CHADEMA inapokea Ruzuku ya Tsh. Millioni 107 kwa mwezi sawa na Tsh. Billion 1 na Millioni 284 Kwa mwaka!

CHADEMA inapokea Ruzuku ya Tsh. Millioni 107 kwa mwezi sawa na Tsh. Billion 1 na Millioni 284 Kwa mwaka!

Kwa taarifa yako, siku CCM itakapo kuwa chama cha upinzani, hali ita kuwa mbaya sana heri ya CDM, maana wakati huo hata maokoto ya viwanja vya mpira wa miguu mtaya kumbuka. Jaribuni tuwe na Uchaguzi MKUU wa Haki muone. Maana mna mzigo mkubwa wa bajeti mliyonayo leo hii, hivyo mkiwa NJE YA SERIKALI hakuna rangi mtaacha kuiona.
Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka Marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.
 
107M kwa mwezi ni kiasi kidogo sana kwa taaasisi kubwa. Hizi zinaweza kumtosha Hashim Rungwe lkn CDM, ACT na CUF ni ndogo mno.
  • Makao Mkauu
  • Kanda
  • Mikoa
  • Wilaya lzm zipungue sana
 
107M kwa mwezi ni kiasi kidogo sana kwa taaasisi kubwa. Hizi zinaweza kumtosha Hashim Rungwe lkn CDM, ACT na CUF ni ndogo mno.
  • Makao Mkauu
  • Kanda
  • Mikoa
  • Wilaya lzm zipungue sana
Mbona walipokuwa wanapokea Ruzuku kubwa napo hali ilikuwa mbaya kwenye ofisi za mikoa na wilaya? Hata wangepokea kiasi gani bado wataoni ni ndogo tu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Chama kikuu cha upinzani hapa Nchini CHADEMA kinapokea Ruzuku kutoka serikalini ya takribani Millioni 107 kwa Mwezi ambayo ni sawa na Billion 1 na Millioni 284 kwa mwaka. Yaani:

107,000,000 x 12= 1,284,000,000/=.

Ambapo hata hivyo CHADEMA inasema kiasi hicho ni kidogo sana ukilinganisha na mahitaji na matumizi ya chama. Hiyo ni kwa mujibu wa John Mrema ambaye anasema pesa hiyo haitoshi na haiwatoshi.

Anasema ni ndogo kwa sababu chama kina ofisi ya makao makuu Dar es salaam, makao makuu ndogo Zanzibar pamoja na ofisi 10 za kanda ambazo zina waajiriwa rasmi wanaolipwa mishahara.

Swali linalokuja kwangu na ambalo ningependa kuwauliza CHADEMA ni kuwa kama Million 107 kwa mwezi ni ndogo. Je, CHADEMA walitaka walipwe shilingi ngapi ambazo ndio wataona ni nyingi? Mbona wakati wanapokea nyingi hususani 2015-2020 walipokuwa na wabunge wengi napo hawakuwahi kusema kuwa wanapokea nyingi na badala yake tuliona ofisi za chama huku mikoani zikiwa zimechoka sana na hali mbaya sana.

Hali ambayo ilionyesha na kutoa ishara ya kuwa ofisi hizi zilikuwa hazipati pesa au pesa zilikuwa hazifiki katika ofisi hizi. Lakini ikumbukwe kuwa pamoja na kupokea kwake Ruzuku kubwa bado wabunge wake nao walikuwa wakikatwa pesa kila Mwezi kuchangia chama. na ajabu zaidi ikifika wakati wa uchaguzi wagombea wake wa ubunge wamekuwa wakikabiliwa na ukata mkubwa sana wa kifedha na kupelekea kusuasua kwa kampeni.

Lakini pia kama CHADEMA inaona pesa hizo ni ndogo jambo ambalo linaweza kuwa kweli katika kujiendesha kitaasisi. Je, imefanya mikakati gani na mipango gani kuwekeza katika miradi ya chama itakayokiingizia na kukiongezea chama kipato? Miradi ya chama ipo wapi? Kwanini chama hakina miradi wakati kimepokea pesa nyingi sana kwa miaka kadhaa iliyopita?

Ikumbukwe ya kuwa pamoja na kupokea pesa kwa wingi lakini chama hakina hata tu kituo cha Tv au hata redio .yaani CHADEMA nzima inazidiwa maarifa na uthubutu na wasanii kama Diamond aliye na kituo cha Tv pamoja na Redio. Inazidiwa hadi na Millard Ayo.

