Uchaguzi 2020 CHADEMA inakuwaje mtu anagombea Kiti cha Ubunge wa Jimbo na Viti Maalumu kwa mpigo na anashinda vyote? Kwanini asigombee moja?

Uchaguzi 2020 CHADEMA inakuwaje mtu anagombea Kiti cha Ubunge wa Jimbo na Viti Maalumu kwa mpigo na anashinda vyote? Kwanini asigombee moja?

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
CHADEMA nakuwaje mtu anagombea viti vyote cha Ubunge wa Jimbo na Viti Maalumu kwa mpigo na anashinda vyote? Kwanini asigombee moja?

Mifano michache ni hii hapa Devota Minja na Grace Kiwelu

MATOKEO YA KURA ZA MAONI JIMBO LA MOROGORO MJINI

1. Jimbo

Idadi ya Wapiga kura 125
Kura zilizoharibika 6

a. DEVOTHA MINJA 83 sawa na 66.4%
b. SHABAN DIMOSO 33 sawa na 26.4%
c. WILFRED NGINDU 2 sawa na 1.6%
c. JUMA TEMBO 1 sawa na 0.8%

VITI MAALUMU
Idadi ya Wapiga Kura 55
Kura zilizoharibika 02

a. DEVOTHA MINJA 38 sawa na 70.3%
b. ESTHER TAWETE 11 sawa na 20%
c. MARIA MIHANJO 4 sawa na 7%
d. DOROTH NAMUNASHI 0 sawa na 0%.

Gwamaka Mbughi
Msimamizi

MATOKEO YA KURA ZA MAONI - JIMBO LA VUNJO (KILIMANJARO)

Ubunge wa Jimbo


Mgombea;
1) Grace Kiwelu Kura 80 =95.23%
2) Peter Msophe 4

UBUNGE Viti Maalum
1) Mh Grace Kiwelu kura 25 = 83.33%
2) Aziza Mohammed 05 =16%
 
Kwa kila eneo kuna mshindi wa pili atapewa. Sio tatizo kabisa bado matakwa ya sanduku la kula Chadema yataheshimiwa.

Subiria maumivu ya CCM watu watashinda kwa kura za watu kihalali lakini watakatwa kinyume na matakwa ya kura halali punde zikiwasili Dodoma.
 
Walijaribu huku na kule wasipoteze mkate wao kirahisi, ila aliepata nafasi ya pili ndie atapewa hiyo nafasi ya Viti Maalum, sioni kama kuna ubaya hapo.
Viti maalum ni kwa ajili ya wanawake tu.
 
CHADEMA nakuwaje mtu anagombea viti vyote cha Ubunge wa Jimbo na Viti Maalumu kwa mpigo na anashinda vyote? Kwanini asigombee moja?

Mifano michache ni hii hapa Devota Minja na Grace Kiwelu

MATOKEO YA KURA ZA MAONI JIMBO LA MOROGORO MJINI

1. Jimbo

Idadi ya Wapiga kura 125
Kura zilizoharibika 6

a. DEVOTHA MINJA 83 sawa na 66.4%
b. SHABAN DIMOSO 33 sawa na 26.4%
c. WILFRED NGINDU 2 sawa na 1.6%
c. JUMA TEMBO 1 sawa na 0.8%

VITI MAALUMU
Idadi ya Wapiga Kura 55
Kura zilizoharibika 02

a. DEVOTHA MINJA 38 sawa na 70.3%
b. ESTHER TAWETE 11 sawa na 20%
c. MARIA MIHANJO 4 sawa na 7%
d. DOROTH NAMUNASHI 0 sawa na 0%.

Gwamaka Mbughi
Msimamizi

MATOKEO YA KURA ZA MAONI - JIMBO LA VUNJO (KILIMANJARO)

Ubunge wa Jimbo


Mgombea;
1) Grace Kiwelu Kura 80 =95.23%
2) Peter Msophe 4

UBUNGE Viti Maalum
1) Mh Grace Kiwelu kura 25 = 83.33%
2) Aziza Mohammed 05 =16%
Tulia wewe.
 
Walijaribu huku na kule wasipoteze mkate wao kirahisi, ila aliepata nafasi ya pili ndie atapewa hiyo nafasi ya Viti Maalum, sioni kama kuna ubaya hapo.
Ila aliyepata nafasi ya pili atapata viti maalumu. Mna uhakika wa kushinda? Mwaka huu mnapata jimbo mbili tu.
 
CHADEMA nakuwaje mtu anagombea viti vyote cha Ubunge wa Jimbo na Viti Maalumu kwa mpigo na anashinda vyote? Kwanini asigombee moja?

Mifano michache ni hii hapa Devota Minja na Grace Kiwelu

MATOKEO YA KURA ZA MAONI JIMBO LA MOROGORO MJINI

1. Jimbo

Idadi ya Wapiga kura 125
Kura zilizoharibika 6

a. DEVOTHA MINJA 83 sawa na 66.4%
b. SHABAN DIMOSO 33 sawa na 26.4%
c. WILFRED NGINDU 2 sawa na 1.6%
c. JUMA TEMBO 1 sawa na 0.8%

VITI MAALUMU
Idadi ya Wapiga Kura 55
Kura zilizoharibika 02

a. DEVOTHA MINJA 38 sawa na 70.3%
b. ESTHER TAWETE 11 sawa na 20%
c. MARIA MIHANJO 4 sawa na 7%
d. DOROTH NAMUNASHI 0 sawa na 0%.

