Uchaguzi 2020 CHADEMA inahitaji political strategists kuishinda CCM

Uchaguzi 2020 CHADEMA inahitaji political strategists kuishinda CCM

Macho ya wenye dunia yote yako Tanzania hiyo October 28 ndugu. Subiri uone CCM anavyoshikishwa adabu

Hujui international systems zinafanyaje kazi ndo maana unakaa kusubiria eti macho ya mabeberu. Robert Mugabe pamoja na kutengwa na wazungu aliondolewa madarakani? Nchi ziache kushughulika na corona zije kupigania CDM. Mnaegemea mpapai!!!
 
Nichukie nini, mimi nimekupa kitu na box. Hiyo tarehe 28 unayotambia hakuna uchaguzi, bali ni kilele cha maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Sio hata tukinyang' anywa ushindi, maana ni lazima ushindi uporwe, kwani ccm imekata moto kwenye ushindani. Hilo suala la kuandamana kaa ukiomba ukondoo uendelee, kinyume na hapo jiandae kutapika hirizi. Muhuni mkubwa ww.

Mkuu tindo wewe ni mtu ambaye sikutegemea ni wa kukata tamaa mapema hivyo. Ati wadai Sio hata tukinyang' anywa ushindi, maana ni lazima ushindi uporwe. Yawezekana nawe wewe ni mmoja wa waliokata tamaa ya ushindi baada ya kushuhudia Mgombea wa chama badala ya kunadi Sera anaporomosha matusi na kutishia vurugu, kwenye kampeni zake.

Kuna dalili za kukata tamaa hadi, hata wewe Mkuu tindo kuanza kutoa sababu za kushindwa vibaya. Ati Hiyo tarehe 28 unayotambia hakuna uchaguzi, bali ni kilele cha maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.

Mjinga ni mmoja wa wale wanaoamini nyomi kwenye kampeni ndiyo kura za ushindi.

Mjinga ni yule anayeamini matusi, kejeli, kebehi, na kudharilisha mgombea mwingine ni turufu au mtaji wa kisiasa kupata kura, na akashangiliwa.

Mjinga ni yule anayehamasisha vurugu asipotangazwa mshindi kwa kuaminisha wapiga kura, kwenye kampeni, kuwa yeye tayari amekwisha kuwa mshindi, na wakamshangilia.

Mjinga ni yule anayeamini yeye ni bora kuliko Mtanzania yeyote na wapumbavu na malofa wakamshangilia.

Sitajarii Mkuu tindo, wala siamini kuwa wewe ni mmoja wa hao!

Mkuu tindo najiuliza, kwa sauti kubwa, WanaCHADEMA humu JF na nchini kote hali itakuwaje chama kutelemka hadhi ya Chama Kikuu cha Upinzani?

Wenye kujitambua (M/kiti wa chama, Katibu Mkuu na Wajumbe wa Kamati Kuu) wameamua kumwacha Mgombea wao wa Urais ajichimbie kaburi lake mwenyewe. Kama ni viongozi makini ni wakati wa kuweka nguvu kwa wabunge na madiwani, kwenye maeneo ambayo bado wana angalau nguvu kidogo ya kisiasa. Wasipofanya hivyo, nina uhakika (100%) CHADEMA itaanguka vibaya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
 
Kuna kitu cha msingi ambacho amekibeba mh. Lisu:

1. Kutoa haki za msingi za mahabusu wanaoonewa na wanaoshikiliwa kwa dhulma hazihitaji muda mrefu ni suala la maamuzi tu.

2. Urasimishwaji wa katiba ya Warioba na mpango wa uchumi wa majimbo hayahitaji muda mrefu kwa sababu mchakato ulishaanza

2. Sera mbovu zinazonyonya maslahi ya watumishi ni kutokana na serikali kutokuwa na vyanzo vya kutosha vya mapato hivyo kutumia fedha za watumishi kwenye ujenzi wa ma flyover na kuwapa wastafu maisha magumu. Hapa Rais Magufuli kafanya vibaya sana.

Na hii ni kwa sababu vyanzo vya nje vingi kusimamishwa kwa kiburi chake

Vile ambavyo vitaenda polepole ni vile tu vinavyohitaji fedha nyingi.

Ila kwa sasa ni bora mtu anayejali sheria na haki za watu pia na si dhulma kama anazofanya Rais Magufuli
 
Chadema kikwazo cha kutoshinda ni tumeccm hii tumefake kamwe haiwezekani kuwatangaza Chadema kama washindi. Ccm imechokwa Nchi nzima.
 
Mkuu tindo wewe ni mtu ambaye sikutegemea ni wa kukata tamaa mapema hivyo. Ati wadai Sio hata tukinyang' anywa ushindi, maana ni lazima ushindi uporwe. Yawezekana nawe wewe ni mmoja wa waliokata tamaa ya ushindi baada ya kushuhudia Mgombea wa chama badala ya kunadi Sera anaporomosha matusi na kutishia vurugu, kwenye kampeni zake.

Kuna dalili za kukata tamaa hadi, hata wewe Mkuu tindo kuanza kutoa sababu za kushindwa vibaya. Ati Hiyo tarehe 28 unayotambia hakuna uchaguzi, bali ni kilele cha maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.

Mjinga ni mmoja wa wale wanaoamini nyomi kwenye kampeni ndiyo kura za ushindi.

Mjinga ni yule anayeamini matusi, kejeli, kebehi, na kudharilisha mgombea mwingine ni turufu au mtaji wa kisiasa kupata kura, na akashangiliwa.

Mjinga ni yule anayehamasisha vurugu asipotangazwa mshindi kwa kuaminisha wapiga kura, kwenye kampeni, kuwa yeye tayari amekwisha kuwa mshindi, na wakamshangilia.

Mjinga ni yule anayeamini yeye ni bora kuliko Mtanzania yeyote na wapumbavu na malofa wakamshangilia.

Sitajarii Mkuu tindo, wala siamini kuwa wewe ni mmoja wa hao!

Mkuu tindo najiuliza, kwa sauti kubwa, WanaCHADEMA humu JF na nchini kote hali itakuwaje chama kutelemka hadhi ya Chama Kikuu cha Upinzani?

Wenye kujitambua (M/kiti wa chama, Katibu Mkuu na Wajumbe wa Kamati Kuu) wameamua kumwacha Mgombea wao wa Urais ajichimbie kaburi lake mwenyewe. Kama ni viongozi makini ni wakati wa kuweka nguvu kwa wabunge na madiwani, kwenye maeneo ambayo bado wana angalau nguvu kidogo ya kisiasa. Wasipofanya hivyo, nina uhakika (100%) CHADEMA itaanguka vibaya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

Sioni ukataji tamaa wangu ni upi hapo.
 
Hoja zako n nzuri bt bila Tume huru hakuna mpinzani kuchukua nchi hii hapo CDM wakisubiri miaka 50 hakuna jipya
 
Kila mtanzania anafahamu CCM ni vibaka wazoefu wa kura..

CHADEMA ikifanikiwa kulidhibiti hilo ama wakafanikwa kuwa na vielelezo vya wizi huo basi CCM haina chake!!

CCM ni chama ambacho watanzania wengi wameshakichoka ila namna ya kukiondoa mwilini kwao imekuwa na changamoto nyingi...!!

Ila hata za mwizi huwa ni arobaini...safari hii ukibaka wao wote utanaswa!!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Siyo tu chadema hata vyama vingine havipo strategy, imagine CCM inalazimisha ushindi kwa kupitia tume na vyombo vya dolla huku wakiwa hawana wanachama damu damu kutoka moyoni kikubwa wawe wamenufaika kwa muda huo huo ndo unaona wanajifanya kupambania chama, na hao wengine wa vyama mbadala tayari wana watu tatizo wanafanya vitu vya kitoto kuishi bila mipango yaani hawana laketi kabisa japo wanawatu wa kusimama nao.
 
Sioni ukataji tamaa wangu ni upi hapo.
Inatosha kama una amini hujakata tamaa. Hivyo basi, hamasisha, wanaounga mkono upande wako watumie uhuru na haki yao kupiga kura kwa amani.

Lugha ya kuhamasisha vurugu kuwa tayari mgombea huyo ni mshindi, hata hatua ya kupiga kura bado, si dalili za amani.
 
Inatosha kama una amini hujakata tamaa. Hivyo basi, hamasisha, wanaounga mkono upande wako watumie uhuru na haki yao kupiga kura kwa amani.

Lugha ya kuhamasisha vurugu kuwa tayari mgombea huyo ni mshindi, hata hatua ya kupiga kura bado, si dalili za amani.

Acha upotoshaji wa kijinga, hakuna popote anaposema yeye ni mshindi, na atalazimisha kutangazwa mshindi, bali amesema iwapo atashinda na kuachwa kutangazwa mshindi hatamuachia Mungu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Acha upotoshaji wa kijinga, hakuna popote anaposema yeye ni mshindi, na atalazimisha kutangazwa mshindi, bali amesema iwapo atashinda na kuachwa kutangazwa mshindi hatamuachia Mungu.
Na iwe hivyo.

Kama ana uhakika wa ushindi iweje ahamasishe watu kuingia barabarani?
 
Na iwe hivyo.

Kama ana uhakika wa ushindi iweje ahamasishe watu kuingia barabarani?

Narudia tena, amesema wazi kama atashinda na asitangazwe mshindi hilo hawezi kukubali, sasa unaposema kama ana uhakika wa ushindi kwanini aingize watu barabarani unamaanisha nini? Unajua unachoongea kweli?
 
CCM kama shina la mbuyu. Walijaribu wengi kuling'oa wakaangukia kisogo. Wachache wao ni Mwenyekiti wa saccos, Dr. Slaa, Lowasa. Huyu Mbeligiji wa sasa, mwepesi kama unyoya. Ngoja nae ajitutumue. CCM chama chenye hazina ya viongozi,weledi, nidhamu. Huwezi ifananisha na genge la watu, wenye uchu wa madaraka. Kidumu chama cha mapinduzi.
 
Kw
Mzee Mtei na marehemu Bob Makani walikuwa wanajua strategies unazoongea sana na ndiyo maana CHADEMA ikapanda hadi kuwa ilivyo leo, ila sasa hivi inaelekea kifo cha mende.
Chama kimegeuzwa mali ya mtu na washkaji zake. Watakula jeuri yao, Oct 28.
 
Dola (Majeshi) yakae pembeni uone kama CCM itasalia madarakani kupitia boksi la kura
 
Chadema has done tremendously well with such meagre source of funding compared to ccm which is well oiled in terms of resources and its reliance of the government of the day to carry them through.
Cdm has a well refined team of strategists who have pushed the incumbent to the corner.
What has made them successful so far is to keep the incumbent responding to each and every issue raised by cdm and thus makes him lose his discipline, direction and playing him to the emotive being of his candidacy.
If NEC was transparent and accountable to the people of Tanzania this could have turned out to be very humiliating defeat to the incumbent.

There are universal laws that govern the conduct of human affairs especially once a new team takes over the governance.

Cicero would never have thought of this concept of natural law in terms used later by Christians, but he firmly believed that divine rules independent of time and place guarantee fundamental freedoms to everyone and constrain the way in which governments should behave. As the American Founding Fathers, careful students of Cicero, wrote in the Declaration of Independence: “We hold these truths to be self-evident, that all men are created equal, that they are endowed by their Creator with certain unalienable rights, that among these are life, liberty and the pursuit of happiness.”

2. The best form of government embraces a balance of powers.

Even the most noble kings will become tyrants if their reign is unchecked, just as democracy will degrade into mob rule if there are no constraints on popular power. A just government must be founded on a system of checks and balances. Beware the leader who sets aside constitutional rules claiming the need for expediency or security.

3. Leaders should be of exceptional character and integrity.

Those who would govern a country must possess great courage, ability, and resolve. True leaders always put the interest of their nation above their own. As Cicero says, governing a country is like steering a ship, especially when the storm winds begin to blow. If the captain is not able to hold a steady course, the voyage will end in disaster for all.

4. Keep your friends close— and your enemies closer.

Leaders fail when they take their friends and allies for granted. Never neglect your supporters, but even more important, always make sure you know what your enemies are doing. Don’t be afraid to reach out to those who oppose you. Pride and stubbornness are luxuries you cannot afford.

5. Intelligence is not a dirty word.

Those who govern a country should be the best and the brightest of the land. As Cicero says, if leaders don’t have a thorough knowledge of what they are talking about, their speeches will be a silly prattle of empty words and their actions will be dangerously misguided.

6. Compromise is the key to getting things done.

Cicero writes that in politics it is irresponsible to take an unwavering stand when circumstances are always evolving. There are times to stand one’s ground, but consistently refusing to yield is a sign of weakness, not strength.

7. Don’t raise taxes— unless you absolutely have to.

Every country needs revenue in order to function, but Cicero declares that a primary purpose of a government is to assure that individuals keep what belongs to them, not to redistribute wealth. On the other hand, he condemns the concentration of such wealth into the hands of the few and asserts that it is the duty of a country to provide fundamental services and security to its citizens.

8. Immigration makes a country stronger.

Rome grew from a small village to a mighty empire by welcoming new citizens into its ranks as it spread across the Mediterranean. Even former slaves could become full voting members of society. New citizens bring new energy and ideas to a country.

9. Never start an unjust war.

Of course the Romans, just like modern nations, believed they could justify any war they wanted to wage, but Cicero at least holds up the ideal that wars begun from greed rather than defense or to protect a country’s honor are inexcusable.

10. Corruption destroys a nation.

Greed, bribery, and fraud devour a country from the inside, leaving it weak and vulnerable. Corruption is not merely a moral evil, but a practical menace that leaves citizens at best disheartened, at worst seething with anger and ripe for revolution.
 
Wewe mtoa mada hiyo mipango yako ni ya kipumbavu sana,unadhani unaweza mtoa mtu aliyeshika dola ambaye kuanzia tume ya uchaguzi,polisi,wakurugenzi wa uchaguzi unateua yeye???

The only way kuindoa CCM ni watu kuelezwa maovu ya chama kisha kupitia umma kwa damu pekee! Hamna njia nyingine acha kujidanganya.
 
CCM hawana strategy zozote zaidi ya kutumia dola kufanya UJAMBAZI wa kura!
 
Dawa Ni moja tu nguvu ya umma kulazimisha mshindi halali atangazwe full stop Jechaism imetosha , sasa basi .
 
Back
Top Bottom