Uchaguzi 2020 CHADEMA isishiriki Uchaguzi mkuu Oktoba 2020 sababu ya Corona

Uchaguzi 2020 CHADEMA isishiriki Uchaguzi mkuu Oktoba 2020 sababu ya Corona

Wewe unadai wenzio wana matusi wakati wewe kila unachoandika umejaza matusi ?! Mbona wewe ndiyo huna lugha ya kistaarabu !!. Nyani haoni la kwake

Odhis *
Nyie mentor wenu si Lema!! Mbunge asiyejua majukumu yake anajidai prophet kutabiri shida na kueneza taharuki za kijinga
 
Ndugu zangu,

Zilezile busara za Mbowe kukaa karantini sasa zitumike ili Chadema isishiriki uchaguzi mkuu mwaka 2020.

Hii itaifanya Chadema kukubalika na WHO, US na EU kama "wapambanaji" dhidi ya Corona.

Itakuwa sio vema kabisa Chadema kushiriki kampeni za uchaguzi wakati wana ushahidi kuwa "watu wanakufa na kuzikwa usiku"

Itapendeza wakitumia kipindi cha kampeni kuhamasisha wananchi kupitia mitandao ya kijamii wakae ndani hadi pale WHO watakaposema dunia haina Corona.

Wakati wa Chadema kuishi yale wanayoyaamini ni sasa si kesho.

Nawasilisha
Acha mbwembwe, Tume Huru ya Uchaguzi si hisani tena Bali ni LAZIMA utake usitake!!
 
Hautaki maendeleo ya taifa la Tanzania

Tengenisha maendeleo ya taifa na kumsujudia kiongozi. Inaonekana unapata tabu kutenganisha haya mambo mawili, ndio maana umegeuka kuwa bendera fuata upepo.
 
Kamanda nini maoni yako?Chadema washiriki uchaguzi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Cdm kama chama ni juu yao kushiriki au kuacha, ila sisi wapiga kura tunaojitambua hatuko tayari kupoteza muda wetu kushiriki uchaguzi wa kihuni. Bila tume huru ya uchaguzi, sisi tunaojitambua na kwa kutumia ushawishi wetu tutahakikisha watu hawashiriki huo uhuni uitwao uchaguzi. Sio lazima kiongozi kupatikana kwa njia ya kura, iwapo njia hiyo haiheshimiwi ni vyema kutafuta viongozi kwa njia nyingine. Ifahamike hata ccm wengi wao hawako kwenye nafasi zao kutokana na njia ya kura halali, wingi wa kura/viti vya ccm ni nje ya ushindani halali.
 
Chadema sanyingine wanamaamuzi ya kijinga... Waligomea serikali za mitaa kijinga na uchaguzi huu bila tume huru hali itakuwa mbaya. Inafaa wajifunze siasa za demokrasia ya kistaarabu na kimaendeleo.
-Kilakitu wanapinga na elimu zao ndooogo kabisa.
- hawafanyi cha maana (hata mafuriko majimboni mwao hawaendi kusaidia) kisa eti hawakusanyi kodi wao nikula na familia zao.
- wanahitajika lkn hawajielewi,hawajengi maelewano na maridhiano no mipasuko na madharau.
- wanachafua/kutusi watu bila ushahidi kisa wapande kisiasa,walimfanyia hivyo lowassa badae wakala matapishi na hata kinana mpaka kumwomba radhi sasa sijui wanamtaka chamani.
- hawasimamii jambo wakafanikisha mf. katiba,tume ya uchaguzi nk.
Chama kitaanguka vibaya hiki inabidi kijivue gamba kibadilike lasivyo kitapotea kama CUF!!
Comrade niunge mkono kuwasaka wale wote walioshiriki kumlisha sumu JPM wakati akiwa waziri,waliomlisha mzee Mangula sumu,walioshiriki mauaji ya kibiti,walio mpiga risasi Mh.Lissu.
 
Ndugu zangu,

Zilezile busara za Mbowe kukaa karantini sasa zitumike ili Chadema isishiriki uchaguzi mkuu mwaka 2020.

