Nitpigia Kura LUHAGA, LISSU, Gwajima, Bashiru, Ndugai , Makonda .Huyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake. Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.
Huyo hata ukimshindanisha na baba yako, baba yako atapita, msituletee vitu vya ajabuHuyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake. Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.
Wewe Hilo bichwa lako ulojaza matope unaweza Lilinganisha na Kichwa Cha MPINA?.Kwa akili yako unaweza ongozwa na luhaga mpina kabisa!
Mtamuua kwa Pressure Lisu anataka kugombeaHuyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake. Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.
Kwani na huo upumbavu wako mpina kashikwa na mtu ...mchukue ukamuweke chumbani!Wewe Hilo bichwa lako ulojaza matope unaweza Lilinganisha na Kichwa Cha MPINA?.
WATU WAJINGA WAJINGA mnakuaga na wivu wakipuuzi.
Onaa hii mbuzi jike, Uwezo wa akili wa MPINA unaufananisha na baba yako?.Huyo hata ukimshindanisha na baba yako, baba yako atapita, msituletee vitu vya ajabu
Hilo bichwa lenye matope alafu Nawewe unakuta una watoto, Hasara kabisa Kwa hiyo familia.Kwani na huo upumbavu wako mpina kashikwa na mtu ...mchukue ukamuweke chumbani!
Kama mzazi wako wa kiume alivyo hasara pamoja na wewe mwanawe!Hilo bichwa lenye matope alafu Nawewe unakuta una watoto, Hasara kabisa Kwa hiyo familia.
Kwani Luhaga Mpina hata anazielewa na kuzikubali sera za CHADEMA?Huyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake. Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.
Utakuwa umefuata ushabiki lakini uchambuzi wa kina hujafanya!Ndiyo
Bichwa Hilo umejaza matope kiasi kwamba umebakisha Ubongo kiduchu wa kuvukia Barabara.Kama mzazi wako wa kiume alivyo hasara pamoja na wewe mwanawe!
Hakuna kitu kama hicho, agombee ubunge pekeeHuyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake. Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.
Kwani Chadema wamekuambia wanataka kunufaika? CCM nyie hamtaki kunufaika na mnufaishaji Mnaye huko hukoHuyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake. Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.
Sera atazielewa tu huko mbele kwa mbele. Itasaidia nini uwe na mtu anayezielewa sera kama encyclopedia lakini hawezi kushawishi watu, kuleta kura za kutosha na ushindani wa kukitikisa chama dola?!Kwani Luhaga Mpina hata anazielewa na kuzikubali sera za CHADEMA?
Au unataka ushawishi tu bila kuelewa na kukubali sera, halafu turudi kulekule kwa Lowassa,Sumaye na Shibuda?
Kitakuwa ni chama cha HOVYO kama kitasubiri REJECT wa CCM ndiyo awe mgombea??Huyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake. Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.
Duh!...yaani Chadema haina mgombea Urais mpaka ifanye usajili kutoka Ccm?Huyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake. Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.
UnaumwaHuyu Luhaga Mpina naona ana ushawishi sana kwa wafuasi wa mwendazake, kwa jinsi anavyoipopoa serikali ya inayoundwa na chama chake sioni dalili za yeye kupitishwa tena kuwa mgombea wa nafasi yoyote kwa chama chake. Akienda CHADEMA akagombea urais itaufanya uchaguzi mkuu kuwa wa kiushindani sana.