viongozi wamebeza kauli ya Mbowe kuwa "CHADEMA haichukui ruzuku", wameonyesha wasiwasi, wameenda mbali kwa kusema "ni nani kati yetu anajua kwa hakika mambo ya fedha ya Chadema miaka yote?"

Kumekuwepo pia na tuhuma za upendeleo wa wazi wazi ambao baadhi ya viongozi hao wamelalamikia. "Tunarudi tulikotoka,tulianza kutengeneza taasisi lakini sasa ni dhahiri tunaiona sura ya ubinafsi"

Muda unasema sasa!
Hayakuhusu!
 
Kamanda jikite kwenye hoja
Kwani mnasahau kama ni kufa zamani kingekuwa kimesahaulika,ndio maana wengi bado mnatamani zirudi enzi zilizopita hivi karibuni,sasa naamini wengi mlinufaika na enzi za kutofuata sheria,taratibu na hata Katiba ,hii imeekaaje wajameni.Sasa niwaambie tu kwa yote waliyopitia wapenda haki,hivi sasa,wameimarika Sana.Na wanaona mwanga na wananguvu Sana za kuzidisha mapambano yenye tija na manufaa kwa taifa.
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amekiri kuwa kushindwa kwa Chadema kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kulitokana na kuweka wagombea dhaifu kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo uraisi na hivyo wamejifunza na uchaguzi ujao wataweka wagombea wenye nguvu na ushawishi watakaozunguka nchi nzima kunadi sera na ajenda za wanachi.

Mbowe amesema Chadema haijawahi kuishiwa ajenda za kupambana na ccm.


My take.

Watakiri yote waliyomsingizia mwendazake laana ya kumtukana imeanza kuwatafuna.

Kumbe waliweka wagombea dhaifu alafu wakasingizia wameibiwa kura na mwendazake. Hovyo kabisa.

Kuibiwa kura nyingi hivyo. Chadema kupata jimbo moja tu aaaaaa hapana kabisa. Kulikuweko na tatizo kubwa sana. At list majimbo 10 hivi tungepata
 
Ndugu zangu,

Wakati umefika sasa baadhi ya viongozi wamemweleza Mbowe aache kuhadaa makamanda "kukubaliana na njaa, kuendesha chama kwa hela zao" ilihali yeye anatumia rasilimali za chama kuaafiri, kujilipa posho nk.

Kiongozi mmoja ambaye ni mwandamizi alisema "huwezi kuwaambia wenzako wajikite kwenye shughuli za chama kwa kutumia gharama zao, watoto wao watakula nini, watasomaje, hakuna kazi ya bure; viongozi wa dini wanakula madhabahuni, majaji na wanasheria wanakula kortini na sisi wanasiasa lazima siasa zitutunze"

Baadhi ya viongozi wamebeza kauli ya Mbowe kuwa "CHADEMA haichukui ruzuku", wameonyesha wasiwasi, wameenda mbali kwa kusema "ni nani kati yetu anajua kwa hakika mambo ya fedha ya Chadema miaka yote?"

Kumekuwepo pia na tuhuma za upendeleo wa wazi wazi ambao baadhi ya viongozi hao wamelalamikia. "Tunarudi tulikotoka,tulianza kutengeneza taasisi lakini sasa ni dhahiri tunaiona sura ya ubinafsi"

Muda unasema sasa!
Mpaka kufika 2025 Chadema itakuwa zaidi PONA!
 
Kutibiwa kura nyingi hivyo. Chadema kupata jimbo moja tu aaaaaa hapana kabisa. Kulikuweko na tatizo kubwa sana. At list majimbo 10 hivi tungepata
Jee unaweza kuyataja hata majimbo 5 tuu ambayo unafikiri Chadema ingeshinda? .
 
Chadema sio chama tawala,maneno kibao,ingekuwa kinatawala ingekuwaje?
Kuna lichama lipo Madarakani tangu 1960!lakini halijaweza kutatua shida za wananchi
Nchi gani duniani ambayo imeweza kutatua changamoto za wananchi 100%?

Ebu itaje hata moja hapa,kazi kukaririshwa bila kutumia UBONGO
 
Ndugu zangu,

Wakati umefika sasa baadhi ya viongozi wamemweleza Mbowe aache kuhadaa makamanda "kukubaliana na njaa, kuendesha chama kwa hela zao" ilihali yeye anatumia rasilimali za chama kuaafiri, kujilipa posho nk.

Kiongozi mmoja ambaye ni mwandamizi alisema "huwezi kuwaambia wenzako wajikite kwenye shughuli za chama kwa kutumia gharama zao, watoto wao watakula nini, watasomaje, hakuna kazi ya bure; viongozi wa dini wanakula madhabahuni, majaji na wanasheria wanakula kortini na sisi wanasiasa lazima siasa zitutunze"

Baadhi ya viongozi wamebeza kauli ya Mbowe kuwa "CHADEMA haichukui ruzuku", wameonyesha wasiwasi, wameenda mbali kwa kusema "ni nani kati yetu anajua kwa hakika mambo ya fedha ya Chadema miaka yote?"

Kumekuwepo pia na tuhuma za upendeleo wa wazi wazi ambao baadhi ya viongozi hao wamelalamikia. "Tunarudi tulikotoka,tulianza kutengeneza taasisi lakini sasa ni dhahiri tunaiona sura ya ubinafsi"

Muda unasema sasa!
Nndugu yangu wakudada,hebu yadadavue na madudu ndani ya chama chako japo mara moja,ngoma isiyokuhusu iwejewaifungia kibwebwe.
 
Another rubbish from a despondent harlot who has lost favour from the current establishment.
 
Back
Top Bottom