Mimi nimesema ni 'format' tu; lakini content haina tatizo lolote; sasa sioni hapo kuna jambo gani kubwa sana la kuendela kung'ang'ania na kuhitaji nifundishwe kama ulivyo lilia wewe!Kama unaona ile post ilikuwa sawa, basi naomba unisamehe. Endelea tu huo mtindo wako wa kupost.
Ova
Si umegoma kuitiwa watu wa kukufundisha mkuu? Hakuna shida, acha tuendelee kusumbuka kukuelewa kwenye baadhi ya post zako.Mimi nimesema ni 'format' tu; lakini content haina tatizo lolote; sasa sioni hapo kuna jambo gani kubwa sana la kuendela kung'ang'ania na kuhitaji nifundishwe kama ulivyo lilia wewe!
Kwanza ni kitu gani cha kufundishwa hapo?
Sasa kabla ya kuendelea kulia lia hapa, hebu tazama ulicho andika hapo ulikiweka ukikusudia kitu gani hasa!
Mimi siye huyo uliyemtaja.Ndugu Mdukuzi kwani malalamiko ni ya nini?
Waache wafanye wanayo taka. Wana haki na uma utawasapoti tu mawazo yako ni ovyo sanaMaandamano ni haki ya kikatiba lakini inaeleweka wazi maandamano yana nguvu ya kuangusha serikali yoyote.
Kukishakuwa na tention kama hii serikali haiwezi kukubali maandamano lazima watumie mdomo wa Polisi.
Sasa hapa ndipo mnamuonaga Mbowe hafai kwa sababu ni lazima apime damage itakayotokea.
Chadema iking'ang'ania kuandamana wao ndio watakuwa loser, kwanza hawatopsts support ya umma, watakwenda wanachadema tupu kupigwa virungu na kupata ulemavu tu.
Mimi siamini katika ukondoo, lakini ni wrong timing kwa Chadema kuandamana sasa wao ndio watakaopoteza na maswali yote tunayosubiri majibu ndio itakuwa imetoka hiyo.
Watanzania tuwe na subira freedom is coming.
Kwa watu wanaoujua mchezo wa chase huu mchezo uchezwa na watu wenye akili tu.
CHADEMA isikubali kufungwa chase na watu wenye akili ndogo kama hawa, iko hivi; umma wa Tanzania tuna maswali lukuki kwa jeshi lililofeli la Polisi na tunataka majibu ya kueleweka akiwemo huyo muuaji wao killing machine.
Sasa bad timing CHADEMA ikiingia kwenye mtego wa Polisi kututoa kwenye reli ili tujadili maandamano hakika mtatukosea sana Watanzania.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Ni heri hata Dr. Nchimbi ameongea diplomatic language sometimes ni mtu unaweza kukubaliana naye kuliko mtego ambao wameutega Polisi kwa CHADEMA ni kutuondoa kwenye mstari.
CHADEMA kwepeni huu mtego wa kiboya kutoka kwa watu waoga na wasio na weledi wowote.
Kumbe una matatizo ya kuelewa?Si umegoma kuitiwa watu wa kukufundisha mkuu? Hakuna shida, acha tuendelee kusumbuka kukuelewa kwenye baadhi ya post zako.
Ova
Nyegere.P anasahau kuna kale kamnyama kadogo kana pambana na simba na mwenyewe anasepa,kale kanakula nyoka,na haya nyuki.
MkuuKwa watu wanaoujua mchezo wa chase huu mchezo uchezwa na watu wenye akili tu.
CHADEMA isikubali kufungwa chase na watu wenye akili ndogo kama hawa, iko hivi; umma wa Tanzania tuna maswali lukuki kwa jeshi lililofeli la Polisi na tunataka majibu ya kueleweka akiwemo huyo muuaji wao killing machine.
Sasa bad timing CHADEMA ikiingia kwenye mtego wa Polisi kututoa kwenye reli ili tujadili maandamano hakika mtatukosea sana Watanzania.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Ni heri hata Dr. Nchimbi ameongea diplomatic language sometimes ni mtu unaweza kukubaliana naye kuliko mtego ambao wameutega Polisi kwa CHADEMA ni kutuondoa kwenye mstari.
CHADEMA kwepeni huu mtego wa kiboya kutoka kwa watu waoga na wasio na weledi wowote.
Polisi wana wajibu wa kuyalinda maandamano na kuzuia hivyo viashiria vya uvunjifu wa amani (kama vipo).Ni kweli kabisa kuandamana ni haki na jeshi la Polisi lina haki kuyazuia kwasababu za kiusalama, kuandamana maandamano yaliyo zuiwa ni kushiriki maandamano haramu.
P
Kwa vile kwa hapa Tanzania polisi ndio mamlaka halali ya usalama wa raia na mali zake, wakipata taarifa zozote za kiinteligensia za uwezekano wa uvunjifu wa amani, wana wajibu wa kuyazuia kwasababu za kiusalama.Polisi wana wajibu wa kuyalinda maandamano na kuzuia hivyo viashiria vya uvunjifu wa amani (kama vipo).
Thanks for this full of data with evidence. Naendelea kuwasisitiza Chadema Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!Kusoma jambo na kuelewa ni uwezo pia, ambao siyo kila mtu huwa nao. So, nipokee tu kwa namna hiyo hiyo ulivyoelewa, kisha nikuache. Ikiwa utapata wa kukuelewesha ni heri.
Labda hukumbuki kisa cha mama kuwahi kukamatwa na polisi kwa sababu ya gari lake kuwa likiwaka taa moja wakati akitoka harusini.
Hizi ndizo baadhi ya kauli zake kwa Jeshi la Polisi:
"Inawezekana kesi haziji vituoni kwa sababu watu wamekata tamaa, kwa kuwa wakija hawapati haki zao."
Agosti 25, 2021
"Haiwezekani polisi wafanye mauaji, halafu wajichunguze wenyewe."
Februri 04, 2022
"Kwa muda mrefu, Jeshi la Polisi linasifika vibaya, ilikuwa muhimu kuanza kuliangalia, ili watu walitazame vizuri, jeshi linapaswa kuwa kimbilio na sio kilio cha watu."
"Vitendo vinavyofanywa na askari polisi barabarani, huwezi kudhani kwamba wamehitimu mafunzo."
Julai 21, 2022
"Kutokana na kukithiri kwa rushwa ndani ya jeshi la polisi, tutalazimika kutumia kamera."
Septemba 4,2023
Ova
View attachment 3095320
Expecting results from what you know, yaani unajua kabisa mchezo wa marudiano kati yanga sc na vital 'o', mshindi atakuwa ni yanga SC lakini wewe unapo beti unaipa ushindi vitali'o, kwavile msemaji wa hiyo timu kaongea kwa ujasiri, siku hizi watu wanajua sana maigizo nyuma ya mikameraKwa watu wanaoujua mchezo wa chase huu mchezo uchezwa na watu wenye akili tu.
CHADEMA isikubali kufungwa chase na watu wenye akili ndogo kama hawa, iko hivi; umma wa Tanzania tuna maswali lukuki kwa jeshi lililofeli la Polisi na tunataka majibu ya kueleweka akiwemo huyo muuaji wao killing machine.
Sasa bad timing CHADEMA ikiingia kwenye mtego wa Polisi kututoa kwenye reli ili tujadili maandamano hakika mtatukosea sana Watanzania.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Ni heri hata Dr. Nchimbi ameongea diplomatic language sometimes ni mtu unaweza kukubaliana naye kuliko mtego ambao wameutega Polisi kwa CHADEMA ni kutuondoa kwenye mstari.
CHADEMA kwepeni huu mtego wa kiboya kutoka kwa watu waoga na wasio na weledi wowote.
Policcm ndio wanaosababisha hayo, kwani kuyaacha maandamano yafanyike kwa amani kuna sheria inavunjwa?Hata kama ultimatum ikipita, siwashauri chadema waandamane.
Adui number 1 wa majeshi ya ulinzi na usalama Tanzania si watu wanaofanya jinai ila chadema.
Ikitokea vifo kwenye hayo maandamano, Mungu aepishilie mbali, hasara itakuwa kwa chadema.
Please olisi kimoyomoyo wanaomba hayo maandamano yafanyike wapate pa kutokea
Swali fikirishi hawa polisi wa Tanzania hii intelijensia yao inafanya kazi kwenye maandamano ya chadema tu, lakini maandamano ya watekaji intelijensia yao haifanyi kazi? yaani wasiojulikana tangia waanze kutojulikana ni muda mrefu sasa, hiyo intelijensia bado tu hadi leo, you can fool some people all the timeKwa vile kwa hapa Tanzania polisi ndio mamlaka halali ya usalama wa raia na mali zake, wakipata taarifa zozote za kiinteligensia za uwezekano wa uvunjifu wa amani, wana wajibu wa kuyazuia kwasababu za kiusalama.
Tuendelee kuwasisitiza Chadema wasiandamane maandamano haramu!.
P
Thank you very much for the compliment; however, we have learned these from you.Thanks for this full of data with evidence. Naendelea kuwasisitiza Chadema Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!
P