Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kwa watu wanaoujua mchezo wa chase huu mchezo uchezwa na watu wenye akili tu.
CHADEMA isikubali kufungwa chase na watu wenye akili ndogo kama hawa, iko hivi; umma wa Tanzania tuna maswali lukuki kwa jeshi lililofeli la Polisi na tunataka majibu ya kueleweka akiwemo huyo muuaji wao killing machine.
Sasa bad timing CHADEMA ikiingia kwenye mtego wa Polisi kututoa kwenye reli ili tujadili maandamano hakika mtatukosea sana Watanzania.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Ni heri hata Dr. Nchimbi ameongea diplomatic language sometimes ni mtu unaweza kukubaliana naye kuliko mtego ambao wameutega Polisi kwa CHADEMA ni kutuondoa kwenye mstari.
CHADEMA kwepeni huu mtego wa kiboya kutoka kwa watu waoga na wasio na weledi wowote.
CHADEMA isikubali kufungwa chase na watu wenye akili ndogo kama hawa, iko hivi; umma wa Tanzania tuna maswali lukuki kwa jeshi lililofeli la Polisi na tunataka majibu ya kueleweka akiwemo huyo muuaji wao killing machine.
Sasa bad timing CHADEMA ikiingia kwenye mtego wa Polisi kututoa kwenye reli ili tujadili maandamano hakika mtatukosea sana Watanzania.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Ni heri hata Dr. Nchimbi ameongea diplomatic language sometimes ni mtu unaweza kukubaliana naye kuliko mtego ambao wameutega Polisi kwa CHADEMA ni kutuondoa kwenye mstari.
CHADEMA kwepeni huu mtego wa kiboya kutoka kwa watu waoga na wasio na weledi wowote.