CHADEMA isijifiche katika uchaguzi wa Marekani, Lissu aeleza madhaifu yao

CHADEMA isijifiche katika uchaguzi wa Marekani, Lissu aeleza madhaifu yao

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
CHADEMA ISIJIFICHE KATIKA UCHAGUZI WA MAREKANI, LISSU AELEZA MADHAIFU YAO

Uchaguzi wa Marekani kwa sehemu kubwa unahusu maslahi ya Marekani. Wamarekani hawapigi kura kwa maslahi ya taifa au watu wa taifa jingine.

Kuna kamjadala kaovyo kidogo kututoa katika mstari wa kujadili mambo yetu! Trump kasema leo alipokuwa Florida kwamba, atashughulikia maslahi ya Wamarekani tu.

Achana na unafiki wa Wamarekani kujidai wanasimamia usawa wa kijinsia na jinsia na maendeleo (gender equality, gender and development) duniani wakati ni makaburu, tujadili yakwetu Tanzania.

Jambo kubwa kwa Watanzania ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jana Tundu Lissu kasema ukweli mchungu. Huu ndiyo mjadala unaopaswa kutikisa nchi. Yaani Chama Kikuu cha Upinzani kiko hoi!

1. Lissu kasema CHADEMA haina rasilimali watu wa kuwasimamisha katika nafasi zote za uchaguzi. Hii ni kauli nzito sana kwamba chama hakina watu wenye sifa.

2. CHADEMA haina pesa za kutosha kuendesha uchaguzi.

3. Lissu mwenyewe hajajiandikisha kwa sababu alikuwa Uingereza kufuatilia michingo yake ya pesa! Vibweka!

MASWALI
1. Ziko wapi pesa za ruzuku?

2. Ziko wapi fedha za Join the Chain?

3. Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, John Mnyika watawaeleza Watanzania CCM 'imeiba kura' ikishinda kwa kishindo kama Republican, Novemba 27?

4. Je, CHADEMA imekimbiwa na wasomi na kada ya kawaida hadi kukosa watu wa kugombea?


# CCM itashinda kwa kishindo, kwa sababu imejipanga. Tujadili bomu la Lissu tuachane na Marekani.
IMG-20241106-WA0436(1).jpg
 
Mwulize mwendazake mwasisi wa utekaji na mauaji.aliua demokrasia na yeye pia kafata.unafikiri chadema ingepata wapi pesa za ruzuku?ingepata rasimalg watu wapi km mnateka nakutia watu hofu?WEKA FAIR PLAY GRAUND KM CHADEMA HAIJASHNDA
 
CHADEMA ISIJIFICHE KATIKA UCHAGUZI WA MAREKANI, LISSU AELEZA MADHAIFU YAO

Uchaguzi wa Marekani kwa sehemu kubwa unahusu maslahi ya Marekani. Wamarekani hawapigi kura kwa maslahi ya taifa au watu wa taifa jingine.

Kuna kamjadala kaovyo kidogo kututoa katika mstari wa kujadili mambo yetu! Trump kasema leo alipokuwa Florida kwamba, atashughulikia maslahi ya Wamarekani tu.

Achana na unafiki wa Wamarekani kujidai wanasimamia usawa wa kijinsia na jinsia na maendeleo (gender equality, gender and development) duniani wakati ni makaburu, tujadili yakwetu Tanzania.

Jambo kubwa kwa Watanzania ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jana Tundu Lissu kasema ukweli mchungu. Huu ndiyo mjadala unaopaswa kutikisa nchi. Yaani Chama Kikuu cha Upinzani kiko hoi!

1. Lissu kasema CHADEMA haina rasilimali watu wa kuwasimamisha katika nafasi zote za uchaguzi. Hii ni kauli nzito sana kwamba chama hakina watu wenye sifa.

