YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
CHADEMA nakuwaje mtu anagombea viti vyote cha Ubunge wa Jimbo na Viti Maalumu kwa mpigo na anashinda vyote? Kwanini asigombee moja?
Mifano michache ni hii hapa Devota Minja na Grace Kiwelu
MATOKEO YA KURA ZA MAONI JIMBO LA MOROGORO MJINI
1. Jimbo
Idadi ya Wapiga kura 125
Kura zilizoharibika 6
a. DEVOTHA MINJA 83 sawa na 66.4%
b. SHABAN DIMOSO 33 sawa na 26.4%
c. WILFRED NGINDU 2 sawa na 1.6%
c. JUMA TEMBO 1 sawa na 0.8%
VITI MAALUMU
Idadi ya Wapiga Kura 55
Kura zilizoharibika 02
a. DEVOTHA MINJA 38 sawa na 70.3%
b. ESTHER TAWETE 11 sawa na 20%
c. MARIA MIHANJO 4 sawa na 7%
d. DOROTH NAMUNASHI 0 sawa na 0%.
Gwamaka Mbughi
Msimamizi
MATOKEO YA KURA ZA MAONI - JIMBO LA VUNJO (KILIMANJARO)
Ubunge wa Jimbo
Mgombea;
1) Grace Kiwelu Kura 80 =95.23%
2) Peter Msophe 4
UBUNGE Viti Maalum
1) Mh Grace Kiwelu kura 25 = 83.33%
2) Aziza Mohammed 05 =16%
Mifano michache ni hii hapa Devota Minja na Grace Kiwelu
MATOKEO YA KURA ZA MAONI JIMBO LA MOROGORO MJINI
1. Jimbo
Idadi ya Wapiga kura 125
Kura zilizoharibika 6
a. DEVOTHA MINJA 83 sawa na 66.4%
b. SHABAN DIMOSO 33 sawa na 26.4%
c. WILFRED NGINDU 2 sawa na 1.6%
c. JUMA TEMBO 1 sawa na 0.8%
VITI MAALUMU
Idadi ya Wapiga Kura 55
Kura zilizoharibika 02
a. DEVOTHA MINJA 38 sawa na 70.3%
b. ESTHER TAWETE 11 sawa na 20%
c. MARIA MIHANJO 4 sawa na 7%
d. DOROTH NAMUNASHI 0 sawa na 0%.
Gwamaka Mbughi
Msimamizi
MATOKEO YA KURA ZA MAONI - JIMBO LA VUNJO (KILIMANJARO)
Ubunge wa Jimbo
Mgombea;
1) Grace Kiwelu Kura 80 =95.23%
2) Peter Msophe 4
UBUNGE Viti Maalum
1) Mh Grace Kiwelu kura 25 = 83.33%
2) Aziza Mohammed 05 =16%