Chadema inabagaza sera ya Rais Samia ya 4R

Chadema inabagaza sera ya Rais Samia ya 4R

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Hii si sawa na lazima isemwe.
Mhe.Rais samia ameendelea kuwa mwenye nia njema sana ya kuondosha malalmiko ya jamii hususani katika muktadha wa kisiasa.

Baada ya tuhuma za uongo na zilizosukwa na kupambwa na vyama vya upinzani nchini Tanzania na hususani wafuasi wa chadema dhidi ya hayati Magufuli .Rais Samia aliamua kuchukua mrengo laini na wa kimaridhiano ili kuhakikisha kama nchi tunaenenda na siasa za kistahimilivu na maridhiano.

Hakika hakuna na haikuwahi kutokea hapa nchini na pengine Afrika kuona Kiongozi aliopo madarakani anajikita na sera hii ya kipekee na hasa ikizingatiwa alikuwa amechukua madaraka kutoka kwa mtangulizi wake ambaye alisemwa vibaya iwe kwa hoja za ukweli au za kusingiziwa .

Rais samia hakuishia kusema tu bali kwa vitendo aliruhusu uhuru mkubwa sana kwa vyama na jamii ya wanasiasa kufanya siasa za kistaarabu naamini aliamini atakata kiu ya wapinzani.

Bila shaka lengo lake lilikuwa ni kuona nchi ya utulivu na ustahimulivu wa kisiasa,maoni mbadala na ushirikishaji wa kiwango kikubwa.

Wapo wengi walioshuku juu ya sera hii kwani walijua hulka ya wapinzani nchini lakini pia malengo ovu ya nchi za nje wanaopambana kuihujumu Tanzania na kuiacha iwe sehemu isiyotawalika ili kunyonya rasilimali.

Hata hivyo Dr Samia Suluhu Hassan hakuacha kuitetea na kuisimamia sera yake ya 4R akiamini ni sera muhimu na itakayobadilisha hali ya kisiasa.

lipo somo muhimu ambalo mhe.Rais anaendelea kujifunza na watanzania wazalendo wanamakinika nalo ..ya kwamba hata ufanye nini au lolote linaloombwa na wapinzani bado wakinzani watatafuta mbinu za kuchonganisha ili tu lengo ovu litimie.

Sikutarajia kuona Chadema wakija na mbinu zile zile kutaka kuweka rehani maslahi ya amani ya nchi hii.
Inashangaza kuona watu wale wale wakija na mbinu ile ile ya kutaka kuzua taharuki katika nyakati ambazo yupo kiongozi asiyependa taharuki.

Inatufunza na ninajifunza kuwa ...kumbe issue sio Changamoto zinazotajwa kama sababu za taharuki bali yupo au zipo au wapo watu nyuma ya pazia wasiotaka kuona nchi inatulia na kujikita kwenye afua za maendeleo.

Hivyo bila shaka sasa naaendelea naona ni muhimu kama nchi tukatambua na kuelimishana kuwa wapo ,yupo anayetuchezesha kama wanasesere akiwa na lengo moja tu...kuchota mali zetu na kutuacha utumwani.Huyu ndiye kubwa la maadui na hajaanza leo na wala hatamaliza leo.

CCM kama chama kilichotutoa utumwani kwa kiasi flani bado ndio nguzo pekee ya kuhakikisha tunatoka utumwani kikamilifu.
Tunayoshuhudia leo na yanayopitiwa na viongozi wetu ni yale yale ya miaka kabla ya 61...

Hivyo basi hatuna budi ya kuunga mkono jitihada za chama na serikali.

CCM iendelee kushika hatamu na ikibidi muundo wa chama na serikali urejee kikamilifu kwani ndio njia iliyo sahihi.

Ikitokea siku nikiwa mtawala wa nchi hii sitaangalia sura ya mwenyeji au mlami bali maazimio,mazindiko na makubaliano ya siku ya uhuru ni lazima kwa njia yoyote yatekelezwe yaani kazi iliyokwama lazima iendelezwe.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Hongera ACT kwa kongamano la vijana bila agenda za uhaini
 
Pamoja na maelezo yoooote. Mbona hujataja kosa la CHADEMA? Polisi wasiharibu nia nzuri ya 4R za rais.
 