Hii itaifanya Chadema kukubalika na WHO, US na EU kama "wapambanaji" dhidi ya Corona.

Itakuwa sio vema kabisa Chadema kushiriki kampeni za uchaguzi wakati wana ushahidi kuwa "watu wanakufa na kuzikwa usiku"

Itapendeza wakitumia kipindi cha kampeni kuhamasisha wananchi kupitia mitandao ya kijamii wakae ndani hadi pale WHO watakaposema dunia haina Corona.

Wakati wa Chadema kuishi yale wanayoyaamini ni sasa si kesho.

Nawasilisha
Naunga mkonyo, mkono hoja!
 
Cdm kama chama ni juu yao kushiriki au kuacha, ila sisi wapiga kura tunaojitambua hatuko tayari kupoteza muda wetu kushiriki uchaguzi wa kihuni. Bila tume huru ya uchaguzi, sisi tunaojitambua na kwa kutumia ushawishi wetu tutahakikisha watu hawashiriki huo uhuni uitwao uchaguzi. Sio lazima kiongozi kupatikana kwa njia ya kura, iwapo njia hiyo haiheshimiwi ni vyema kutafuta viongozi kwa njia nyingine. Ifahamike hata ccm wengi wao hawako kwenye nafasi zao kutokana na njia ya kura halali, wingi wa kura/viti vya ccm ni nje ya ushindani halali.
Uzuri wa uchaguzi hata wakipiga kura watu ishirini, huo ni uchaguzi na viongozi watakaopita watakuongoza tu.
 
Uzuri wa uchaguzi hata wakipiga kura watu ishirini, huo ni uchaguzi na viongozi watakaopita watakuongoza tu.

Hata wanaoingia madarakani kwa kupindua nchi huongoza kama lengo ni kuongoza tu. Tunachoangalia ni kutawala kwa ridhaa ya wengi. Ukijikuta unachaguliwa na watu wachache ujue huna ridhaa ya umma, bali unatumia njia zisizo halali kukaa madarakani. Kwa taarifa yako, hata ukibaka unaweza kumtia mtu mimba na mtoto atazaliwa, je mbinu hiyo ni sahihi?
 
Hata wanaoingia madarakani kwa kupindua nchi huongoza kama lengo ni kuongoza tu. Tunachoangalia ni kutawala kwa ridhaa ya wengi. Ukijikuta unachaguliwa na watu wachache ujue huna ridhaa ya umma, bali unatumia njia zisizo halali kukaa madarakani. Kwa taarifa yako, hata ukibaka unaweza kumtia mtu mimba na mtoto atazaliwa, je mbinu hiyo ni sahihi?
Achana na mambo ya kupindua. Hayo yalienda na akina Mobutu. Uchaguzi ni uchaguzi tu. Wewe ukisusia shauri yako. Wenyeviti wa mitaa mlisusia, hawapo wanachapa kazi? Na huu susiaeni muone. Wengine watahombea. Kura zitapigwa na serikali itaapishwa na itachapa kazi. Nanhi mtabaki mtandaoni mnaloloma!
 
Ndugu zangu,

Zilezile busara za Mbowe kukaa karantini sasa zitumike ili Chadema isishiriki uchaguzi mkuu mwaka 2020.

Hii itaifanya Chadema kukubalika na WHO, US na EU kama "wapambanaji" dhidi ya Corona.

Itakuwa sio vema kabisa Chadema kushiriki kampeni za uchaguzi wakati wana ushahidi kuwa "watu wanakufa na kuzikwa usiku"

Itapendeza wakitumia kipindi cha kampeni kuhamasisha wananchi kupitia mitandao ya kijamii wakae ndani hadi pale WHO watakaposema dunia haina Corona.

Wakati wa Chadema kuishi yale wanayoyaamini ni sasa si kesho.

Nawasilisha
Kwa wasiojua siasa huamini chama husika ni viongozi! Wanaojua siasa huamini chama ni wafuasi.
 
Back
Top Bottom