CHADEMA inapigania ustawi wa Tanzania, kwanini unaipinga?

Uhuru wa nchi,democrasia ya nchi na ustawi wa nchi na wananchi.
1. Nani alikuambia Tanzania hatupo huru?

2. Demokrasia waanze kupigania kwanza kwenye chama chao kinacho ongozwa kidictator kwa mgongo wa demokrasia.

3. Ustawi waanze kwanza kwenye chama chao viongozi waache kujilimbikizia Mali huku chama kikosa hata ofisi ya maana[ Ofisi ipo Kama nyumba ya wageni{ Guest House } na wakati ni chama kikubwa tu hapa nchi chenye zaidi ya miaka 30 kinakosa makao makuu yaliyo bora na viongozi wake wakijaza matumbo tu kwa kujilimbikizia Mali].
 
Kuku kweli wewe Tena tetea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…