CHADEMA inapigania ustawi wa Tanzania, kwanini unaipinga?

CHADEMA inapigania ustawi wa Tanzania, kwanini unaipinga?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Wakati mwingine ukiangalia chuki walizo nazo baadhi ya watu dhidi ya CHADEMA, jambo unaloligundua kwa urahisi ni kwamba watu hao fikra zao na mwenendo wa maisha yao umeshazoea kugandamizwa.

Ni kazi sana kwa mtu aliyezoea kuwa mtumwa na kuona "manufaa" ya kuwa mtumwa kukubaliana na mtu anayepigania wengine kuwa huru. Ndiyo maana haishangazi kwa Mwarabu ama Mzungu mmoja aliweza kuwafanya maelfu ya mababu zetu kuwa watumwa kwa msaada wa mababu zetu wengine.

Inashangaza watu kuacha kupambana na CCM inayowasababishia ujinga, maradhi na umaskini badala yake wanapambana na CHADEMA inayopigania Uhuru, Heshima na Demokrasia ya Watanzania.

Kwa nini unaipinga CHADEMA?
 
Sio tuu kuzoea kukandamizwa ila pia wamezoe kukwiba kupitia mianyailiyopo 😆
 
Kipindi cha nyuma CHADEMA hiyohiyo iliaminisha watu kwamba suluhisho la matatizo yao ni KATIBA MPYA. Sasa baada ya viongozi wote wa CHADEMA kulambishwa asali, wameufyata hadi waliopo nje ya nchi. Kwa wale tunaobet hiyo inaitwa BOTH TEAM TO SCORE maarufu kama GG. Hakuna Cha CHADEMA wala upinzani tena. Wote wameufyata wanalamba asali. No more matamkos..😉🤔
 
Wakati mwingine ukiangalia chuki walizo nazo baadhi ya watu dhidi ya CHADEMA, jambo unaloligundua kwa urahisi ni kwamba watu hao fikra zao na mwenendo wa maisha yao umeshazoea kugandamizwa.
1. Uhuru gani Chadema inapigania?

2. Demokrasia gani Chadema inapigania ?

3. Heshima gani Chadema inapigania ?

4. Ustawi gani wa Tanzania Chadema inapigania?
 
Kipindi cha nyuma CHADEMA hiyohiyo iliaminisha watu kwamba suluhisho la matatizo yao ni KATIBA MPYA. Sasa baada ya viongozi wote wa CHADEMA kulambishwa asali, wameufyata hadi waliopo nje ya nchi. Kwa wale tunaobet hiyo inaitwa BOTH TEAM TO SCORE maarufu kama GG. Hakuna Cha CHADEMA wala upinzani tena. Wote wameufyata wanalamba asali. No more matamkos..[emoji6][emoji848]
Wewe matamko yao si ulikuwa unayapinga kwa nguvu zako zote? Unataka matamko gani tena? Zinduka hujioni kama wewe ni zombi?
 
Wakati mwingine ukiangalia chuki walizo nazo baadhi ya watu dhidi ya CHADEMA, jambo unaloligundua kwa urahisi ni kwamba watu hao fikra zao na mwenendo wa maisha yao umeshazoea kugandamizwa.

Ni kazi sana kwa mtu aliyezoea kuwa mtumwa na kuona "manufaa" ya kuwa mtumwa kukubaliana na mtu anayepigania wengine kuwa huru. Ndiyo maana haishangazi kwa Mwarabu ama Mzungu mmoja aliweza kuwafanya maelfu ya mababu zetu kuwa watumwa kwa msaada wa mababu zetu wengine.

Inashangaza watu kuacha kupambana na CCM inayowasababishia ujinga, maradhi na umaskini badala yake wanapambana na CHADEMA inayopigania Uhuru, Heshima na Demokrasia ya Watanzania.

Kwa nini unaipinga CHADEMA?
 
Chadema haiwezi kupigania ustawi wa nchi kabla ya kupigania ustawi wake yenyewe!!! Yenyewe tu Haina ustawi ,,wanabaguana Kwa ukanda ,ving'ang'anizi wa madaraka ,ni watu wa mihemuko na hawana ajenda yoyote, kama Kuna chama hakitakuja kushika Dola milele basi ni chadema ,,,labda ubunge na udiwani....hata huyo mnamwita Antipas Hana haiba ya kuwa rais wa nchi .labda anafaa tu kuwa mwanaharakati ,na mtetezi wa haki binadamu kisheria ,,mtu mwenye haiba ya kuwa rais kwenye chama chenu ..ni Lazaro nyalandu , salum mwalimu basi wengine wote ni wapiga kelele tu boss
 
Wakati mwingine ukiangalia chuki walizo nazo baadhi ya watu dhidi ya CHADEMA, jambo unaloligundua kwa urahisi ni kwamba watu hao fikra zao na mwenendo wa maisha yao umeshazoea kugandamizwa.

Ni kazi sana kwa mtu aliyezoea kuwa mtumwa na kuona "manufaa" ya kuwa mtumwa kukubaliana na mtu anayepigania wengine kuwa huru. Ndiyo maana haishangazi kwa Mwarabu ama Mzungu mmoja aliweza kuwafanya maelfu ya mababu zetu kuwa watumwa kwa msaada wa mababu zetu wengine.

Inashangaza watu kuacha kupambana na CCM inayowasababishia ujinga, maradhi na umaskini badala yake wanapambana na CHADEMA inayopigania Uhuru, Heshima na Demokrasia ya Watanzania.

Kwa nini unaipinga CHADEMA?
Wenye pepo wabaya hawapendi wengine waendelee. This is Afrika
 
Chadema haiwezi kupigania ustawi wa nchi kabla ya kupigania ustawi wake yenyewe!!! Yenyewe tu Haina ustawi ,,wanabaguana Kwa ukanda ,ving'ang'anizi wa madaraka ,ni watu wa mihemuko na hawana ajenda yoyote, kama Kuna chama hakitakuja kushika Dola milele basi ni chadema ,,,labda ubunge na udiwani....hata huyo mnamwita Antipas Hana haiba ya kuwa rais wa nchi .labda anafaa tu kuwa mwanaharakati ,na mtetezi wa haki binadamu kisheria ,,mtu mwenye haiba ya kuwa rais kwenye chama chenu ..ni Lazaro nyalandu , salum mwalimu basi wengine wote ni wapiga kelele tu boss
Sukuma gang at work
 
Back
Top Bottom