2. CHADEMA haina pesa za kutosha kuendesha uchaguzi.

3. Lissu mwenyewe hajajiandikisha kwa sababu alikuwa Uingereza kufuatilia michingo yake ya pesa! Vibweka!

MASWALI
1. Ziko wapi pesa za ruzuku?

2. Ziko wapi fedha za Join the Chain?

3. Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, John Mnyika watawaeleza Watanzania CCM 'imeiba kura' ikishinda kwa kishindo kama Republican, Novemba 27?

4. Je, CHADEMA imekimbiwa na wasomi na kada ya kawaida hadi kukosa watu wa kugombea?


# CCM itashinda kwa kishindo, kwa sababu imejipanga. Tujadili bomu la Lissu tuachane na Marekani.
Yale mafisadi papa yamezikomba kabla ya hazijawafikia.
 
Umeandika ujinga ambao hata mjinga hatoukubali.
 
CHADEMA ISIJIFICHE KATIKA UCHAGUZI WA MAREKANI, LISSU AELEZA MADHAIFU YAO

Uchaguzi wa Marekani kwa sehemu kubwa unahusu maslahi ya Marekani. Wamarekani hawapigi kura kwa maslahi ya taifa au watu wa taifa jingine.

Kuna kamjadala kaovyo kidogo kututoa katika mstari wa kujadili mambo yetu! Trump kasema leo alipokuwa Florida kwamba, atashughulikia maslahi ya Wamarekani tu.

Achana na unafiki wa Wamarekani kujidai wanasimamia usawa wa kijinsia na jinsia na maendeleo (gender equality, gender and development) duniani wakati ni makaburu, tujadili yakwetu Tanzania.

Jambo kubwa kwa Watanzania ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jana Tundu Lissu kasema ukweli mchungu. Huu ndiyo mjadala unaopaswa kutikisa nchi. Yaani Chama Kikuu cha Upinzani kiko hoi!

1. Lissu kasema CHADEMA haina rasilimali watu wa kuwasimamisha katika nafasi zote za uchaguzi. Hii ni kauli nzito sana kwamba chama hakina watu wenye sifa.

2. CHADEMA haina pesa za kutosha kuendesha uchaguzi.

3. Lissu mwenyewe hajajiandikisha kwa sababu alikuwa Uingereza kufuatilia michingo yake ya pesa! Vibweka!

MASWALI
1. Ziko wapi pesa za ruzuku?

2. Ziko wapi fedha za Join the Chain?

3. Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, John Mnyika watawaeleza Watanzania CCM 'imeiba kura' ikishinda kwa kishindo kama Republican, Novemba 27?

4. Je, CHADEMA imekimbiwa na wasomi na kada ya kawaida hadi kukosa watu wa kugombea?


# CCM itashinda kwa kishindo, kwa sababu imejipanga. Tujadili bomu la Lissu tuachane na Marekani.
wewe ni maiti bado kuoza na kunuka, huna tofuti na maiti
 
Mwulize mwendazake mwasisi wa utekaji na mauaji.aliua demokrasia na yeye pia kafata.unafikiri chadema ingepata wapi pesa za ruzuku?ingepata rasimalg watu wapi km mnateka nakutia watu hofu?WEKA FAIR PLAY GRAUND KM CHADEMA HAIJASHNDA
JPM amekufa ndio, vp demokrasia imerejea? Subira muone 2025 ndio itakuwa kubwa kuliko
 
CHADEMA ISIJIFICHE KATIKA UCHAGUZI WA MAREKANI, LISSU AELEZA MADHAIFU YAO

Uchaguzi wa Marekani kwa sehemu kubwa unahusu maslahi ya Marekani. Wamarekani hawapigi kura kwa maslahi ya taifa au watu wa taifa jingine.

Kuna kamjadala kaovyo kidogo kututoa katika mstari wa kujadili mambo yetu! Trump kasema leo alipokuwa Florida kwamba, atashughulikia maslahi ya Wamarekani tu.

