CHADEMA ina watu wana akili sana

CHADEMA ina watu wana akili sana

Leo kupitia uzinduzi wa hii kampeni ya tonetone, Watanzania wote tunashuhudia ni namna gani hiki chama kina watu smart, walio na maarifa sahihi ya kulipeleka hili Taifa mbele.

Leo tunashuhudia kuwa yale maneno ya CCM kuwa CHADEMA haina watu wanaoweza kuliongoza hili Taifa ni maneno ya kipuuzi ambayo kumbe kiuhalisia ni CCM iliyokosa watu wenye uwezo sqhihi maana CHADEMA ina watu na vijana smart sana.

Katika uzinduzi wa Kampeni ya Tonetone leo, tumeshuhudia vijana wa CHADEMA walivyo na maarifa ya kuweza kuiongoza nchi yetu katika dunia hii ya sayansi na teknolojia kwa kuonesha namna gani wanaweza kukusanya michango ya kuendesha chama chao kwa kutumia sayansi na teknolojia.

Hongereni sana CHADEMA. Mungu azidi kuwanyanyua.
That was amazing.....cross cutting edge kwenye ubunifu wa matumizi ya tech
 
Bakuli hadi serekali inatembeza, ndio itakuwa chama cha siasa kisichokusanya kodi?
Wapi Serikali uliwahi ona inatembwza Bakuli sijui kuandaa misheni za kijinga kama hizo?

Itoshe kusema nyumbu Wana akili kuwazidi 🤣🤣
 
Wapi Serikali uliwahi ona inatembwza Bakuli sijui kuandaa misheni za kijinga kama hizo?

Itoshe kusema nyumbu Wana akili kuwazidi 🤣🤣
Mpaka waitishe kwa njia ya tone tone? Tazama kwenye bajeti ya serekali kisha uone fedha nyingine zinatoka wapi, ndio ujue bakuli ndio habari ya mjini. Ukiona huelewi vizuri, tafuta mwalimu wa historia akaumbie Nyerere alikuwa anaenda UNO kwa hela za aina gani. Ukimaliza hapo uje tuendelee na mjadala.
 
Mpaka waitishe kwa njia ya tone tone? Tazama kwenye bajeti ya serekali kisha uone fedha nyingine zinatoka wapi, ndio ujue bakuli ndio habari ya mjini. Ukiona huelewi vizuri, tafuta mwalimu wa historia akaumbie Nyerere alikuwa anaenda UNO kwa hela za aina gani. Ukimaliza hapo uje tuendelee na mjadala.
Hamna akili nyie,join the chain,sijui upuuzi gani saizi mumekuja na huo utapeli 🤣🤣

Kamateni nyumbu wenzenu
 
Hamna akili nyie,join the chain,sijui upuuzi gani saizi mumekuja na huo utapeli 🤣🤣

Kamateni nyumbu wenzenu
Tulia uone wanaume wanakusanya mpunga wa kutosha. Jana peke yake umeingia mpunga wa kutosha, na bado tunaendelea kutoa. Utajisaidia boga safari hii.
 
Big brains ziko opposition sio CCM.
Leo ombaomba ni big brains huko Chadema! Basi sawa.
Toka small brains Mbowe aliyeweza kuongoza chama kwa mikakati isiyo ya ki matonya matonya aondoke, mnajiona mna akili nyingi za kuomba omba.
Nyumbu hovyo kabisa.
 
Leo kupitia uzinduzi wa hii kampeni ya tonetone, Watanzania wote tunashuhudia ni namna gani hiki chama kina watu smart, walio na maarifa sahihi ya kulipeleka hili Taifa mbele.

Leo tunashuhudia kuwa yale maneno ya CCM kuwa CHADEMA haina watu wanaoweza kuliongoza hili Taifa ni maneno ya kipuuzi ambayo kumbe kiuhalisia ni CCM iliyokosa watu wenye uwezo sqhihi maana CHADEMA ina watu na vijana smart sana.

Katika uzinduzi wa Kampeni ya Tonetone leo, tumeshuhudia vijana wa CHADEMA walivyo na maarifa ya kuweza kuiongoza nchi yetu katika dunia hii ya sayansi na teknolojia kwa kuonesha namna gani wanaweza kukusanya michango ya kuendesha chama chao kwa kutumia sayansi na teknolojia.

Hongereni sana CHADEMA. Mungu azidi kuwanyanyua.
Chadema ni mpango wa Mungu
 
Matusi na uchawi havitakusaidia lolote wewe wala wazazi wako, jifunze kujadili hoja bila kutukana, huu ndio ustaarabu wa JF
Mimi nilidhani utasema ustaarab kwa Chadomo kumbe hiki kidilingi, fanya kazi wewe lofa acha uchawa it is not good for your health.
 
Mleta Uzi ni either kalewa au kayatimba sehemu

Taarifa yake iko vague
 
Back
Top Bottom