Chadema inakosa watu makini wa kujua adui wa demokrasia nchini ni nani?

Chadema inakosa watu makini wa kujua adui wa demokrasia nchini ni nani?

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Kuna Uzi nilisema humu NI vigumu kufikia malengo ya Democrasia na utawala wa Sheria ata 80% kwa utawala wa Mama yetu pendwa japokuwa NI kiongozi mzuri na sio muumini wa utawala wa kimabavu.

Swala la Democrasia duniani zipo za Aina mbili. Democrasia ya magharibi. AMBAYO inatoa mwanya wa vyama kubadilishana madaraka.

Democrasia ya mashariki, Hii kumwachia madaraka mpinzani NI mwiko, Unampa madaraka mpinzani anayesapoti Sera za utawala na asiwe na uwezo wa kukosoa ata chembe.

Wanaoipigania Aina hii ya Pili sio CCM Bali NI nchi za mashariki Kama Russia na Uchina. Democrasia hii ilikuwa Kama imeshakufa miaka ya 90' baada ya nchi hizo kufanya mabadiliko makubwa ya Sera zake za kiuchumi na kiutawala miaka ya 80'.

Democrasia ya Magharibi AMBAYO angalau NI halisi ata kwa asilimia 70 ilionekana inaenda kuongoza dunia. Laki gafla Watawala wa Mashariki gafla walianza kupandikiza Democrasia butu duniani. Kimsingi sio Democrasia kabisa. Bali kuwa na uchaguzi usio na chochote.

Chadema kupitia Mwenyekiti wao ama kwa kujua au kutokujua walijipa moyo kuwa wanaweza kupambana na hili kupitia wananchi ukweli ni kuwa haiwezekani.

Russia na China waliweza kupandikiza utawala wa Trump Marekani kwa Siri bila FBI Wala CIA kujua. Baada ya uchaguzi kuisha ndio wanajua. Walishindwa kuficha aibu na kujikuta wakiitangazia dunia kuwa Russia iliingilia uchaguzi wao. Yani Russia iliwawekea utawala Marekani. Kama waliweza kwa Marekani na kabla wachina walihusishwa na utawala mpya wa Zimbabwe vipi huku kwetu. Watatyangalia tu twende tunavyotaka. Huo ndio mtihani.

Lazima watake kila nchi iwe Kama zao. Watataka waafrika baadae warabu na wazungu pia.

Hilo la Democrasia linahitaji msukumo wa kimataifa. Waangalizi wa uchaguzi wawe wazi zaidi. Waongeze vigezo vya kuutambua chaguzi huru na ikiwezekana wasiweze kutambua viongozi watakaoingia kwa ujanja ujanja.

Haya ya kiuchumi we are in Right way. Fedha imeanza kujaa. Kila Kazi italipa. Ila la Democrasia msimtie majaribuni mama.

Ata hao mnaowaita Covid 19 mtaona bungeni mpaka 2025 Kama mtaweka vichwa chini. Kushindwa kuongea na dunua juu ya real Democrasia na kusubiri Wanyonge wawaongelee.

Huwezi shinda Vita na silaha moja tu.
 
Hilo la Democrasia linahitaji msukumo wa kimataifa.
Mkuu kuna wachambuzi wa masuala ya kisiasa wanasema kwamba dunia ya leo mataifa yamekuwa na ubinafsi Sana. Kila taifa linajiangalia lenyewe tu. Tofauti na enzi za kupigania uhuru mataifa kama Tanzania na Ghana yaliwaona waafrika wote kama ndugu. Hivyo yakakubali kutumia rasirimali zao kusaidia upatikanaji wa uhuru wa nchi zingine.

Taasis kama OAU, UNO, NATO, ICC haziheshimiki tena kwasabb hazina fedha nchi wafadhili ndiyo wamepalaganya nguvu ya taasisi hizo. Tofauti na zilivyoheshimika ktk miaka ya 70 na 80.

Kwahiyo kwa maoni yangu naona demokrasia itajengwa na nguvu ya wananchi wa taifa husika. Wakilala, watatwezwa mpk wafe.

Unataka kuniambia kelele za CAR, Gabon, Niger, Chad, Mali, Rwanda, Uganda, n.k mataifa hayajazisikia????
 