Achana na unafiki wa Wamarekani kujidai wanasimamia usawa wa kijinsia na jinsia na maendeleo (gender equality, gender and development) duniani wakati ni makaburu, tujadili yakwetu Tanzania.

Jambo kubwa kwa Watanzania ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jana Tundu Lissu kasema ukweli mchungu. Huu ndiyo mjadala unaopaswa kutikisa nchi. Yaani Chama Kikuu cha Upinzani kiko hoi!

1. Lissu kasema CHADEMA haina rasilimali watu wa kuwasimamisha katika nafasi zote za uchaguzi. Hii ni kauli nzito sana kwamba chama hakina watu wenye sifa.

2. CHADEMA haina pesa za kutosha kuendesha uchaguzi.

3. Lissu mwenyewe hajajiandikisha kwa sababu alikuwa Uingereza kufuatilia michingo yake ya pesa! Vibweka!

MASWALI
1. Ziko wapi pesa za ruzuku?

2. Ziko wapi fedha za Join the Chain?

3. Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, John Mnyika watawaeleza Watanzania CCM 'imeiba kura' ikishinda kwa kishindo kama Republican, Novemba 27?

4. Je, CHADEMA imekimbiwa na wasomi na kada ya kawaida hadi kukosa watu wa kugombea?


# CCM itashinda kwa kishindo, kwa sababu imejipanga. Tujadili bomu la Lissu tuachane na Marekani.
wewe ni msomi au mtu wa kawaida?
ulisoma mpaka darasa au level gani?
chuo gani ?
unapata wapi muda wa kuandika ujinga kila kukicha? kwa faida ya nani?
pesa za join the chain ambazo wewe hujachanga zinakuhusu nini? ulishawahi kuwasikia chadema wenyewe wakilalamika juu ya hilo?
pesa za ruzuku wewe zinakuhusu nn mdau? mbona husemi matumizi ya pesa za ruzuku za ccm?
JE UNAJUA KWAMBA DAR ES SALAAM MAJI HAYATOKI NA YAKITOKA NI YA MGAO? UNAJUA KWAMBA KUNA WIZARA YA MAJI?
Tuache yjuha tuhoji mambo ya msingi kama ukosefu wa maji, umeme, barabara mbovu na miundombinu mingine, kutekwa kwa watu nk
 
CHADEMA ISIJIFICHE KATIKA UCHAGUZI WA MAREKANI, LISSU AELEZA MADHAIFU YAO

Uchaguzi wa Marekani kwa sehemu kubwa unahusu maslahi ya Marekani. Wamarekani hawapigi kura kwa maslahi ya taifa au watu wa taifa jingine.

Kuna kamjadala kaovyo kidogo kututoa katika mstari wa kujadili mambo yetu! Trump kasema leo alipokuwa Florida kwamba, atashughulikia maslahi ya Wamarekani tu.

Achana na unafiki wa Wamarekani kujidai wanasimamia usawa wa kijinsia na jinsia na maendeleo (gender equality, gender and development) duniani wakati ni makaburu, tujadili yakwetu Tanzania.

Jambo kubwa kwa Watanzania ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jana Tundu Lissu kasema ukweli mchungu. Huu ndiyo mjadala unaopaswa kutikisa nchi. Yaani Chama Kikuu cha Upinzani kiko hoi!

1. Lissu kasema CHADEMA haina rasilimali watu wa kuwasimamisha katika nafasi zote za uchaguzi. Hii ni kauli nzito sana kwamba chama hakina watu wenye sifa.

2. CHADEMA haina pesa za kutosha kuendesha uchaguzi.

3. Lissu mwenyewe hajajiandikisha kwa sababu alikuwa Uingereza kufuatilia michingo yake ya pesa! Vibweka!

MASWALI
1. Ziko wapi pesa za ruzuku?

2. Ziko wapi fedha za Join the Chain?

3. Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, John Mnyika watawaeleza Watanzania CCM 'imeiba kura' ikishinda kwa kishindo kama Republican, Novemba 27?

