The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,675
- 2,807
Hoja ya kitoto sana!Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?
Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.
Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.