Hii si sawa na lazima isemwe.
Mhe.Rais samia ameendelea kuwa mwenye nia njema sana ya kuondosha malalmiko ya jamii hususani katika muktadha wa kisiasa.

Baada ya tuhuma za uongo na zilizosukwa na kupambwa na vyama vya upinzani nchini Tanzania na hususani wafuasi wa chadema dhidi ya hayati Magufuli .Rais Samia aliamua kuchukua mrengo laini na wa kimaridhiano ili kuhakikisha kama nchi tunaenenda na siasa za kistahimilivu na maridhiano.

Hakika hakuna na haikuwahi kutokea hapa nchini na pengine Afrika kuona Kiongozi aliopo madarakani anajikita na sera hii ya kipekee na hasa ikizingatiwa alikuwa amechukua madaraka kutoka kwa mtangulizi wake ambaye alisemwa vibaya iwe kwa hoja za ukweli au za kusingiziwa .

Rais samia hakuishia kusema tu bali kwa vitendo aliruhusu uhuru mkubwa sana kwa vyama na jamii ya wanasiasa kufanya siasa za kistaarabu naamini aliamini atakata kiu ya wapinzani.

Bila shaka lengo lake lilikuwa ni kuona nchi ya utulivu na ustahimulivu wa kisiasa,maoni mbadala na ushirikishaji wa kiwango kikubwa.

Wapo wengi walioshuku juu ya sera hii kwani walijua hulka ya wapinzani nchini lakini pia malengo ovu ya nchi za nje wanaopambana kuihujumu Tanzania na kuiacha iwe sehemu isiyotawalika ili kunyonya rasilimali.

Hata hivyo Dr Samia Suluhu Hassan hakuacha kuitetea na kuisimamia sera yake ya 4R akiamini ni sera muhimu na itakayobadilisha hali ya kisiasa.

lipo somo muhimu ambalo mhe.Rais anaendelea kujifunza na watanzania wazalendo wanamakinika nalo ..ya kwamba hata ufanye nini au lolote linaloombwa na wapinzani bado wakinzani watatafuta mbinu za kuchonganisha ili tu lengo ovu litimie.

Sikutarajia kuona Chadema wakija na mbinu zile zile kutaka kuweka rehani maslahi ya amani ya nchi hii.
Inashangaza kuona watu wale wale wakija na mbinu ile ile ya kutaka kuzua taharuki katika nyakati ambazo yupo kiongozi asiyependa taharuki.

Inatufunza na ninajifunza kuwa ...kumbe issue sio Changamoto zinazotajwa kama sababu za taharuki bali yupo au zipo au wapo watu nyuma ya pazia wasiotaka kuona nchi inatulia na kujikita kwenye afua za maendeleo.

Hivyo bila shaka sasa naaendelea naona ni muhimu kama nchi tukatambua na kuelimishana kuwa wapo ,yupo anayetuchezesha kama wanasesere akiwa na lengo moja tu...kuchota mali zetu na kutuacha utumwani.Huyu ndiye kubwa la maadui na hajaanza leo na wala hatamaliza leo.

CCM kama chama kilichotutoa utumwani kwa kiasi flani bado ndio nguzo pekee ya kuhakikisha tunatoka utumwani kikamilifu.
Tunayoshuhudia leo na yanayopitiwa na viongozi wetu ni yale yale ya miaka kabla ya 61...

Hivyo basi hatuna budi ya kuunga mkono jitihada za chama na serikali.

CCM iendelee kushika hatamu na ikibidi muundo wa chama na serikali urejee kikamilifu kwani ndio njia iliyo sahihi.

Ikitokea na ninaomba itokee siku nikiwa mtawala wa nchi hii sitaangalia sura ya mwenyeji au mlami bali maazimio,mazindiko na makubaliano ya siku ya uhuru ni lazima kwa njia yoyote yatekelezwe yaani kazi iliyokwama lazima iendelezwe.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Naona ume graduate kutoka kuwa mjinga na kufuzu kuwa mpumbavu mbobevu. Badala ya kuwalaumu polisi ccm kwa kuchafua kazi aliyoifanya Rais kwa miaka mitatu wao wameiharishia kwa siku moja tu wewe unawalaumu wahanga wa ujambazi wa polisi ccm. Hongera kwa kutunukiwa shahada ya uzamivu katika upumbavu
 

Attachments

  • VID-20240813-WA0009.mp4
    2.2 MB
Hii si sawa na lazima isemwe.
Mhe.Rais samia ameendelea kuwa mwenye nia njema sana ya kuondosha malalmiko ya jamii hususani katika muktadha wa kisiasa.

