CHADEMA inakuwa EXPOSED sana uchaguzi huu, Yajayo yanahuzunisha

CHADEMA inakuwa EXPOSED sana uchaguzi huu, Yajayo yanahuzunisha

Mayu

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2010
Posts
7,621
Reaction score
12,505
Ni rahisi sana KUIHUBIRI Demokrasia lakini ni ngumu sana kuiishi

Kuna watu ndani ya CDM ni WAZURI sana wakiwa WANAONEWA kidemokrasia lakini ni wa HOVYO sana wanapotakiwa kui PRACTICE demokrasia

Nahakika Malisa tunayemjua akikutana na Malisa aliyefanya press watashikana mashati

Kibaya zaidi ni kwamba CDM wanafanya siasa za KUMALIZANA. Character assassination as if HAKUNA tena maisha baada ya uchaguzi

Ukiwasikiliza MACHAWA wa pande zote mbili wapo busy kumalizana kwenye press na social media mbele ya UMMA wakiwemo WABAYA wao wakati wapiga kura ni wajumbe wa mkutano mkuu wa CDM ambao hawazidi 2000

Kuna sababu gani ya kutoka HADHARANI na kumshambulia Mwenyekiti/Makamo wa chama kwa TUHUMA nzito zinazo UA kabisa wajihi wake?

Vipi AKISHINDA na ulimtuhumu ANAHUJUMU chama mtaishi kwa AMANI chungu kimoja?

Katiaka hili CHADEMA walipaswa kujifunza kwa CCM linapokuja swala la chaguzi za ndani ni MARUFUKU kuchafuana HADHARANI, utafanya kampeni zako kwa wapiga kura tu na Sio kuvuana nguo hadarani

Kwa jicho langu naona yafuatayo
Kuna kila sababu ya Mbowe KUSHINDA uchaguzi huu lakini kwa Jinsi Lissu na kampani yake walivyoshambuliwa itakua ni CHANGAMOTO sana kubaki ndani ya CHADEMA, Possibly watahama na kukimega chama na CHADEMA itadhoofika

Na iwapo Lissu atashinda basi tutegemee MABADILIKO makubwa sana ambayo yatawaacha MACHAWA wa Mbowe katika halimbaya sana ndani ya Chama

Hawata HAMA chama sababu bado wana nguvu lakini MIGOGORO itakua haiishi na chama kitadhoofika sana

Kabla ya mtifuano huu nadhani HEKIMA za Baba Askofu Boganza zingezingatiwa tusingefika huku
 
Viongozi wa CDM hawana emotional intelligence.

Na Secretarieti ya Mnyika imefeli sana kuongoza zoezi la Uchaguzi badala ya kuongoza Uchaguzi kistaarabu kwa watu kufuata maadili imegeuka kuwa Vita ya liwalo na liwe.
 
CDM wanajidanganya kuwa media zinazowahoji kila siku zinafanya hivyo kwa lengo zuri la kuwapa airtime hawajui kuwa zinafanya kazi ya dola ya kuchochea mgawanyiko na kuchafua image yao.

Hawajiulizi kwanini kwenye Uchaguzi tu wa Serikali za mitaa hakuna chombo Cha habari kilichohangaika nao ?

CDM hawana intelligence service kifupi ni genge la wahuni.
 
Lissu na genge lake wako katika self destruction mode. Na Waitara ataichukua tena Tarime akiwa kama mbunge, come what may. Heche hatakuwa mbunge wa Tarime
 
Ni rahisi sana KUIHUBIRI Demokrasia lakini ni ngumu sana kuiishi

Kuna watu ndani ya CDM ni WAZURI sana wakiwa WANAONEWA kidemokrasia lakini ni wa HOVYO sana wanapotakiwa kui PRACTICE demokrasia

Nahakika Malisa tunayemjua akikutana na Malisa aliyefanya press watashikana mashati

Kibaya zaidi ni kwamba CDM wanafanya siasa za KUMALIZANA. Character assassination as if HAKUNA tena maisha baada ya uchaguzi

Ukiwasikiliza MACHAWA wa pande zote mbili wapo busy kumalizana kwenye press na social media mbele ya UMMA wakiwemo WABAYA wao wakati wapiga kura ni wajumbe wa mkutano mkuu wa CDM ambao hawazidi 2000

Kuna sababu gani ya kutoka HADHARANI na kumshambulia Mwenyekiti/Makamo wa chama kwa TUHUMA nzito zinazo UA kabisa wajihi wake?

Vipi AKISHINDA na ulimtuhumu ANAHUJUMU chama mtaishi kwa AMANI chungu kimoja?