4. Je, CHADEMA imekimbiwa na wasomi na kada ya kawaida hadi kukosa watu wa kugombea?


# CCM itashinda kwa kishindo, kwa sababu imejipanga. Tujadili bomu la Lissu tuachane na Marekani.

..CCM inapokea ruzuku BILLIONI 3.2 kila mwezi toka kwa Msajili wa vyama.

..vyama vya upinzani hakuna hata kimoja kinachopokea zaidi ya milioni 3 kila mwezi.
 
chadema wajiangalie sana chaguzi hii ni kama wamepoteza fahamu
 
Wameshajifia muda sana...Mnachokiona sasa familia imezinduka msibani
 
CHADEMA ISIJIFICHE KATIKA UCHAGUZI WA MAREKANI, LISSU AELEZA MADHAIFU YAO

Uchaguzi wa Marekani kwa sehemu kubwa unahusu maslahi ya Marekani. Wamarekani hawapigi kura kwa maslahi ya taifa au watu wa taifa jingine.

Kuna kamjadala kaovyo kidogo kututoa katika mstari wa kujadili mambo yetu! Trump kasema leo alipokuwa Florida kwamba, atashughulikia maslahi ya Wamarekani tu.

Achana na unafiki wa Wamarekani kujidai wanasimamia usawa wa kijinsia na jinsia na maendeleo (gender equality, gender and development) duniani wakati ni makaburu, tujadili yakwetu Tanzania.

Jambo kubwa kwa Watanzania ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jana Tundu Lissu kasema ukweli mchungu. Huu ndiyo mjadala unaopaswa kutikisa nchi. Yaani Chama Kikuu cha Upinzani kiko hoi!

1. Lissu kasema CHADEMA haina rasilimali watu wa kuwasimamisha katika nafasi zote za uchaguzi. Hii ni kauli nzito sana kwamba chama hakina watu wenye sifa.

2. CHADEMA haina pesa za kutosha kuendesha uchaguzi.

3. Lissu mwenyewe hajajiandikisha kwa sababu alikuwa Uingereza kufuatilia michingo yake ya pesa! Vibweka!

MASWALI
1. Ziko wapi pesa za ruzuku?

2. Ziko wapi fedha za Join the Chain?

3. Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, John Mnyika watawaeleza Watanzania CCM 'imeiba kura' ikishinda kwa kishindo kama Republican, Novemba 27?

4. Je, CHADEMA imekimbiwa na wasomi na kada ya kawaida hadi kukosa watu wa kugombea?


# CCM itashinda kwa kishindo, kwa sababu imejipanga. Tujadili bomu la Lissu tuachane na Marekani.
Hi spana lazima nyumbu wakimbie
 
JPM amekufa ndio, vp demokrasia imerejea? Subira muone 2025 ndio itakuwa kubwa kuliko
Bado sana kwa upinzani kushika nchi, hawana nia ya dhati kuleta changes kwa Taifa, wapo kwa matumbo yao. Tunaweza chukua chadema kama mfano, je hakuna mbadala wa Freeman..? Vip wakipewa nchi wataweza kupokezana kijiti kama ilivyo kwa ccm..?
 
CHADEMA ISIJIFICHE KATIKA UCHAGUZI WA MAREKANI, LISSU AELEZA MADHAIFU YAO

Uchaguzi wa Marekani kwa sehemu kubwa unahusu maslahi ya Marekani. Wamarekani hawapigi kura kwa maslahi ya taifa au watu wa taifa jingine.

Kuna kamjadala kaovyo kidogo kututoa katika mstari wa kujadili mambo yetu! Trump kasema leo alipokuwa Florida kwamba, atashughulikia maslahi ya Wamarekani tu.

Achana na unafiki wa Wamarekani kujidai wanasimamia usawa wa kijinsia na jinsia na maendeleo (gender equality, gender and development) duniani wakati ni makaburu, tujadili yakwetu Tanzania.