Baada ya tuhuma za uongo na zilizosukwa na kupambwa na vyama vya upinzani nchini Tanzania na hususani wafuasi wa chadema dhidi ya hayati Magufuli .Rais Samia aliamua kuchukua mrengo laini na wa kimaridhiano ili kuhakikisha kama nchi tunaenenda na siasa za kistahimilivu na maridhiano.

Hakika hakuna na haikuwahi kutokea hapa nchini na pengine Afrika kuona Kiongozi aliopo madarakani anajikita na sera hii ya kipekee na hasa ikizingatiwa alikuwa amechukua madaraka kutoka kwa mtangulizi wake ambaye alisemwa vibaya iwe kwa hoja za ukweli au za kusingiziwa .

Rais samia hakuishia kusema tu bali kwa vitendo aliruhusu uhuru mkubwa sana kwa vyama na jamii ya wanasiasa kufanya siasa za kistaarabu naamini aliamini atakata kiu ya wapinzani.

Bila shaka lengo lake lilikuwa ni kuona nchi ya utulivu na ustahimulivu wa kisiasa,maoni mbadala na ushirikishaji wa kiwango kikubwa.

Wapo wengi walioshuku juu ya sera hii kwani walijua hulka ya wapinzani nchini lakini pia malengo ovu ya nchi za nje wanaopambana kuihujumu Tanzania na kuiacha iwe sehemu isiyotawalika ili kunyonya rasilimali.

Hata hivyo Dr Samia Suluhu Hassan hakuacha kuitetea na kuisimamia sera yake ya 4R akiamini ni sera muhimu na itakayobadilisha hali ya kisiasa.

lipo somo muhimu ambalo mhe.Rais anaendelea kujifunza na watanzania wazalendo wanamakinika nalo ..ya kwamba hata ufanye nini au lolote linaloombwa na wapinzani bado wakinzani watatafuta mbinu za kuchonganisha ili tu lengo ovu litimie.

Sikutarajia kuona Chadema wakija na mbinu zile zile kutaka kuweka rehani maslahi ya amani ya nchi hii.
Inashangaza kuona watu wale wale wakija na mbinu ile ile ya kutaka kuzua taharuki katika nyakati ambazo yupo kiongozi asiyependa taharuki.

Inatufunza na ninajifunza kuwa ...kumbe issue sio Changamoto zinazotajwa kama sababu za taharuki bali yupo au zipo au wapo watu nyuma ya pazia wasiotaka kuona nchi inatulia na kujikita kwenye afua za maendeleo.

Hivyo bila shaka sasa naaendelea naona ni muhimu kama nchi tukatambua na kuelimishana kuwa wapo ,yupo anayetuchezesha kama wanasesere akiwa na lengo moja tu...kuchota mali zetu na kutuacha utumwani.Huyu ndiye kubwa la maadui na hajaanza leo na wala hatamaliza leo.

CCM kama chama kilichotutoa utumwani kwa kiasi flani bado ndio nguzo pekee ya kuhakikisha tunatoka utumwani kikamilifu.
Tunayoshuhudia leo na yanayopitiwa na viongozi wetu ni yale yale ya miaka kabla ya 61...

Hivyo basi hatuna budi ya kuunga mkono jitihada za chama na serikali.

CCM iendelee kushika hatamu na ikibidi muundo wa chama na serikali urejee kikamilifu kwani ndio njia iliyo sahihi.

Ikitokea na ninaomba itokee siku nikiwa mtawala wa nchi hii sitaangalia sura ya mwenyeji au mlami bali maazimio,mazindiko na makubaliano ya siku ya uhuru ni lazima kwa njia yoyote yatekelezwe yaani kazi iliyokwama lazima iendelezwe.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Abduli ndo anaongoza nchi na ana hasira binafsi na wote waliogoma kununuliwa.

Analipa polisi mabilioni ya hela huku akiwaahidi vyeo zaidi akina Awadhi na wahuni wengine.

Abduli ameiingiza nchi kwenye state capture mbaya very soon nyote Italian na kusaga meno.

Samia amepiteza control ya nchi sasa TZ inaongozwa na mwanamfalme.
 
Pamoja na maelezo yoooote. Mbona hujataja kosa la CHADEMA? Polisi wasiharibu nia nzuri ya 4R za rais.
Soma vizuri kwa utulivu na ukiwa na haiba ya Great thinker utaona kosa lao
 
Naona ume graduate kutoka kuwa mjinga na kufuzu kuwa mpumbavu mbobevu. Badala ya kuwalaumu polisi ccm kwa kuchafua kazi aliyoifanya Rais kwa miaka mitatu wao wameiharishia kwa siku moja tu wewe unawalaumu wahanga wa ujambazi wa polisi ccm. Hongera kwa kutunukiwa shahada ya uzamivu katika upumbavu
Yaani baada ya falsafa ya 4Rs iliyopelekea kuruhusiwa kwa mikutano bila bugudha nyie mnaandaa maandamano ya ki GEN Z..
Huu ni upuuzi wa hali ya juu sana.
 
Naona ume graduate kutoka kuwa mjinga na kufuzu kuwa mpumbavu mbobevu. Badala ya kuwalaumu polisi ccm kwa kuchafua kazi aliyoifanya Rais kwa miaka mitatu wao wameiharishia kwa siku moja tu wewe unawalaumu wahanga wa ujambazi wa polisi ccm. Hongera kwa kutunukiwa shahada ya uzamivu katika upumbavu
reflect hii kauli ya Mwalimu na yale wanayotenda chadema toka 2010
 
Abduli ndo anaongoza nchi na ana hasira binafsi na wote waliogoma kununuliwa.

Analipa polisi mabilioni ya hela huku akiwaahidi vyeo zaidi akina Awadhi na wahuni wengine.

Abduli ameiingiza nchi kwenye state capture mbaya very soon nyote Italian na kusaga meno.

Samia amepiteza control ya nchi sasa TZ inaongozwa na mwanamfalme.
Kuna kipindi mlimsema Ridhiwani
Mkahamia kwa Jesca
Sasa ni Abdul...

dunderheads
 
Soma vizuri kwa utulivu na ukiwa na haiba ya Great thinker utaona kosa lao
Hapo ndio umejikunja ma kuona umeandika bonge la propaganda. Hakuna 4r, bali kuna utapeli kama utapeli mwingine. Hizo raslimali za kuchotwa ni zipi, kama tungekuwa na raslimali za hivyo za kuwababaisha hao wazungu kusingekuwa na umaskini huu.
 
Kuna kipindi mlimsema Ridhiwani
Mkahamia kwa Jesca
Sasa ni Abdul...

dunderheads
Pamoja na ushenzi na uhayawani wote aliokua nao Magufuli haki yake tunampa kwamba urais wake haukua na ubia na mtu awake yote.
 
Hii si sawa na lazima isemwe.
Mhe.Rais samia ameendelea kuwa mwenye nia njema sana ya kuondosha malalmiko ya jamii hususani katika muktadha wa kisiasa.

Baada ya tuhuma za uongo na zilizosukwa na kupambwa na vyama vya upinzani nchini Tanzania na hususani wafuasi wa chadema dhidi ya hayati Magufuli .Rais Samia aliamua kuchukua mrengo laini na wa kimaridhiano ili kuhakikisha kama nchi tunaenenda na siasa za kistahimilivu na maridhiano.

Hakika hakuna na haikuwahi kutokea hapa nchini na pengine Afrika kuona Kiongozi aliopo madarakani anajikita na sera hii ya kipekee na hasa ikizingatiwa alikuwa amechukua madaraka kutoka kwa mtangulizi wake ambaye alisemwa vibaya iwe kwa hoja za ukweli au za kusingiziwa .

Rais samia hakuishia kusema tu bali kwa vitendo aliruhusu uhuru mkubwa sana kwa vyama na jamii ya wanasiasa kufanya siasa za kistaarabu naamini aliamini atakata kiu ya wapinzani.

Bila shaka lengo lake lilikuwa ni kuona nchi ya utulivu na ustahimulivu wa kisiasa,maoni mbadala na ushirikishaji wa kiwango kikubwa.

