CHADEMA isijifiche katika uchaguzi wa Marekani, Lissu aeleza madhaifu yao

Unajaribu kujiuliza uchaguzi wa Marekani utawasaidiaje Chadema hapa Tanzania unashindwa kuelewa πŸ˜†πŸ˜†

Kama mlikuwa mnasema Samia anaenda USA kuomba basi saizi kaingia Trump,USA hatuendi na kichapo Watapata na Beberu hana Cha kuwasaidia maana nimeona huko Wana mtag yule Jamaa wa Arusha kwamba pompeo amerudi πŸ€£πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…