CHADEMA inafuata mkondo wa Muslim Brotherhood? Je watarudia makosa yao?

CHADEMA inafuata mkondo wa Muslim Brotherhood? Je watarudia makosa yao?

Mimi nimehamia mkoa mwingine na nishavuta kadi ya ccm. Nitagombea nafasi ya ubunge kupitia CCM 2025, watajua mm ni mwenzao kumbe nipo kazini. Anguko la hiki chama chakavu litakuwa siyo la nchi hii
 
Hivyo unathibitisha rais wetu ni dikteta kam wa Misri

Muslim Brotherhood ilikuwepo toka enzi za Anwar Sadat. Struggle ya demokrasia ya kweli Tanzania itakuwa ya muda mrefu sana yenye machozi, jasho na damu.

Ni wazi sasa kuwa ERA ya siasa na ushawishi wa Magufuli itadumu kwa at least miaka 30 zaidi unless siasa za dunia au external factors zingine zilazimishe mabadiliko ya haraka ndani ya nchi.
 
Back
Top Bottom