Unaweza kuona udogo wa mawazo kiliyo nayo chama hiki. Maana jambo kubwa linaanza kujengwa katika fikira kwanza yaani kichwani. Lakini chama hiki cha CHADEMA hakina fikira kubwa kichwani mwake za kujiongezea kipato kupitia miradi na vitega uchumi vyake na badala yake kinategemea kikinge mikono kutoka kwa serikali hii hii ya Jemedari wetu shupavu na imara Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Ili sasa wakalipane mishahara na posho nene nene halafu wanarudi wanasema pesa ni kidogo na wakati mwingine wanaitukana na serikali inayowapa shibe na jeuri. CHADEMA hata wapewe kuongoza nchi kwa wiki moja kazi wanayoweza kuifanya ni kukomba na kukausha pesa zote hazina kama nyasi zilizopigwa dawa ya glamakisoni.

CHADEMA ni chama kisicho na ubunifu wala mikakati wala mbinu, wala njia ya kukiongezea na kutunisha mfuko wa pesa. Na lazima ifahamike ya kuwa siasa inahitaji uchumi ,chama kinahitaji kiwe na misuli ya kiuchumi na kifedha kwasababu huwezi kueneza chama kama huna pesa.

Kama huna pesa utashindwa hata kulipia ofisi wilayani na kwenye kata huko, kama ambavyo tumeshuhudia CHADEMA ikikosa ofisi ngazi hizo na pale ambapo zipo unakuta zimefungwa na kubaki maandishi nje tu, kwa sababu ya kukosa kodi ya nyumba ambayo unakuta ni ndogo tu lakini chama kimeshindwa kulipia, mpaka wenye nyumba wanaamua kuweka makufuri juu ya makufuri.

Naweka kalamu yangu chini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lukasi hiyo kumbuka sii fadhila wala hongo,hivyo yatafanyika kulingana na maono na mipango ya chama husika haifai kuwalisha maneno kwa manufaa ya yeyote 😀
 
Ndugu zangu Watanzania,

Chama kikuu cha upinzani hapa Nchini CHADEMA kinapokea Ruzuku kutoka serikalini ya takribani Millioni 107 kwa Mwezi ambayo ni sawa na Billion 1 na Millioni 284 kwa mwaka. Yaani:

107,000,000 x 12= 1,284,000,000/=.

Ambapo hata hivyo CHADEMA inasema kiasi hicho ni kidogo sana ukilinganisha na mahitaji na matumizi ya chama. Hiyo ni kwa mujibu wa John Mrema ambaye anasema pesa hiyo haitoshi na haiwatoshi.

Anasema ni ndogo kwa sababu chama kina ofisi ya makao makuu Dar es salaam, makao makuu ndogo Zanzibar pamoja na ofisi 10 za kanda ambazo zina waajiriwa rasmi wanaolipwa mishahara.

Swali linalokuja kwangu na ambalo ningependa kuwauliza CHADEMA ni kuwa kama Million 107 kwa mwezi ni ndogo. Je, CHADEMA walitaka walipwe shilingi ngapi ambazo ndio wataona ni nyingi? Mbona wakati wanapokea nyingi hususani 2015-2020 walipokuwa na wabunge wengi napo hawakuwahi kusema kuwa wanapokea nyingi na badala yake tuliona ofisi za chama huku mikoani zikiwa zimechoka sana na hali mbaya sana.

Hali ambayo ilionyesha na kutoa ishara ya kuwa ofisi hizi zilikuwa hazipati pesa au pesa zilikuwa hazifiki katika ofisi hizi. Lakini ikumbukwe kuwa pamoja na kupokea kwake Ruzuku kubwa bado wabunge wake nao walikuwa wakikatwa pesa kila Mwezi kuchangia chama. na ajabu zaidi ikifika wakati wa uchaguzi wagombea wake wa ubunge wamekuwa wakikabiliwa na ukata mkubwa sana wa kifedha na kupelekea kusuasua kwa kampeni.

Lakini pia kama CHADEMA inaona pesa hizo ni ndogo jambo ambalo linaweza kuwa kweli katika kujiendesha kitaasisi. Je, imefanya mikakati gani na mipango gani kuwekeza katika miradi ya chama itakayokiingizia na kukiongezea chama kipato? Miradi ya chama ipo wapi? Kwanini chama hakina miradi wakati kimepokea pesa nyingi sana kwa miaka kadhaa iliyopita?

Ikumbukwe ya kuwa pamoja na kupokea pesa kwa wingi lakini chama hakina hata tu kituo cha Tv au hata redio .yaani CHADEMA nzima inazidiwa maarifa na uthubutu na wasanii kama Diamond aliye na kituo cha Tv pamoja na Redio. Inazidiwa hadi na Millard Ayo.

