Kusoma jambo na kuelewa ni uwezo pia, ambao siyo kila mtu huwa nao. So, nipokee tu kwa namna hiyo hiyo ulivyoelewa, kisha nikuache. Ikiwa utapata wa kukuelewesha ni heri.
Labda hukumbuki kisa cha mama kuwahi kukamatwa na polisi kwa sababu ya gari lake kuwa likiwaka taa moja wakati akitoka harusini.
Hizi ndizo baadhi ya kauli zake kwa Jeshi la Polisi:
"Inawezekana kesi haziji vituoni kwa sababu watu wamekata tamaa, kwa kuwa wakija hawapati haki zao."
Agosti 25, 2021
"Haiwezekani polisi wafanye mauaji, halafu wajichunguze wenyewe."
Februri 04, 2022
"Kwa muda mrefu, Jeshi la Polisi linasifika vibaya, ilikuwa muhimu kuanza kuliangalia, ili watu walitazame vizuri, jeshi linapaswa kuwa kimbilio na sio kilio cha watu."
"Vitendo vinavyofanywa na askari polisi barabarani, huwezi kudhani kwamba wamehitimu mafunzo."
Julai 21, 2022
"Kutokana na kukithiri kwa rushwa ndani ya jeshi la polisi, tutalazimika kutumia kamera."
Septemba 4,2023
Ova
View attachment 3095320