Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hii dhana CHADEMA walishaijaribu kwa Shibuda, Sumaye na Lowassa ikawaletea matatizo sana.Sera atazielewa tu huko mbele kwa mbele. Itasaidia nini uwe na mtu anayezielewa sera kama encyclopedia lakini hawezi kushawishi watu, kuleta kura za kutosha na ushindani wa kukitikisa chama dola?!
Kwa watu wote hao.