Jambo kubwa kwa Watanzania ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jana Tundu Lissu kasema ukweli mchungu. Huu ndiyo mjadala unaopaswa kutikisa nchi. Yaani Chama Kikuu cha Upinzani kiko hoi!

1. Lissu kasema CHADEMA haina rasilimali watu wa kuwasimamisha katika nafasi zote za uchaguzi. Hii ni kauli nzito sana kwamba chama hakina watu wenye sifa.

2. CHADEMA haina pesa za kutosha kuendesha uchaguzi.

3. Lissu mwenyewe hajajiandikisha kwa sababu alikuwa Uingereza kufuatilia michingo yake ya pesa! Vibweka!

MASWALI
1. Ziko wapi pesa za ruzuku?

2. Ziko wapi fedha za Join the Chain?

3. Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, John Mnyika watawaeleza Watanzania CCM 'imeiba kura' ikishinda kwa kishindo kama Republican, Novemba 27?

4. Je, CHADEMA imekimbiwa na wasomi na kada ya kawaida hadi kukosa watu wa kugombea?


# CCM itashinda kwa kishindo, kwa sababu imejipanga. Tujadili bomu la Lissu tuachane na Marekani.
Tunajua mmejipanga kuiba kura!
 
CHADEMA ISIJIFICHE KATIKA UCHAGUZI WA MAREKANI, LISSU AELEZA MADHAIFU YAO

Uchaguzi wa Marekani kwa sehemu kubwa unahusu maslahi ya Marekani. Wamarekani hawapigi kura kwa maslahi ya taifa au watu wa taifa jingine.

Kuna kamjadala kaovyo kidogo kututoa katika mstari wa kujadili mambo yetu! Trump kasema leo alipokuwa Florida kwamba, atashughulikia maslahi ya Wamarekani tu.

Achana na unafiki wa Wamarekani kujidai wanasimamia usawa wa kijinsia na jinsia na maendeleo (gender equality, gender and development) duniani wakati ni makaburu, tujadili yakwetu Tanzania.

Jambo kubwa kwa Watanzania ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Jana Tundu Lissu kasema ukweli mchungu. Huu ndiyo mjadala unaopaswa kutikisa nchi. Yaani Chama Kikuu cha Upinzani kiko hoi!

1. Lissu kasema CHADEMA haina rasilimali watu wa kuwasimamisha katika nafasi zote za uchaguzi. Hii ni kauli nzito sana kwamba chama hakina watu wenye sifa.

2. CHADEMA haina pesa za kutosha kuendesha uchaguzi.

3. Lissu mwenyewe hajajiandikisha kwa sababu alikuwa Uingereza kufuatilia michingo yake ya pesa! Vibweka!

MASWALI
1. Ziko wapi pesa za ruzuku?

2. Ziko wapi fedha za Join the Chain?

3. Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, John Mnyika watawaeleza Watanzania CCM 'imeiba kura' ikishinda kwa kishindo kama Republican, Novemba 27?

4. Je, CHADEMA imekimbiwa na wasomi na kada ya kawaida hadi kukosa watu wa kugombea?


# CCM itashinda kwa kishindo, kwa sababu imejipanga. Tujadili bomu la Lissu tuachane na Marekani.
Napenda mijadala ya hoja kama hizi. Mahojiano ya Lissu yamefungua milango kujua hali ya upinzani ulivyo nchini. Baba wa Taifa alitaka upinzani wa kuichallenge CCM lakini kwa kauli hizi za Lissu kweli narejea pia kauli ya mwasisi huyo, "Upinzani wakweli utatoka ndani ya CCM".

Tunaopenda mijadala ya hoja tunaumia CHADEMA imekufa. Hoja siyo kuforce nature kuonyesha CHADEMA iko hai bali tukubali imekufa kama alivyokiri Lissu ndipo tujadili mwelekeo mpya wa upinzani.. Tujadili hoja ya mleta hoja tusitukane🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom