johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Uwanja wa shule ya Msingi ni level ya Mkutano wa diwaniAcheni propagada za kijinga ,watu wameona kwenye picha ,TV zimeonyesha kwenye taarifa ,idadi ya watu imeonekana ,yanini kuleta propaganda za kipuuzi?
Kama unapotosha waziwazi what if ukileta mada serious unataka wakuchukuliaje mzee mgaya? Acheni cheap politics.
Ongeza uwezo wako wa kupambanua mambo,CHADEMA inafanya Mikutano yao kwenye Viwanja vya shule za Msingi na idadi ya Watu ni ndogo kuliko wanaohudhuria Ndondo Cup au Kombe la Diwani.
Katikati ya Watu kiduchu wanamshambulia Shujaa Magufuli aliyeujaza Uwanja wa Kirumba, Samora, Majimajii, Amani, Mkwakwani, Jamhuri na hata ule wa Mkapa wakati anaapishwa na hata alipokuwa marehemu.
Siasa za Chadema ni za ajabu sana na wanaohudhuria Mikutano yao ni Watu wa ajabu ajabu pia.
CCM Umoja ni Nguvu!
miaka saba uwanja ulikuwa wenu peke yenu, wenzenu ndiyo wameruhusiwa, siku moja tu wamekusanyana tayari mmeanza kuwewesekaCHADEMA inafanya Mikutano yao kwenye Viwanja vya shule za Msingi na idadi ya Watu ni ndogo kuliko wanaohudhuria Ndondo Cup au Kombe la Diwani.
Katikati ya Watu kiduchu wanamshambulia Shujaa Magufuli aliyeujaza Uwanja wa Kirumba, Samora, Majimajii, Amani, Mkwakwani, Jamhuri na hata ule wa Mkapa wakati anaapishwa na hata alipokuwa marehemu.
Siasa za Chadema ni za ajabu sana na wanaohudhuria Mikutano yao ni Watu wa ajabu ajabu pia.
CCM Umoja ni Nguvu!
Chanzo cha matatizo hayo yote ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 na Uchaguzi Mkuu 2020 chini ya Dikteta Magufuri.Chadema is a failed political party.
Nadhani mojawapo ya makubaliano yao ya marudiano ni kuiacha serikali ya awamu ya 6 na kuishambulia serikali ya awamu ya 5.
Mbowe anatumia nguvu nyingi sana kutaka kutuaminisha kwamba hajalamba asali.
Leo mchele kilo ni 4,500, hii sio Magufuli kasababisha kua hivi, ni serikali ya awamu ya 6. Hawati kusema hayo ambayo yanawagusa wananchi wao ni kumponda Magufuli tu.
Miaka 2 ijayo itaisha wanaendelea kumpinda Magufuli huku hoja za msingi zinazogusa wananchi wakizipuuza kwa faida ya wanaccm halafu kwenye uchaguzi wakishikishwa ukuta waseme wameibiwa kura.
2025 ccm itawashikisha ukuta tena halafu walaumu tume.
Akili ndogo shida sana lini Chadema Wamewahi kufanyia Mikutano uwa ja wa Mkapa wakashindwa Kuujaza?Viwanja vya UMMA vyote ccm imeviteka na Wanaogopa kuiruhusu CHADEMA kufanyia Mikutano kwa HOFU ya WANANCHI KUFURIKACHADEMA inafanya Mikutano yao kwenye Viwanja vya shule za Msingi na idadi ya Watu ni ndogo kuliko wanaohudhuria Ndondo Cup au Kombe la Diwani.
Katikati ya Watu kiduchu wanamshambulia Shujaa Magufuli aliyeujaza Uwanja wa Kirumba, Samora, Majimajii, Amani, Mkwakwani, Jamhuri na hata ule wa Mkapa wakati anaapishwa na hata alipokuwa marehemu.
Siasa za Chadema ni za ajabu sana na wanaohudhuria Mikutano yao ni Watu wa ajabu ajabu pia.
CCM Umoja ni Nguvu!
Ni zaidi ya Chadema, ni zaidi ya CCM piaKwahiyo wasanii Wote ni Sawa na Chadema?
Naona Mwenyekiti kaamka na stori eti Magufuli hakuzuia mikutano Pekee yake ni Chama chake kwa ujumla. Sijui bando limekaga. Mwenyekiti Kuna Kitu hakipo sawaCHADEMA inafanya Mikutano yao kwenye Viwanja vya shule za Msingi na idadi ya Watu ni ndogo kuliko wanaohudhuria Ndondo Cup au Kombe la Diwani.
Katikati ya Watu kiduchu wanamshambulia Shujaa Magufuli aliyeujaza Uwanja wa Kirumba, Samora, Majimajii, Amani, Mkwakwani, Jamhuri na hata ule wa Mkapa wakati anaapishwa na hata alipokuwa marehemu.
Siasa za Chadema ni za ajabu sana na wanaohudhuria Mikutano yao ni Watu wa ajabu ajabu pia.
CCM Umoja ni Nguvu!
CHADEMA inafanya Mikutano yao kwenye Viwanja vya shule za Msingi na idadi ya Watu ni ndogo kuliko wanaohudhuria Ndondo Cup au Kombe la Diwani.
Katikati ya Watu kiduchu wanamshambulia Shujaa Magufuli aliyeujaza Uwanja wa Kirumba, Samora, Majimajii, Amani, Mkwakwani, Jamhuri na hata ule wa Mkapa wakati anaapishwa na hata alipokuwa marehemu.
Siasa za Chadema ni za ajabu sana na wanaohudhuria Mikutano yao ni Watu wa ajabu ajabu pia.
CCM Umoja ni Nguvu!
CCM ina kila kitu, ijengwe nini sasa?Wote ni wa ajabu hadi wewe unae fatilia mikutano ya CDM, maana usinge kuwa wa ajabu ungekuwa busy kujenga chama chako