johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
CHADEMA inafanya Mikutano yao kwenye Viwanja vya shule za Msingi na idadi ya Watu ni ndogo kuliko wanaohudhuria Ndondo Cup au Kombe la Diwani.
Katikati ya Watu kiduchu wanamshambulia Shujaa Magufuli aliyeujaza Uwanja wa Kirumba, Samora, Majimajii, Amani, Mkwakwani, Jamhuri na hata ule wa Mkapa wakati anaapishwa na hata alipokuwa marehemu.
Siasa za Chadema ni za ajabu sana na wanaohudhuria Mikutano yao ni Watu wa ajabu ajabu pia.
CCM Umoja ni Nguvu!
Katikati ya Watu kiduchu wanamshambulia Shujaa Magufuli aliyeujaza Uwanja wa Kirumba, Samora, Majimajii, Amani, Mkwakwani, Jamhuri na hata ule wa Mkapa wakati anaapishwa na hata alipokuwa marehemu.
Siasa za Chadema ni za ajabu sana na wanaohudhuria Mikutano yao ni Watu wa ajabu ajabu pia.
CCM Umoja ni Nguvu!