Pre GE2025 CHADEMA itanufaika zaidi Luhaga Mpina akiwa mgombea wake wa urais wao

Pre GE2025 CHADEMA itanufaika zaidi Luhaga Mpina akiwa mgombea wake wa urais wao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Huyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake.

Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.
 
Huyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake. Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.
Nitpigia Kura LUHAGA, LISSU, Gwajima, Bashiru, Ndugai , Makonda .
 
Huyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake. Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.
Huyo hata ukimshindanisha na baba yako, baba yako atapita, msituletee vitu vya ajabu
 
Huyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake. Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.
Mtamuua kwa Pressure Lisu anataka kugombea

Mbowe angekuwa Mwenyekiti alipanga Mpina ndie awe mgombea uraisi
 
Huyo hata ukimshindanisha na baba yako, baba yako atapita, msituletee vitu vya ajabu
Onaa hii mbuzi jike, Uwezo wa akili wa MPINA unaufananisha na baba yako?.

Ukiona MTU kama Mpina anaungwa mkono na Lissu, Mwabukusi, TEC, Prof Shivj, Jaji Warioba , n.k n.k Wazalendo wa Nchii hii, wewe ni nani mjingajinga Mmoja hata ufunue Domo lako kumsema mpina?.
 
Huyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake. Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.
Kwani Luhaga Mpina hata anazielewa na kuzikubali sera za CHADEMA?

Au unataka ushawishi tu bila mtu kuelewa na kukubali sera, halafu turudi kulekule kwa Lowassa,Sumaye na Shibuda?
 
Huyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake. Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.
Hakuna kitu kama hicho, agombee ubunge pekee
 
Huyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake. Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.
Kwani Chadema wamekuambia wanataka kunufaika? CCM nyie hamtaki kunufaika na mnufaishaji Mnaye huko huko
 
Kwani Luhaga Mpina hata anazielewa na kuzikubali sera za CHADEMA?

Au unataka ushawishi tu bila kuelewa na kukubali sera, halafu turudi kulekule kwa Lowassa,Sumaye na Shibuda?
Sera atazielewa tu huko mbele kwa mbele. Itasaidia nini uwe na mtu anayezielewa sera kama encyclopedia lakini hawezi kushawishi watu, kuleta kura za kutosha na ushindani wa kukitikisa chama dola?!
 
Huyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake. Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.
Kitakuwa ni chama cha HOVYO kama kitasubiri REJECT wa CCM ndiyo awe mgombea??

Naye Luhaga Mpina yuko overrated lakini hana lolote zaidi ya UKICHAA kama wa Baba yake Mwendakuzimu. Yaani mpima samaki canteen ndiye mnamategemea awe mpeperusha bendera ya CHADEMA??
 
Huyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake. Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.
Duh!...yaani Chadema haina mgombea Urais mpaka ifanye usajili kutoka Ccm?
 
Huyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake. Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.
Unaumwa
 
Back
Top Bottom