CHADEMA ina watu wana akili sana

CHADEMA ina watu wana akili sana

We popoma una akili gani zaidi ya kujaza matope tu kichwani, una msongo mkubwa sana wa mawazo kwa kukosa hela, fanya kazi hata ya kuuza nyanya sokoni ujikwamue kiuchumi
Leo Mtu mwenye Hadhi ya VIP hapa nchini Uganda huku AKIIHESHIMISHA Tanzania anaambiwa Hana Hela, afanye Kazi hata ya Kuuza Nyanya Sokoni ili ajikwamue Kiuchumi. Kuna Watu hapa JamiiForums mnakariri Maisha kwamba yule GENTAMYCINE wa 2017 hadi 2023 mliyekuwa ama mnamjua au mnamuona basi ndiyo huyu wa leo 2024.

Mwenyezi Mungu awasameheni / akusamehe mno kwa huo / huu UPUMBAVU wenu. Nina uhakika wa 100% ukibahatisha kujua HADHI niliyonayo sasa hapa nchini Uganda si tu utaniomba RADHI bali utasema pia uwe Mke wangu (japo Wewe ni Mwanaume) na unajua Wanaume wakiwa Wake za Wanaume wenzao wanakuwa ni akina nani.
 
Leo kupitia uzinduzi wa hii kampeni ya tonetone, Watanzania wote tunashuhudia ni namna gani hiki chama kina watu smart, walio na maarifa sahihi ya kulipeleka hili Taifa mbele.

Leo tunashuhudia kuwa yale maneno ya CCM kuwa CHADEMA haina watu wanaoweza kuliongoza hili Taifa ni maneno ya kipuuzi ambayo kumbe kiuhalisia ni CCM iliyokosa watu wenye uwezo sqhihi maana CHADEMA ina watu na vijana smart sana.

Katika uzinduzi wa Kampeni ya Tonetone leo, tumeshuhudia vijana wa CHADEMA walivyo na maarifa ya kuweza kuiongoza nchi yetu katika dunia hii ya sayansi na teknolojia kwa kuonesha namna gani wanaweza kukusanya michango ya kuendesha chama chao kwa kutumia sayansi na teknolojia.

Hongereni sana CHADEMA. Mungu azidi kuwanyanyua.
Asante sana
 
Sasa Mzee kama Wassira kweli anajua Crypto asilimia kubwa ya muda wake amesinzia?!

suti (1).jpg
 
Mkuu cryptocurrency usiifananishe na Laki Si Pesa

Leo kupitia uzinduzi wa hii kampeni ya tonetone, Watanzania wote tunashuhudia ni namna gani hiki chama kina watu smart, walio na maarifa sahihi ya kulipeleka hili Taifa mbele.

Leo tunashuhudia kuwa yale maneno ya CCM kuwa CHADEMA haina watu wanaoweza kuliongoza hili Taifa ni maneno ya kipuuzi ambayo kumbe kiuhalisia ni CCM iliyokosa watu wenye uwezo sqhihi maana CHADEMA ina watu na vijana smart sana.

Katika uzinduzi wa Kampeni ya Tonetone leo, tumeshuhudia vijana wa CHADEMA walivyo na maarifa ya kuweza kuiongoza nchi yetu katika dunia hii ya sayansi na teknolojia kwa kuonesha namna gani wanaweza kukusanya michango ya kuendesha chama chao kwa kutumia sayansi na teknolojia.

Hongereni sana CHADEMA. Mungu azidi kuwanyanyua.
Wee jamaa unachosha na mipost yako ya shobo Sasa hizo akili za kupiga virungu ata mateja basi wako nazo teja anakupiga kavu kavu sio hao malofa wanahadaa wenzao.
 
Big brains ziko opposition sio CCM.
Kweli. Kuna wana ccm wengine hata katiba hawaojui kabisa. Wao huamini hata viongozi wa upinzani ni matapeli na vibaka. Na pia wanaamini raiya kudai haki zao za kiraiya kama ile ya kupiga kura na kushiriki kwenye uchagizi huru nawa haki ni kuvuruga amani. Wapo humu jukwaani
 
Leo kupitia uzinduzi wa hii kampeni ya tonetone, Watanzania wote tunashuhudia ni namna gani hiki chama kina watu smart, walio na maarifa sahihi ya kulipeleka hili Taifa mbele.

Leo tunashuhudia kuwa yale maneno ya CCM kuwa CHADEMA haina watu wanaoweza kuliongoza hili Taifa ni maneno ya kipuuzi ambayo kumbe kiuhalisia ni CCM iliyokosa watu wenye uwezo sqhihi maana CHADEMA ina watu na vijana smart sana.

Katika uzinduzi wa Kampeni ya Tonetone leo, tumeshuhudia vijana wa CHADEMA walivyo na maarifa ya kuweza kuiongoza nchi yetu katika dunia hii ya sayansi na teknolojia kwa kuonesha namna gani wanaweza kukusanya michango ya kuendesha chama chao kwa kutumia sayansi na teknolojia.

Hongereni sana CHADEMA. Mungu azidi kuwanyanyua.
Ccm wanachama wao walishadumazwa kwa kupewa elfu 10 na kubebwa kwenye malori/ mikokoteni ,alafu ndo hao badae uteuliwa ati kuwa viongozi ,unategemea nini
 
Wewe unasema !? weka namba yako hapo nikutumie kibunda wewe chawa , unafikiri watu wote malofa Kama Chadomo.
Matusi na uchawi havitakusaidia lolote wewe wala wazazi wako, jifunze kujadili hoja bila kutukana, huu ndio ustaarabu wa JF
 
Leo kupitia uzinduzi wa hii kampeni ya tonetone, Watanzania wote tunashuhudia ni namna gani hiki chama kina watu smart, walio na maarifa sahihi ya kulipeleka hili Taifa mbele.

Leo tunashuhudia kuwa yale maneno ya CCM kuwa CHADEMA haina watu wanaoweza kuliongoza hili Taifa ni maneno ya kipuuzi ambayo kumbe kiuhalisia ni CCM iliyokosa watu wenye uwezo sqhihi maana CHADEMA ina watu na vijana smart sana.

Katika uzinduzi wa Kampeni ya Tonetone leo, tumeshuhudia vijana wa CHADEMA walivyo na maarifa ya kuweza kuiongoza nchi yetu katika dunia hii ya sayansi na teknolojia kwa kuonesha namna gani wanaweza kukusanya michango ya kuendesha chama chao kwa kutumia sayansi na teknolojia.

Hongereni sana CHADEMA. Mungu azidi kuwanyanyua.
Kuna kitu gani special wamefanya hapo? Watu tuna vicoba na wajumbe wapo kwenye Diaspora na michango haikwami hata kidogo mnakuja kusifia chama kinachotaka kuongoza nchi kuwa ombaomba? Yaani hujaongoza nchi ushakuwa ombaomba? Ushamba wa wapi huu?
 
Back
Top Bottom