CHADEMA isitishe maandamano, isiingie kwenye mtego wa Polisi. Umma una maswali mengi kwa Polisi tunataka majibu

CHADEMA isitishe maandamano, isiingie kwenye mtego wa Polisi. Umma una maswali mengi kwa Polisi tunataka majibu

Kama unaona ile post ilikuwa sawa, basi naomba unisamehe. Endelea tu huo mtindo wako wa kupost.

Ova
Mimi nimesema ni 'format' tu; lakini content haina tatizo lolote; sasa sioni hapo kuna jambo gani kubwa sana la kuendela kung'ang'ania na kuhitaji nifundishwe kama ulivyo lilia wewe!

Kwanza ni kitu gani cha kufundishwa hapo?

Sasa kabla ya kuendelea kulia lia hapa, hebu tazama ulicho andika hapo ulikiweka ukikusudia kitu gani hasa!
 
Mimi nimesema ni 'format' tu; lakini content haina tatizo lolote; sasa sioni hapo kuna jambo gani kubwa sana la kuendela kung'ang'ania na kuhitaji nifundishwe kama ulivyo lilia wewe!

Kwanza ni kitu gani cha kufundishwa hapo?

Sasa kabla ya kuendelea kulia lia hapa, hebu tazama ulicho andika hapo ulikiweka ukikusudia kitu gani hasa!
Si umegoma kuitiwa watu wa kukufundisha mkuu? Hakuna shida, acha tuendelee kusumbuka kukuelewa kwenye baadhi ya post zako.

Ova
 
Maandamano hayana athari zozote kwa wasiojulikana.

QURUJUAN inaogopwa Zaidi ya maandamano.
Nashauri ifanyike dua ya pamoja kitaifa kumshitakia MUNGU.
Kama kwl Watanzania tumedhamiria kukomesha hili janga..
Kwann watu wa imani mbali wanajitokeza kuomba mvua lakini sio kuomba kukomesha hili janga?

Kuna nn nyuma ya pazia?
 
Naunga Mkono kuandamana.Agenda ndiyo kidogo ingekuwa Pana:Yanahitajika mageuzi ya Jinsi Jeshi la Polisi linavyooperate.Wawe na Camera ili kutrack Matendo Yao.Wafanye Kazi Kwa kuzingatia Sheria na Kanuni za Utumishi.Pia Ile Sheria iliyowapa Mamlaka ya kutowajibika maofisa wa TISS iangaliwe upya:inaweza Kutumika vibaya kama ilivyotumika Argentina.Mwisho haya ni Maoni binafsi: Recruitment ya Maofisa wa TISS iwe transparent,na kuwe na mpaka baina ya TISS na Chama tawala.Hii ikiachwa hata kikija Chama kingine Vilio vitaendelea.Yaani huwezi kuwa na Nchi ambayo watu wanakamatwa na haijulikani mashtaka Yao,haijulikani wapo wapi,na hata watu wakiuliwa huwezi kuhoji popote.Yaani Usalama wa mwananchi upo mashakani.Kama ukiandamana utauawa,na ukikaa ndani utauawa,Nenda kuandamana.
 
Maandamano ni haki ya kikatiba lakini inaeleweka wazi maandamano yana nguvu ya kuangusha serikali yoyote.

Kukishakuwa na tention kama hii serikali haiwezi kukubali maandamano lazima watumie mdomo wa Polisi.

Sasa hapa ndipo mnamuonaga Mbowe hafai kwa sababu ni lazima apime damage itakayotokea.

Chadema iking'ang'ania kuandamana wao ndio watakuwa loser, kwanza hawatopsts support ya umma, watakwenda wanachadema tupu kupigwa virungu na kupata ulemavu tu.

Mimi siamini katika ukondoo, lakini ni wrong timing kwa Chadema kuandamana sasa wao ndio watakaopoteza na maswali yote tunayosubiri majibu ndio itakuwa imetoka hiyo.

