Mama Naa
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 453
- 1,104
Ha ha ha ha ha ha ....Tokea nikuone hapa JamiiForums hujawahi kuwa na Akili na una vijitabia vya Wanaume wa Kinondoni Mkwajuni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha ha ha ....Tokea nikuone hapa JamiiForums hujawahi kuwa na Akili na una vijitabia vya Wanaume wa Kinondoni Mkwajuni.
Ccm ni janga la taifa
That was amazing.....cross cutting edge kwenye ubunifu wa matumizi ya techLeo kupitia uzinduzi wa hii kampeni ya tonetone, Watanzania wote tunashuhudia ni namna gani hiki chama kina watu smart, walio na maarifa sahihi ya kulipeleka hili Taifa mbele.
Leo tunashuhudia kuwa yale maneno ya CCM kuwa CHADEMA haina watu wanaoweza kuliongoza hili Taifa ni maneno ya kipuuzi ambayo kumbe kiuhalisia ni CCM iliyokosa watu wenye uwezo sqhihi maana CHADEMA ina watu na vijana smart sana.
Katika uzinduzi wa Kampeni ya Tonetone leo, tumeshuhudia vijana wa CHADEMA walivyo na maarifa ya kuweza kuiongoza nchi yetu katika dunia hii ya sayansi na teknolojia kwa kuonesha namna gani wanaweza kukusanya michango ya kuendesha chama chao kwa kutumia sayansi na teknolojia.
Hongereni sana CHADEMA. Mungu azidi kuwanyanyua.
Na ndio wanatafuna nchi kila siku wako dubai, marekani.CCM wanabebana watoto wa vigogo na kupeana fursa wao kwa wao
😀😀Ccm ni janga la taifa
Kwani akivaa viatu vifupi inakuwaje? Imaginemke wa nje wa netamyahuView attachment 3252760
Bakuli hadi serekali inatembeza, ndio itakuwa chama cha siasa kisichokusanya kodi?Kama Yaani akili mnayojisifia nayo nyie vilaza ni kutembeza Bakuli ndio kusema nyumbu Wana akili kuwazidi 😁😁
Wapi Serikali uliwahi ona inatembwza Bakuli sijui kuandaa misheni za kijinga kama hizo?Bakuli hadi serekali inatembeza, ndio itakuwa chama cha siasa kisichokusanya kodi?
Wanachota hazinaWapi Serikali uliwahi ona inatembwza Bakuli sijui kuandaa misheni za kijinga kama hizo?
Itoshe kusema nyumbu Wana akili kuwazidi 🤣🤣
Serikali ni nini? Hazina ipo Kwa jukumu lipi?Wanachota hazina
Mpaka waitishe kwa njia ya tone tone? Tazama kwenye bajeti ya serekali kisha uone fedha nyingine zinatoka wapi, ndio ujue bakuli ndio habari ya mjini. Ukiona huelewi vizuri, tafuta mwalimu wa historia akaumbie Nyerere alikuwa anaenda UNO kwa hela za aina gani. Ukimaliza hapo uje tuendelee na mjadala.Wapi Serikali uliwahi ona inatembwza Bakuli sijui kuandaa misheni za kijinga kama hizo?
Itoshe kusema nyumbu Wana akili kuwazidi 🤣🤣
Hamna akili nyie,join the chain,sijui upuuzi gani saizi mumekuja na huo utapeli 🤣🤣Mpaka waitishe kwa njia ya tone tone? Tazama kwenye bajeti ya serekali kisha uone fedha nyingine zinatoka wapi, ndio ujue bakuli ndio habari ya mjini. Ukiona huelewi vizuri, tafuta mwalimu wa historia akaumbie Nyerere alikuwa anaenda UNO kwa hela za aina gani. Ukimaliza hapo uje tuendelee na mjadala.
Tulia uone wanaume wanakusanya mpunga wa kutosha. Jana peke yake umeingia mpunga wa kutosha, na bado tunaendelea kutoa. Utajisaidia boga safari hii.Hamna akili nyie,join the chain,sijui upuuzi gani saizi mumekuja na huo utapeli 🤣🤣
Kamateni nyumbu wenzenu
Kusanyeni Kwa nyumbu wenzenuTulia uone wanaume wanakusanya mpunga wa kutosha. Jana peke yake umeingia mpunga wa kutosha, na bado tunaendelea kutoa. Utajisaidia boga safari hii.
Tena sio kidogo, ni nyingi kweli kweli. Hutaki jinyonge.Kusanyeni Kwa nyumbu wenzenu
Leo ombaomba ni big brains huko Chadema! Basi sawa.Big brains ziko opposition sio CCM.
Chadema ni mpango wa MunguLeo kupitia uzinduzi wa hii kampeni ya tonetone, Watanzania wote tunashuhudia ni namna gani hiki chama kina watu smart, walio na maarifa sahihi ya kulipeleka hili Taifa mbele.
Leo tunashuhudia kuwa yale maneno ya CCM kuwa CHADEMA haina watu wanaoweza kuliongoza hili Taifa ni maneno ya kipuuzi ambayo kumbe kiuhalisia ni CCM iliyokosa watu wenye uwezo sqhihi maana CHADEMA ina watu na vijana smart sana.
Katika uzinduzi wa Kampeni ya Tonetone leo, tumeshuhudia vijana wa CHADEMA walivyo na maarifa ya kuweza kuiongoza nchi yetu katika dunia hii ya sayansi na teknolojia kwa kuonesha namna gani wanaweza kukusanya michango ya kuendesha chama chao kwa kutumia sayansi na teknolojia.
Hongereni sana CHADEMA. Mungu azidi kuwanyanyua.
Mimi nilidhani utasema ustaarab kwa Chadomo kumbe hiki kidilingi, fanya kazi wewe lofa acha uchawa it is not good for your health.Matusi na uchawi havitakusaidia lolote wewe wala wazazi wako, jifunze kujadili hoja bila kutukana, huu ndio ustaarabu wa JF