Wapo wengi walioshuku juu ya sera hii kwani walijua hulka ya wapinzani nchini lakini pia malengo ovu ya nchi za nje wanaopambana kuihujumu Tanzania na kuiacha iwe sehemu isiyotawalika ili kunyonya rasilimali.

Hata hivyo Dr Samia Suluhu Hassan hakuacha kuitetea na kuisimamia sera yake ya 4R akiamini ni sera muhimu na itakayobadilisha hali ya kisiasa.

lipo somo muhimu ambalo mhe.Rais anaendelea kujifunza na watanzania wazalendo wanamakinika nalo ..ya kwamba hata ufanye nini au lolote linaloombwa na wapinzani bado wakinzani watatafuta mbinu za kuchonganisha ili tu lengo ovu litimie.

Sikutarajia kuona Chadema wakija na mbinu zile zile kutaka kuweka rehani maslahi ya amani ya nchi hii.
Inashangaza kuona watu wale wale wakija na mbinu ile ile ya kutaka kuzua taharuki katika nyakati ambazo yupo kiongozi asiyependa taharuki.

Inatufunza na ninajifunza kuwa ...kumbe issue sio Changamoto zinazotajwa kama sababu za taharuki bali yupo au zipo au wapo watu nyuma ya pazia wasiotaka kuona nchi inatulia na kujikita kwenye afua za maendeleo.

Hivyo bila shaka sasa naaendelea naona ni muhimu kama nchi tukatambua na kuelimishana kuwa wapo ,yupo anayetuchezesha kama wanasesere akiwa na lengo moja tu...kuchota mali zetu na kutuacha utumwani.Huyu ndiye kubwa la maadui na hajaanza leo na wala hatamaliza leo.

CCM kama chama kilichotutoa utumwani kwa kiasi flani bado ndio nguzo pekee ya kuhakikisha tunatoka utumwani kikamilifu.
Tunayoshuhudia leo na yanayopitiwa na viongozi wetu ni yale yale ya miaka kabla ya 61...

Hivyo basi hatuna budi ya kuunga mkono jitihada za chama na serikali.

CCM iendelee kushika hatamu na ikibidi muundo wa chama na serikali urejee kikamilifu kwani ndio njia iliyo sahihi.