Watanzania tuwe na subira freedom is coming.
Waache wafanye wanayo taka. Wana haki na uma utawasapoti tu mawazo yako ni ovyo sana
 
Kwa watu wanaoujua mchezo wa chase huu mchezo uchezwa na watu wenye akili tu.

CHADEMA isikubali kufungwa chase na watu wenye akili ndogo kama hawa, iko hivi; umma wa Tanzania tuna maswali lukuki kwa jeshi lililofeli la Polisi na tunataka majibu ya kueleweka akiwemo huyo muuaji wao killing machine.

Sasa bad timing CHADEMA ikiingia kwenye mtego wa Polisi kututoa kwenye reli ili tujadili maandamano hakika mtatukosea sana Watanzania.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu

Ni heri hata Dr. Nchimbi ameongea diplomatic language sometimes ni mtu unaweza kukubaliana naye kuliko mtego ambao wameutega Polisi kwa CHADEMA ni kutuondoa kwenye mstari.

CHADEMA kwepeni huu mtego wa kiboya kutoka kwa watu waoga na wasio na weledi wowote.

Hii sio chase watu wamepotea na kufa wewe unaongelea chase🤦🏾‍♂️
 
Si umegoma kuitiwa watu wa kukufundisha mkuu? Hakuna shida, acha tuendelee kusumbuka kukuelewa kwenye baadhi ya post zako.

Ova
Kumbe una matatizo ya kuelewa?
Sasa hao ulio waita watakusaidia vipi katika hilo?

Mimi nilidhani tatizo unalo lalamikia ni la" kiufundi" wa kutumia nyenzo, kumbe sivyo?
 
Kwa watu wanaoujua mchezo wa chase huu mchezo uchezwa na watu wenye akili tu.

CHADEMA isikubali kufungwa chase na watu wenye akili ndogo kama hawa, iko hivi; umma wa Tanzania tuna maswali lukuki kwa jeshi lililofeli la Polisi na tunataka majibu ya kueleweka akiwemo huyo muuaji wao killing machine.

Sasa bad timing CHADEMA ikiingia kwenye mtego wa Polisi kututoa kwenye reli ili tujadili maandamano hakika mtatukosea sana Watanzania.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu

Ni heri hata Dr. Nchimbi ameongea diplomatic language sometimes ni mtu unaweza kukubaliana naye kuliko mtego ambao wameutega Polisi kwa CHADEMA ni kutuondoa kwenye mstari.

CHADEMA kwepeni huu mtego wa kiboya kutoka kwa watu waoga na wasio na weledi wowote.
Mkuu
Bora uchill tu.

Ungeshiriki kukemea ukenge huu wa utekaji na mauaji ya raia labda ungekuwa mtu wa maana.

Lakini kupitia maandamano haya tumegundua tunaishi humu na mtandao wa watu hatari sana
 
Ni kweli kabisa kuandamana ni haki na jeshi la Polisi lina haki kuyazuia kwasababu za kiusalama, kuandamana maandamano yaliyo zuiwa ni kushiriki maandamano haramu.
P
Polisi wana wajibu wa kuyalinda maandamano na kuzuia hivyo viashiria vya uvunjifu wa amani (kama vipo).
 
Polisi wana wajibu wa kuyalinda maandamano na kuzuia hivyo viashiria vya uvunjifu wa amani (kama vipo).
Kwa vile kwa hapa Tanzania polisi ndio mamlaka halali ya usalama wa raia na mali zake, wakipata taarifa zozote za kiinteligensia za uwezekano wa uvunjifu wa amani, wana wajibu wa kuyazuia kwasababu za kiusalama.
Tuendelee kuwasisitiza Chadema wasiandamane maandamano haramu!.
P
 
Kusoma jambo na kuelewa ni uwezo pia, ambao siyo kila mtu huwa nao. So, nipokee tu kwa namna hiyo hiyo ulivyoelewa, kisha nikuache. Ikiwa utapata wa kukuelewesha ni heri.