Katiaka hili CHADEMA walipaswa kujifunza kwa CCM linapokuja swala la chaguzi za ndani ni MARUFUKU kuchafuana HADHARANI, utafanya kampeni zako kwa wapiga kura tu na Sio kuvuana nguo hadarani

Kwa jicho langu naona yafuatayo
Kuna kila sababu ya Mbowe KUSHINDA uchaguzi huu lakini kwa Jinsi Lissu na kampani yake walivyoshambuliwa itakua ni CHANGAMOTO sana kubaki ndani ya CHADEMA, Possibly watahama na kukimega chama na CHADEMA itadhoofika

Na iwapo Lissu atashinda basi tutegemee MABADILIKO makubwa sana ambayo yatawaacha MACHAWA wa Mbowe katika halimbaya sana ndani ya Chama

Hawata HAMA chama sababu bado wana nguvu lakini MIGOGORO itakua haiishi na chama kitadhoofika sana

Kabla ya mtifuano huu nadhani HEKIMA za Baba Askofu Boganza zingezingatiwa tusingefika huku
Nafikiri umeona jinsi kwa muda mfupi tu CCM ilivyouwawa na uchaguzi wa CDM. CHADEMA ndio kwanza inamea.
 
CDM wanajidanganya kuwa media zinazowahoji kila siku zinafanya hivyo kwa lengo zuri la kuwapa airtime hawajui kuwa zinafanya kazi ya dola ya kuchochea mgawanyiko na kuchafua image yao.

Hawajiulizi kwanini kwenye Uchaguzi tu wa Serikali za mitaa hakuna chombo Cha habari kilichohangaika nao ?

CDM hawana intelligence service kifupi ni genge la wahuni.
Yerico Nyerere amefeli sana katika hili
Nilidhani anao uono wa mbali kwenye ujasusi lakini yeye ndio namba moja kuzunguka kwenye media
Hashangai kwanini hapo kabla walikua hapewi hiyo coverage
 
Nafikiri umeona jinsi kwa muda mfupi tu CCM ilivyouwawa na uchaguzi wa CDM. CHADEMA ndio kwanza inamea.
Mkuu ni kweli kwa sasa talk of the town ni Uchaguzi wa CDM
Lakini umejiuliza ni kwanini vyombo vya habari ambavyo vilikua haviipi covarage CDM vinafanya hivyo sasa?

Time will tell
 
Viongozi wa CDM hawana emotional intelligence.

Na Secretarieti ya Mnyika imefeli sana kuongoza zoezi la Uchaguzi badala ya kuongoza Uchaguzi kistaarabu kwa watu kufuata maadili imegeuka kuwa Vita ya liwalo na liwe.
Ndio demokrasia hiyo.
 
Yerico Nyerere amefeli sana katika hili
Nilidhani anao uono wa mbali kwenye ujasusi lakini yeye ndio namba moja kuzunguka kwenye media
Hashangai kwanini hapo kabla walikua hapewi hiyo coverage
Yerico ndiyo mkuu wa kitengo cha Usalama chamani ?

Kama ni hivyo Basi hiki Chama hakistahili kupewa hata mtaa kuongoza
 
Ni rahisi sana KUIHUBIRI Demokrasia lakini ni ngumu sana kuiishi

Kuna watu ndani ya CDM ni WAZURI sana wakiwa WANAONEWA kidemokrasia lakini ni wa HOVYO sana wanapotakiwa kui PRACTICE demokrasia

Nahakika Malisa tunayemjua akikutana na Malisa aliyefanya press watashikana mashati

Kibaya zaidi ni kwamba CDM wanafanya siasa za KUMALIZANA. Character assassination as if HAKUNA tena maisha baada ya uchaguzi

Ukiwasikiliza MACHAWA wa pande zote mbili wapo busy kumalizana kwenye press na social media mbele ya UMMA wakiwemo WABAYA wao wakati wapiga kura ni wajumbe wa mkutano mkuu wa CDM ambao hawazidi 2000

Kuna sababu gani ya kutoka HADHARANI na kumshambulia Mwenyekiti/Makamo wa chama kwa TUHUMA nzito zinazo UA kabisa wajihi wake?

Vipi AKISHINDA na ulimtuhumu ANAHUJUMU chama mtaishi kwa AMANI chungu kimoja?

Katiaka hili CHADEMA walipaswa kujifunza kwa CCM linapokuja swala la chaguzi za ndani ni MARUFUKU kuchafuana HADHARANI, utafanya kampeni zako kwa wapiga kura tu na Sio kuvuana nguo hadarani

Kwa jicho langu naona yafuatayo
Kuna kila sababu ya Mbowe KUSHINDA uchaguzi huu lakini kwa Jinsi Lissu na kampani yake walivyoshambuliwa itakua ni CHANGAMOTO sana kubaki ndani ya CHADEMA, Possibly watahama na kukimega chama na CHADEMA itadhoofika

Na iwapo Lissu atashinda basi tutegemee MABADILIKO makubwa sana ambayo yatawaacha MACHAWA wa Mbowe katika halimbaya sana ndani ya Chama

Hawata HAMA chama sababu bado wana nguvu lakini MIGOGORO itakua haiishi na chama kitadhoofika sana

Kabla ya mtifuano huu nadhani HEKIMA za Baba Askofu Boganza zingezingatiwa tusingefika huku
Haijalishi atashinda nani, chadema itapitua kipindi kigumu sana na huenda ikaporomoka kabisa.
Sema fresh tu maana ukweli na uongo umejulikana ndilo jambo la msingi kwa raia.
 
Muda ni mwalimu mzuri sana haijawahi kuwa na upendeleo hivyo TUACHE MUDA UAMUE KUHUSU HOJA ZAO (BOTH SIDE)
 
Back
Top Bottom