Hayo ni mawazo yako,na ni mawazo duni kwasababu wewe badala ujenge hoja unashambulia wajihi wa mtu.Unachotakiwa kujiuliza ni kwamba je hayo ambayo chadema wanayasema kwa wananchi yana manufaa au hayana.mambo yakushika dola achana nayo kwasababu wewe ni hayawani ambaye ya kesho hayajui.