Mkuu kuna wachambuzi wa masuala ya kisiasa wanasema kwamba dunia ya leo mataifa yamekuwa na ubinafsi Sana. Kila taifa linajiangalia lenyewe tu. Tofauti na enzi za kupigania uhuru mataifa kama Tanzania na Ghana yaliwaona waafrika wote kama ndugu. Hivyo yakakubali kutumia rasirimali zao kusaidia upatikanaji wa uhuru wa nchi zingine.

Taasis kama OAU, UNO, NATO, ICC haziheshimiki tena kwasabb hazina fedha nchi wafadhili ndiyo wamepalaganya nguvu ya taasisi hizo. Tofauti na zilivyoheshimika ktk miaka ya 70 na 80.

Kwahiyo kwa maoni yangu naona demokrasia itajengwa na nguvu ya wananchi wa taifa husika. Wakilala, watatwezwa mpk wafe.

Unataka kuniambia kelele za CAR, Gabon, Niger, Chad, Mali, Rwanda, Uganda, n.k mataifa hayajazisikia????
Bora wewe umeandika point
 
Mkuu kuna wachambuzi wa masuala ya kisiasa wanasema kwamba dunia ya leo mataifa yamekuwa na ubinafsi Sana. Kila taifa linajiangalia lenyewe tu. Tofauti na enzi za kupigania uhuru mataifa kama Tanzania na Ghana yaliwaona waafrika wote kama ndugu. Hivyo yakakubali kutumia rasirimali zao kusaidia upatikanaji wa uhuru wa nchi zingine.

Taasis kama OAU, UNO, NATO, ICC haziheshimiki tena kwasabb hazina fedha nchi wafadhili ndiyo wamepalaganya nguvu ya taasisi hizo. Tofauti na zilivyoheshimika ktk miaka ya 70 na 80.

Kwahiyo kwa maoni yangu naona demokrasia itajengwa na nguvu ya wananchi wa taifa husika. Wakilala, watatwezwa mpk wafe.

Unataka kuniambia kelele za CAR, Gabon, Niger, Chad, Mali, Rwanda, Uganda, n.k mataifa hayajazisikia????

Dunia lazima iingane kupigania Democrasia ya kweli. Mwanzo mwa tawala za kimabavu Afrika ulaya Asa uingereza waliona Kama vitu vitu haviwahusu. Ila matukio ya utekaji ndege, Kulipuliwa Majengo Marekani kulikoua watu zaidi ya 1000 na magaidi wanaosapotiwa na Utawala wa talbani. Utekwaji wa waisraeli walioletwa Uganda na idd Amini Dada NI sababu tosha inayofaa kutumiwa na wanadipromasia wa upinzani kuikumbusha dunia umuhimu wa Democrasia na utawala wa Sheria kwa maendeleo endevu ya dunia salama.
Chadema na upinzani wajue gemu ya Democrasia NI kucheza nje ndani.
 
Chadema inakosa watu makini wa kujua adui wa demokrasia nchini ni nani?
Labda wewe ndiye hujui lakini hata mtoto mdogo anajua adui wa demokrasia nchini si mtu bali ni genge linalojulikana kama CCM. Hili genge linaamini lina hati miliki ya kuiongoza Tanzania na kwamba Tanzania bila CCM haiwezekani.

Hili genge ndilo linatuletea vichaa kama mwendazake na kuwasukumiziwa Urais hata kama uwezo, hekima na busara ni zero kabisa. Hili genge bila kuondoka/kuondolewa tusahau kupiga hatua zozote kuelekea na kufikia utawala bora.
 
Dunia lazima iingane kupigania Democrasia ya kweli. Mwanzo mwa tawala za kimabavu Afrika ulaya Asa uingereza waliona Kama vitu vitu haviwahusu. Ila matukio ya utekaji ndege, Kulipuliwa Majengo Marekani kulikoua watu zaidi ya 1000 na magaidi wanaosapotiwa na Utawala wa talbani. Utekwaji wa waisraeli walioletwa Uganda na idd Amini Dada NI sababu tosha inayofaa kutumiwa na wanadipromasia wa upinzani kuikumbusha dunia umuhimu wa Democrasia na utawala wa Sheria kwa maendeleo endevu ya dunia salama.
Chadema na upinzani wajue gemu ya Democrasia NI kucheza nje ndani.