Gwamaka Mbughi
Msimamizi

MATOKEO YA KURA ZA MAONI - JIMBO LA VUNJO (KILIMANJARO)

Ubunge wa Jimbo


Mgombea;
1) Grace Kiwelu Kura 80 =95.23%
2) Peter Msophe 4

UBUNGE Viti Maalum
1) Mh Grace Kiwelu kura 25 = 83.33%
2) Aziza Mohammed 05 =16%

Ni kweli hali hii ina ukakasi, na hali hiyo haipo cdm tu, hata ccm ipo. Tabia hii ni kutokujiamini na ni dalili za uchu wa madaraka. Ila tatizo langu kubwa ni mtu kuwa kwenye viti maalum zaidi ya miaka kumi. Hili kwangu ni tatizo kubwa na siko tayari kulivumilia kwa utetezi wa aina yoyote.
 
Ni kweli hali hii ina ukakasi, na hali hiyo haipo cdm tu, hata ccm ipo. Tabia hii ni kutokujiamini na ni dalili za uchu wa madaraka. Ila tatizo langu kubwa ni mtu kuwa kwenye viti maalum zaidi ya miaka kumi. Hili kwangu ni tatizo kubwa na siko tayari kulivumilia kwa utetezi wa aina yoyote.
Je, kanuni za vyama zinasemaje? Kanuni za Uchaguzi zinasemaje? Kuna Sheria imekiukwa? Kuna kanuni imekiukwa? Kama hakuna kuvunjwa kwa kanuni au sheria basi usilalamikie Chadema wala CCM lalamikia kanuni na Sheria zinazotoa loophole hiyo
 
CHADEMA nakuwaje mtu anagombea viti vyote cha Ubunge wa Jimbo na Viti Maalumu kwa mpigo na anashinda vyote? Kwanini asigombee moja?

Mifano michache ni hii hapa Devota Minja na Grace Kiwelu

MATOKEO YA KURA ZA MAONI JIMBO LA MOROGORO MJINI

1. Jimbo

Idadi ya Wapiga kura 125
Kura zilizoharibika 6

a. DEVOTHA MINJA 83 sawa na 66.4%
b. SHABAN DIMOSO 33 sawa na 26.4%
c. WILFRED NGINDU 2 sawa na 1.6%
c. JUMA TEMBO 1 sawa na 0.8%

VITI MAALUMU
Idadi ya Wapiga Kura 55
Kura zilizoharibika 02

a. DEVOTHA MINJA 38 sawa na 70.3%
b. ESTHER TAWETE 11 sawa na 20%
c. MARIA MIHANJO 4 sawa na 7%
d. DOROTH NAMUNASHI 0 sawa na 0%.

Gwamaka Mbughi
Msimamizi

MATOKEO YA KURA ZA MAONI - JIMBO LA VUNJO (KILIMANJARO)

Ubunge wa Jimbo


Mgombea;
1) Grace Kiwelu Kura 80 =95.23%
2) Peter Msophe 4

UBUNGE Viti Maalum
1) Mh Grace Kiwelu kura 25 = 83.33%
2) Aziza Mohammed 05 =16%
Kutokujiamini na hapo ile kauli mbiu ya babies inapopata nguvu!
 
CHADEMA nakuwaje mtu anagombea viti vyote cha Ubunge wa Jimbo na Viti Maalumu kwa mpigo na anashinda vyote? Kwanini asigombee moja?

Mifano michache ni hii hapa Devota Minja na Grace Kiwelu

MATOKEO YA KURA ZA MAONI JIMBO LA MOROGORO MJINI

1. Jimbo

Idadi ya Wapiga kura 125
Kura zilizoharibika 6

a. DEVOTHA MINJA 83 sawa na 66.4%
b. SHABAN DIMOSO 33 sawa na 26.4%
c. WILFRED NGINDU 2 sawa na 1.6%
c. JUMA TEMBO 1 sawa na 0.8%

VITI MAALUMU
Idadi ya Wapiga Kura 55
Kura zilizoharibika 02

a. DEVOTHA MINJA 38 sawa na 70.3%
b. ESTHER TAWETE 11 sawa na 20%
c. MARIA MIHANJO 4 sawa na 7%
d. DOROTH NAMUNASHI 0 sawa na 0%.

Gwamaka Mbughi
Msimamizi

MATOKEO YA KURA ZA MAONI - JIMBO LA VUNJO (KILIMANJARO)

Ubunge wa Jimbo


Mgombea;
1) Grace Kiwelu Kura 80 =95.23%
2) Peter Msophe 4

UBUNGE Viti Maalum
1) Mh Grace Kiwelu kura 25 = 83.33%
2) Aziza Mohammed 05 =16%
Huo Ni ulafi
 
Walijaribu huku na kule wasipoteze mkate wao kirahisi, ila aliepata nafasi ya pili ndie atapewa hiyo nafasi ya Viti Maalum, sioni kama kuna ubaya hapo.
Ubaya upo Kwa aliyegombea nafas mbili tena akiwa na akili zake timilifu ukimpokonya moja bila shaka atahisi kaonewa.
 
Back
Top Bottom