Unaweza kuona udogo wa mawazo kiliyo nayo chama hiki. Maana jambo kubwa linaanza kujengwa katika fikira kwanza yaani kichwani. Lakini chama hiki cha CHADEMA hakina fikira kubwa kichwani mwake za kujiongezea kipato kupitia miradi na vitega uchumi vyake na badala yake kinategemea kikinge mikono kutoka kwa serikali hii hii ya Jemedari wetu shupavu na imara Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Ili sasa wakalipane mishahara na posho nene nene halafu wanarudi wanasema pesa ni kidogo na wakati mwingine wanaitukana na serikali inayowapa shibe na jeuri. CHADEMA hata wapewe kuongoza nchi kwa wiki moja kazi wanayoweza kuifanya ni kukomba na kukausha pesa zote hazina kama nyasi zilizopigwa dawa ya glamakisoni.

CHADEMA ni chama kisicho na ubunifu wala mikakati wala mbinu, wala njia ya kukiongezea na kutunisha mfuko wa pesa. Na lazima ifahamike ya kuwa siasa inahitaji uchumi ,chama kinahitaji kiwe na misuli ya kiuchumi na kifedha kwasababu huwezi kueneza chama kama huna pesa.

Kama huna pesa utashindwa hata kulipia ofisi wilayani na kwenye kata huko, kama ambavyo tumeshuhudia CHADEMA ikikosa ofisi ngazi hizo na pale ambapo zipo unakuta zimefungwa na kubaki maandishi nje tu, kwa sababu ya kukosa kodi ya nyumba ambayo unakuta ni ndogo tu lakini chama kimeshindwa kulipia, mpaka wenye nyumba wanaamua kuweka makufuri juu ya makufuri.

Naweka kalamu yangu chini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
CCM inakomba za bungeni na za hazina, inalitia umasikini taifa, nchi badala ya kutuhudumia wananchi inaihudumia CCM!
 
CCM inakomba za bungeni na za hazina, inalitia umasikini taifa, nchi badala ya kutuhudumia wananchi inaihudumia CCM!
Hapa kuna chawa wanafikiria kutungwa sheria za kuwanyamazisha mnao wapigia kelele wakwibaji😅
 
Lukasi hiyo kumbuka sii fadhila wala hongo,hivyo yatafanyika kulingana na maono na mipango ya chama husika haifai kuwalisha maneno kwa manufaa ya yeyote 😀
Hivi wewe ukiiangalia unaona kuna maoni na mipango ya aina yoyote ile iliyonayo CHADEMA? Kama ilishindwa kutekeleza maoni na mipango hiyo ikiwa inapokea mamillioni ya Ruzuku ni vipi itaweza kwa sasa?
 
Lukasi hiyo kumbuka sii fadhila wala hongo,hivyo yatafanyika kulingana na maono na mipango ya chama husika haifai kuwalisha maneno kwa manufaa ya yeyote 😀
Hivi wewe ukiiangalia unaona kuna maoni na mipango ya aina yoyote ile iliyonayo CHADEMA? Kama ilishindwa kutekeleza maoni na mipango hiyo ikiwa inapokea mamillioni ya Ruzuku ni vipi itaweza kwa sasa?
 
CCM inakomba za bungeni na za hazina, inalitia umasikini taifa, nchi badala ya kutuhudumia wananchi inaihudumia CCM!
Kwamba hapo ulipo mtaani kwako hujaona umeme ukiwaka? Maji yakitoka mabombani? Barabara zikikarabatiwa na kuwekwa lami? Madarasa yakijengwa? Zahanati na vituo vya afya vikijengwa? Elimu ikitolewa bure kwa wanafunzi wa sekondari? Hujaona yote haya? Unafikiri ni nani amefanikisha hayo kama siyo CCM? Ni CCM Ndio imeafaya hayo yote mazuri kwa upendo wake kwa watanzania.
 
Hivi wewe ukiiangalia unaona kuna maoni na mipango ya aina yoyote ile iliyonayo CHADEMA? Kama ilishindwa kutekeleza maoni na mipango hiyo ikiwa inapokea mamillioni ya Ruzuku ni vipi itaweza kwa sasa?
Wewe zingatia mipango yenu acha na wao wazingatie mipango yao halafu wapime kwa matokeo.
 
Kwamba hapo ulipo mtaani kwako hujaona umeme ukiwaka? Maji yakitoka mabombani? Barabara zikikarabatiwa na kuwekwa lami? Madarasa yakijengwa? Zahanati na vituo vya afya vikijengwa? Elimu ikitolewa bure kwa wanafunzi wa sekondari? Hujaona yote haya? Unafikiri ni nani amefanikisha hayo kama siyo CCM? Ni CCM Ndio imeafaya hayo yote mazuri kwa upendo wake kwa watanzania.
Kwa ulichokiandika ni wazi hauna akili, ni mjinga.j
Nimeishi Jacaranda toka kabla ya uhuru barabara ni ya lami, umeme na maji vipo na nilisoma N A Middle School maji yalikuwepo na mabweni, vitanda na mablanketi, japo CCM wameii a hiyo shule na kuifanya yao! Mwizi ni mwizi tu.
 
Back
Top Bottom