The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,675
- 2,807
Hoja ya kitoto sana!Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?
Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.
Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.
Angejiuliza:Kwani wale wanaowekewa sumu wafe na CCM wenzao huwa nao wana shida gani?Aelewe tu CCM ni wauaji ambao tabia ipo damuni kama wala nyama za watu.Hoja ya kitoto sana!
Nilivyosoma tuu CV ya yule bwana nikafikiria huenda kiapo kimekiukwa.Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?
Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.
Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.
Kwamba unatarajia polisi hawahawa wawe upande wa marehemu ambaye hawezi kuongea wala kujitetea na kuusema ukweli wenyewe na waache kutoa uongouongo kuficha nia ovu za wauaji ambao wanawajua kabisa?Hivi vichekesho huwa mnavitoa wapi?Nilivyosoma tuu CV ya yule bwana nikajua tayari kiapo kimekiukwa.
Watumishi wa Umma wanaapishwa kutotoa Siri za Nchi tena kwa kutumia sheria za usalama wa Taifa Kuna adhabu Kali ya kuanzia kifungo Cha miaka 20 jela au faini mil.50 au vyote kwa pamoja.
Adhabu zingine Kwa hao waliowahi kuwa watu wa usalama sijui zikojs upande huo but most likely Kuna kitu Jamaa alikuwa anajua au kavujisha.(Dhahania) ,Polisi watatoa majibu what happened baada ya Uchunguzi.
Ila wakijiunga ccm wanakuwa sio wanasiasa. Upumbavu mtupu.Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?
Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.
Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.
Nilivyosoma tuu CV ya yule bwana nikafikiria huenda kiapo kimekiukwa.
Watumishi wa Umma wanaapishwa kutotoa Siri za Nchi tena kwa kutumia sheria za usalama wa Taifa Kuna adhabu Kali ya kuanzia kifungo Cha miaka 20 jela au faini mil.50 au vyote kwa pamoja.
Adhabu zingine Kwa hao waliowahi kuwa watu wa usalama sijui zikojs upande huo but most likely Kuna kitu Jamaa alikuwa anajua au kavujisha.(Dhahania) ,Polisi watatoa majibu what happened baada ya Uchunguzi.
Ila wawe CCM tu?Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?
Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.
Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuhaCCM ni Chama tawala cha Muda mrefu , usalama kuwepo CCM siri nyigi zinahusu nchi na Wao
Wa Mungu au shetaniChadema ni mpango wa Mungu
Kuna majitu majinga dunia hii sanaNilivyosoma tuu CV ya yule bwana nikafikiria huenda kiapo kimekiukwa.
Watumishi wa Umma wanaapishwa kutotoa Siri za Nchi tena kwa kutumia sheria za usalama wa Taifa Kuna adhabu Kali ya kuanzia kifungo Cha miaka 20 jela au faini mil.50 au vyote kwa pamoja.
Adhabu zingine Kwa hao waliowahi kuwa watu wa usalama sijui zikojs upande huo but most likely Kuna kitu Jamaa alikuwa anajua au kavujisha.(Dhahania) ,Polisi watatoa majibu what happened baada ya Uchunguzi.
Hawatakiwi kwenye siasa au kwenda chama tofauti na ccm? Mbona huko ccm wapo wengi tu iweje ni tatizo kuwa chama Cha upinzani?Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?
Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.
Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.
chini umemailizia kwa pumbaMbona upinzani asilimia kubwa ni mfumo. Huyu alikua.JWTZ tu tena ngazi ya chini.ana siri gani kubwa za kutetemesha kuliko Sumaye,Lowasa,nk je vipi akina Soka wana nini? Wenye siri nyingi na za hatari ni mapadre wa katoliki. Hao ndiyo ma strategist wa Chadema
Nchi na CCMSiri za nani?? Za CCM??
Ningekuwa moderator jamaa wewe ningekulamba BANHivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?
Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.
Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.
Achaa elimu yako ya kukariri hapa, Jua halijawai chomoza mashariki wala mangaribi, Ni Dunia yako ndiyo inalizunguka Jua ikiwa ni moja wapo ya sayari zinazo zunguka jua!!Swali lako halina mantiki ujue. Yaani umeleta hoja kama kusema jua halitakiwi kuchomozea Mashariki.
Hao wastaafu wakiwa CHADEMA ni dhambi ,ila wakiwa CCM sio dhambi.Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?
Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.
Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.
Nilivyo muelewa mtoa mada ni kwamba kuna kitu hajataka kukisema directlychini umemailizia kwa pumba
Mipunguani mingi hii nchi, pumba kabisaHivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?
Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.
Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.