Labda hukumbuki kisa cha mama kuwahi kukamatwa na polisi kwa sababu ya gari lake kuwa likiwaka taa moja wakati akitoka harusini.

Hizi ndizo baadhi ya kauli zake kwa Jeshi la Polisi:
"Inawezekana kesi haziji vituoni kwa sababu watu wamekata tamaa, kwa kuwa wakija hawapati haki zao."
Agosti 25, 2021

"Haiwezekani polisi wafanye mauaji, halafu wajichunguze wenyewe."
Februri 04, 2022

"Kwa muda mrefu, Jeshi la Polisi linasifika vibaya, ilikuwa muhimu kuanza kuliangalia, ili watu walitazame vizuri, jeshi linapaswa kuwa kimbilio na sio kilio cha watu."

"Vitendo vinavyofanywa na askari polisi barabarani, huwezi kudhani kwamba wamehitimu mafunzo."
Julai 21, 2022

"Kutokana na kukithiri kwa rushwa ndani ya jeshi la polisi, tutalazimika kutumia kamera."
Septemba 4,2023

Ova
View attachment 3095320
Thanks for this full of data with evidence. Naendelea kuwasisitiza Chadema Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!
P
 
Kwa watu wanaoujua mchezo wa chase huu mchezo uchezwa na watu wenye akili tu.

CHADEMA isikubali kufungwa chase na watu wenye akili ndogo kama hawa, iko hivi; umma wa Tanzania tuna maswali lukuki kwa jeshi lililofeli la Polisi na tunataka majibu ya kueleweka akiwemo huyo muuaji wao killing machine.

Sasa bad timing CHADEMA ikiingia kwenye mtego wa Polisi kututoa kwenye reli ili tujadili maandamano hakika mtatukosea sana Watanzania.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu

Ni heri hata Dr. Nchimbi ameongea diplomatic language sometimes ni mtu unaweza kukubaliana naye kuliko mtego ambao wameutega Polisi kwa CHADEMA ni kutuondoa kwenye mstari.

CHADEMA kwepeni huu mtego wa kiboya kutoka kwa watu waoga na wasio na weledi wowote.
Expecting results from what you know, yaani unajua kabisa mchezo wa marudiano kati yanga sc na vital 'o', mshindi atakuwa ni yanga SC lakini wewe unapo beti unaipa ushindi vitali'o, kwavile msemaji wa hiyo timu kaongea kwa ujasiri, siku hizi watu wanajua sana maigizo nyuma ya mikamera
 
Hata kama ultimatum ikipita, siwashauri chadema waandamane.

Adui number 1 wa majeshi ya ulinzi na usalama Tanzania si watu wanaofanya jinai ila chadema.

Ikitokea vifo kwenye hayo maandamano, Mungu aepishilie mbali, hasara itakuwa kwa chadema.

Please olisi kimoyomoyo wanaomba hayo maandamano yafanyike wapate pa kutokea
Policcm ndio wanaosababisha hayo, kwani kuyaacha maandamano yafanyike kwa amani kuna sheria inavunjwa?

Hivi ccm wakifanya maandamano ya kumpongeza hangaya policcm hawatoi ulinzi?
 
Kwa vile kwa hapa Tanzania polisi ndio mamlaka halali ya usalama wa raia na mali zake, wakipata taarifa zozote za kiinteligensia za uwezekano wa uvunjifu wa amani, wana wajibu wa kuyazuia kwasababu za kiusalama.
Tuendelee kuwasisitiza Chadema wasiandamane maandamano haramu!.
P
Swali fikirishi hawa polisi wa Tanzania hii intelijensia yao inafanya kazi kwenye maandamano ya chadema tu, lakini maandamano ya watekaji intelijensia yao haifanyi kazi? yaani wasiojulikana tangia waanze kutojulikana ni muda mrefu sasa, hiyo intelijensia bado tu hadi leo, you can fool some people all the time
 
Back
Top Bottom