Pre GE2025 CHADEMA itanufaika zaidi Luhaga Mpina akiwa mgombea wake wa urais wao

Pre GE2025 CHADEMA itanufaika zaidi Luhaga Mpina akiwa mgombea wake wa urais wao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake.

Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.
Cdm wasirudie tena huo ujinga wa kuokoteza wagombea toka ccm, kosa la Lowassa lisikae likarudiwa tena. Kama Mpina ana ushawishe aende chama chochote cha upinzani akapatie hizo kura huko, ila sio cdm.
 
Back
Top Bottom