Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
Wewe ni Nani?Tumesikia maelekezo ya viongozi wa Chadema kwamba tarehe 24/1/2024 wataitisha maandamano nchi nzima kupinga muswada ya sheria ya uchaguzi na mwendo wa demokrasia nchini Kwa ujumla wake.
Nashauri Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan na CCM kwamba huku ni kukitikisa dola na kuijaribu Serikali. Ulegevu katika hili utakuwa ni udhaifu mkubwa na hatari mbele ya macho ya sayari yetu. Mbowe na genge lake wadhibitiwe kijeshi maana anawauza wennzie . Yeye keshalamba asali anataka akombe tena kijiko? Shubaaamit.
Mmoja katika vyombo vya U nna Usalama.Wewe ni Nani?
Tumesikia maelekezo ya viongozi wa Chadema kwamba tarehe 24/1/2024 wataitisha maandamano nchi nzima kupinga muswada ya sheria ya uchaguzi na mwendo wa demokrasia nchini Kwa ujumla wake.
Nashauri Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan na CCM kwamba huku ni kukitikisa dola na kuijaribu Serikali. Ulegevu katika hili utakuwa ni udhaifu mkubwa na hatari mbele ya macho ya sayari yetu. Mbowe na genge lake wadhibitiwe kijeshi maana anawauza wennzie . Yeye keshalamba asali anataka akombe tena kijiko? Shubaaamit.
Tumesikia maelekezo ya viongozi wa Chadema kwamba tarehe 24/1/2024 wataitisha maandamano nchi nzima kupinga muswada ya sheria ya uchaguzi na mwendo wa demokrasia nchini Kwa ujumla wake.
Hao wapingaji wote ni wanufaika wa mifumo iliyopo !Hivi watuwengine mtafunguka macho lini kwenye usingizi wa ujinga?
Inasikitisha maana Chadema wanapigania katiba mpya sio ya kunufaisha Chadema pekee bali Tanzania nzima! Mnataka nchi iendelee kutawaliwa na kijikundi na Watanzania wengine kama wewe tubaki kuwa wapambe na wengine masikini. Ubinafsi wewe utaisha lini? Ni lini hasa tunataka kuumaliza umasikini wetu. Na kama sio sheria mbaya na katiba mbaya wewe unafikiri ni kwanini nchi yetu ni masikini?
Nchi yetu inakuwa maaikini kwasababu ya kuwa na watu kama wewe ambao hawajiamini na wanafikiri wameletwa Duniani kuwa machawa badala ya kufikiria kwamba kila Mtanzania awe na haki sawa ya kugombea na kuchaguliwa kidemokrasia. Yaani kama sio mjinga nani ambaye hajui uchaguzi uliopita ulikuwa wa wizi? Kwa sababu ya sheria mbaya!
Vyombo vya nini??Mmoja katika vyombo vya U nna Usalama.
Maandano ni kutikisa dola au kupaza sauti ili zisikike? Tuna kizazi cha ovyo kisichojitambua!!Tumesikia maelekezo ya viongozi wa Chadema kwamba tarehe 24/1/2024 wataitisha maandamano nchi nzima kupinga muswada ya sheria ya uchaguzi na mwendo wa demokrasia nchini Kwa ujumla wake.
Nashauri Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan na CCM kwamba huku ni kukitikisa dola na kuijaribu Serikali. Ulegevu katika hili utakuwa ni udhaifu mkubwa na hatari mbele ya macho ya sayari yetu.
Mbowe na genge lake wadhibitiwe kijeshi maana anawauza wennzie. Yeye keshalamba asali anataka akombe tena kijiko? Shubaaamit.
Ishie kule huna mpango! Katiba mbovu inasemaje!Tumesikia maelekezo ya viongozi wa Chadema kwamba tarehe 24/1/2024 wataitisha maandamano nchi nzima kupinga muswada ya sheria ya uchaguzi na mwendo wa demokrasia nchini Kwa ujumla wake.
Nashauri Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan na CCM kwamba huku ni kukitikisa dola na kuijaribu Serikali. Ulegevu katika hili utakuwa ni udhaifu mkubwa na hatari mbele ya macho ya sayari yetu.
Mbowe na genge lake wadhibitiwe kijeshi maana anawauza wennzie. Yeye keshalamba asali anataka akombe tena kijiko? Shubaaamit.
Wanaimagine ni jinsi gani Mwabukusi alivyowatoa jambjamba ...... sasa hapa hawawezi kutumia strategies zile zile. Wamwambie Chalamila aamlishe Jeshi lifanye usafi mwaka mzima ...... Yaani huyu kijana kalidharu jeshi letu kabisa!!Mbona mmeanza kuweweseka mapema sana!
Nchi itikiswe Mara ngapi bro? Wizi, ufisadi, ujinga na uozo, wa, huu uta wala wa, CCM, umeitingisha nchi kila Kona,Tumesikia maelekezo ya viongozi wa Chadema kwamba tarehe 24/1/2024 wataitisha maandamano nchi nzima kupinga muswada ya sheria ya uchaguzi na mwendo wa demokrasia nchini Kwa ujumla wake.
Nashauri Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan na CCM kwamba huku ni kukitikisa dola na kuijaribu Serikali. Ulegevu katika hili utakuwa ni udhaifu mkubwa na hatari mbele ya macho ya sayari yetu.
Mbowe na genge lake wadhibitiwe kijeshi maana anawauza wennzie. Yeye keshalamba asali anataka akombe tena kijiko? Shubaaamit.
Kadeki barabara huko na kuzoa takatakaMmoja katika vyombo vya U nna Usalama.
Wakatikise ngumi zao na viberiti wanavyovutia misokotoTumesikia maelekezo ya viongozi wa Chadema kwamba tarehe 24/1/2024 wataitisha maandamano nchi nzima kupinga muswada ya sheria ya uchaguzi na mwendo wa demokrasia nchini Kwa ujumla wake.
Nashauri Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan na CCM kwamba huku ni kukitikisa dola na kuijaribu Serikali. Ulegevu katika hili utakuwa ni udhaifu mkubwa na hatari mbele ya macho ya sayari yetu.
Mbowe na genge lake wadhibitiwe kijeshi maana anawauza wennzie. Yeye keshalamba asali anataka akombe tena kijiko? Shubaaamit.