Uchambuzi wako uko kinadharia zaidi kuliko uhalisia. Hizo nchi za nje ziko kimya kwenye uonevu mwingi wa tawala za mabavu, sasa sijui ni ushauri gani unatoa. Mfano angalia kinachoendelea hapo Ethiopia kwenye jimbo la Tigray, sasa kama sehemu watu wanauliwa kwa mamia na hakuna hatua, ndio itakuwa hapa kwetu? Sioni kama una jipya boss.
 
Kuna Uzi nilisema humu NI vigumu kufikia malengo ya Democrasia na utawala wa Sheria ata 80% kwa utawala wa Mama yetu pendwa japokuwa NI kiongozi mzuri na sio muumini wa utawala wa kimabavu.

Swala la Democrasia duniani zipo za Aina mbili. Democrasia ya magharibi. AMBAYO inatoa mwanya wa vyama kubadilishana madaraka.

Democrasia ya mashariki, Hii kumwachia madaraka mpinzani NI mwiko, Unampa madaraka mpinzani anayesapoti Sera za utawala na asiwe na uwezo wa kukosoa ata chembe.

Wanaoipigania Aina hii ya Pili sio CCM Bali NI nchi za mashariki Kama Russia na Uchina. Democrasia hii ilikuwa Kama imeshakufa miaka ya 90' baada ya nchi hizo kufanya mabadiliko makubwa ya Sera zake za kiuchumi na kiutawala miaka ya 80'.

Democrasia ya Magharibi AMBAYO angalau NI halisi ata kwa asilimia 70 ilionekana inaenda kuongoza dunia. Laki gafla Watawala wa Mashariki gafla walianza kupandikiza Democrasia butu duniani. Kimsingi sio Democrasia kabisa. Bali kuwa na uchaguzi usio na chochote.

Chadema kupitia Mwenyekiti wao ama kwa kujua au kutokujua walijipa moyo kuwa wanaweza kupambana na hili kupitia wananchi ukweli ni kuwa haiwezekani.

Russia na China waliweza kupandikiza utawala wa Trump Marekani kwa Siri bila FBI Wala CIA kujua. Baada ya uchaguzi kuisha ndio wanajua. Walishindwa kuficha aibu na kujikuta wakiitangazia dunia kuwa Russia iliingilia uchaguzi wao. Yani Russia iliwawekea utawala Marekani. Kama waliweza kwa Marekani na kabla wachina walihusishwa na utawala mpya wa Zimbabwe vipi huku kwetu. Watatyangalia tu twende tunavyotaka. Huo ndio mtihani.

Lazima watake kila nchi iwe Kama zao. Watataka waafrika baadae warabu na wazungu pia.

Hilo la Democrasia linahitaji msukumo wa kimataifa. Waangalizi wa uchaguzi wawe wazi zaidi. Waongeze vigezo vya kuutambua chaguzi huru na ikiwezekana wasiweze kutambua viongozi watakaoingia kwa ujanja ujanja.

Haya ya kiuchumi we are in Right way. Fedha imeanza kujaa. Kila Kazi italipa. Ila la Democrasia msimtie majaribuni mama.

Ata hao mnaowaita Covid 19 mtaona bungeni mpaka 2025 Kama mtaweka vichwa chini. Kushindwa kuongea na dunua juu ya real Democrasia na kusubiri Wanyonge wawaongelee.

Huwezi shinda Vita na silaha moja tu.
Unadhani kama unaongozwa na chama kimoja for more than 30 years,na bado wanajisifia unyonge na umasikini bado hao watu siyo adui wa democracy na maisha ya watu kweli
 
Ukiona chama kinategemea mabavu, usiumize kichwa, hapo ni wazi hakina watu wanaotumia akili.
Akili wanatumia we hauoni kila uchaguzi wanawafanya watu kupanga foleni ili kuhararisha ccm kuendelea kuwa madarakani?
Kila uchaguzi unakuta watu wanaaminishwa kwamba safari hii ccm lazima itoke madarakani wanakusanyana na kwenda kupiga kura.
 
Akili wanatumia we hauoni kila uchaguzi wanawafanya watu kupanga foleni ili kuhararisha ccm kuendelea kuwa madarakani?
Kila uchaguzi unakuta watu wanaaminishwa kwamba safari hii ccm lazima itoke madarakani wanakusanyana na kwenda kupiga kura.

Huenda hujui tofauti ya akili na nguvu.
 
Back
Top Bottom