Chadema inakosa watu makini wa kujua adui wa demokrasia nchini ni nani?

Chadema inakosa watu makini wa kujua adui wa demokrasia nchini ni nani?

Hivi mnavyoenda kupiga kura huku matokeo yakijulikana teyari unadhani ni nguvu au akili iliyotumika?

Ni nguvu, maana matokeo halisi sio yanayotangazwa. Ndio maana huwa unaona matumizi makubwa ya vyombo vya dola. Kwenye vyuo vya elimu ya juu akili ndio inayotumika, ndio maana huoni vyombo vya dola vikizingira maeneo hayo, kwani nguvu sio sehemu yake. Utaelewa tu mbona.
 
Uchambuzi wako uko kinadharia zaidi kuliko uhalisia. Hizo nchi za nje ziko kimya kwenye uonevu mwingi wa tawala za mabavu, sasa sijui ni ushauri gani unatoa. Mfano angalia kinachoendelea hapo Ethiopia kwenye jimbo la Tigray, sasa kama sehemu watu wanauliwa kwa mamia na hakuna hatua, ndio itakuwa hapa kwetu? Sioni kama una jipya boss.

Wanaona, wamesema Sana hasa balaza la usalama sema waafrika wapo kimya. Ethiopia pia waziri mkuu mpya alipoingia lilikuwa na dalili nzuri za kurudi kwa Democrasia na Uhuru wa kujieleza. Ila abiudi alipoonesha uelekeo huo alikosakosa kuuwawa zaidi ya Mara mbili na kupinduliwa.
Gafla akarudia mlengo wa wakimabavu. Na hii ndio Democrasia ya akina Purten AMBAYO wanataka dunia nzima waifate. Kuwa madarakani milele
 
Ni nguvu, maana matokeo halisi sio yanayotangazwa. Ndio maana huwa unaona matumizi makubwa ya vyombo vya dola. Kwenye vyuo vya elimu ya juu akili ndio inayotumika, ndio maana huoni vyombo vya dola vikizingira maeneo hayo, kwani nguvu sio sehemu yake. Utaelewa tu mbona.
Pamoja na yote hayo unayoeleza ila 2025 wenyewe mnajipeleka kupanga foleni huku mkiwa na matumaini ya kupatikana matokeo tofauti, halafu wewe bado unapinga kwamba haitumiki akili.
 
Pamoja na yote hayo unayoeleza ila 2025 wenyewe mnajipeleka kupanga foleni huku mkiwa na matumaini ya kupatikana matokeo tofauti, halafu wewe bado unapinga kwamba haitumiki akili.
Chadema wapiganie kwanza Sheria kandamizi kwa kutumia ushawishi sio ushindani!?
 
Back
Top Bottom