Ikitokea siku nikiwa mtawala wa nchi hii sitaangalia sura ya mwenyeji au mlami bali maazimio,mazindiko na makubaliano ya siku ya uhuru ni lazima kwa njia yoyote yatekelezwe yaani kazi iliyokwama lazima iendelezwe.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Nimejitahidi kusoma andiko lako japo lilihitaji unyenyekevu zaidi kuwa aliyeandika ni mwanadamu na anastahili heshima.
Hata hivyo nimeshindwa kuona logic ya hoja yako ililenga nini. Ninahisi pengine ni mmoja wa miongoni mwa wanaccm wanaomhujumu Mh.Samia,na kama haumo basi ni hilo jina lako.
Mfumo wa vyama vingi umekuwepo kabla ya Hayati Magufuli na Mh.Samia hawajawaza kuwa kuna siku watakuja kuwa marais wa Tanzania. Hata wao wamewahi kukiri kwa midomo yao,na haswa Hayati Magufuli, allwahi kusema aliupata urais kwa bahati mbaya, alikuwa anajaribu tu. Sasa kama huyo mgombea kiti cha Urais, alikiri kuupata Urais kwa bahati mbaya,vipi huyo aliyekuwa makamu wake ambaye alikuwa mgombea mwenza wa mgombea aliyepewa nafasi ya kugombea kwa bahati mbaya?
Sasa leo huyo aliyekuwa makamu wa Rais, wa aliyekiri kuupata Urais kwa bahati mbaya,hali yake inakuwaje anapochukua nafasi ya Rais aliyeingia kwa bahati mbaya na yeye kwa bahati mbaya amekuwa Rais.
Anaweza kujifanya aliyaona mapungufu ya mtangulizi wake,lakini anaponzwa na kile kinachoitwa kutokuwa na maandalizi ya kuwa Rais,na ni kweli hatuwezi kumlaumu kwani hatukuwahi kufikiri tunaweza kupitia kipindi ambacho Rais anaweza kufa akiwa madarakani, tulifikiri hiyo inatokea Marekani labda na Zambia, Kenya na nchi zingine.
Ninasema hatukuwahi kufikiri kupata msiba wa Rais akiwa madarakani,kwani uchaguzi wa mwaka 2010, Aliyekuwa Rais wa awamu ya nne Mh. Kikwete alimpendekeza Dr. Ghalib Bilali kuwa mgombea mwenza, na ikumbukwe Dr.Bilali wakati huo alikuwa amechukua fomu kumchalenji aliyekuwa Rais wa Zanzibar wakati huo, Mh. Dr. Shein, nina hakika kwa kiasi kikubwa uteuzi wa Bilali kuwa mgombea mwenza wa mgombea wa Urais wa JMT,haukulenga kuwa anaweza kuwa Rais wa JMT wakati wowote,na ndicho kilichotokea kwa Rais tuliyenaye sasa,kwani yalipita masaa kama 60 nchi haina Rais, na kwa maelezo ya Jenerali Mabeyo, alisema inawezekana watu walikuwa wamesahau katiba, hivyo bila shaka inawezekana aliwakumbusha.
Sasa basi huu ubahati mbaya ndiyo shida ya yote haya.
Awamu zote toka tuingie mfumo wa vyama vingi,tulishuhudia hata vyombo vya habari vikubwa binafsi na vya kitaifa kama Tbc vikitoa nafasi kwa wapinzani kutumia vyombo hivyo kukosoa na kuelezea sera zao,kitu ambacho kilikufa awamu ya tano na kimeendelea mpaka leo. . Tuliwajua kina Mtikila wenye msimamo mkali kuhusu Tanganyika na maneno makali kupitia vyombo hivyo hivyo,na hakuna aliyehangaika nao kuwa wanahatarisha amani ya nchi, Kenya ambako maandamano tunayoyahofia yametokea tumeyaona live, na hakuna aliyezuia vyombo vya habari kufanya kazi yake. wewe Jingalao ninahisi utakuwa ni mtoto wa 90 na kuendelea hivyo pengine hujui tulikotoka.
Kwa ufupi ccm waache woga ambao umetamalaki sana kuanzia awamu ya tano,na hii ya sita, inawezekana ni kutokana na kuwa ndio awamu ya kwanza kupata kura chache ukilinganisha na watangulizi wake, kwani awamu ya tano iliambulia 58%tu.
Na pengine walijawa na hofu sana mpaka kuzuia mikutano ya vyama vya upinzani ambacho ni kinyume na katiba,waliyoapa kuilinda.
Labda tuwashauri tu, bado hakuna mabadiliko ya maana kwenye sheria za uchaguzi na tume, yanayotoa nafasi kuwa upinzani unaweza kushinda kirahisi vile, na hata majuzi tulimsikia aliyekuwa waziri wa habari na anayejua vizuri ushindi wa ccm unavyopatikana aliweka wazi watakayofanya japo yalimgharimu.
Nchi ni yetu wote,na wote tunapita watakuja na wengine,na pengine hayo mnayoyahofia,yaliyotokea kwenye nchi nyingine yatatokea,siyo kwamba polisi wa nchi hizo walikuwa wamelala!!
Bajeti ya ulinzi ya Kenya bado hatuifikii, njoo kwa Misri sasa, kwanza wana uchumi mkubwa na vikosi vyenye ujuzi wa viwango vya juu sana, lakini wakati ulipofika wananchi hawakuogopa.
Kifupi tunatumia mbinu ya kizamani sana kukabiliana na changamoto za kisasa. Bado tunao muda wa kujiepusha na shari kwa kukabiliana na changamoto ambazo ndizo zimekuwa sababu ya mabadiliko yaliyotokea kwenye nchi hizo alizozitaja afande Awadhi, na kwa kutumia marungu na udhalilishaji wa viongozi wa upinzani siyo suluhisho,zaidi mnailetea aibu nchi na Rais aliyepata heshima kwa slogan yake ya 4R.
Mmewajengea umaarufu Chadema kwa gharama zenu, mnawaimarisha kwa gharama zenu, labda na nyie ndio yalikuwa malengo yenu kwa siri,hatuwezi kujua maana tunasikia waliomkataa Mh. Samia asiwe Rais, ni wanaccm waandamizi. Ni ushauri bure pia kwa Mh. Samia.
 
Back
Top Bottom