CHADEMA inapokea Ruzuku ya Tsh. Millioni 107 kwa mwezi sawa na Tsh. Billion 1 na Millioni 284 Kwa mwaka!

CHADEMA inapokea Ruzuku ya Tsh. Millioni 107 kwa mwezi sawa na Tsh. Billion 1 na Millioni 284 Kwa mwaka!

Mbona walipokuwa wanapokea Ruzuku kubwa napo hali ilikuwa mbaya kwenye ofisi za mikoa na wilaya? Hata wangepokea kiasi gani bado wataoni ni ndogo tu.
Wewe binafsi unaiona 107M kama ruzuku inayotosha? Tuache siasa na tofauti za kiitikadi - tuseme ukweli.
 
Back
Top Bottom