Chadema itashinda Urais 2020 hata bila TUME HURU

Chadema itashinda Urais 2020 hata bila TUME HURU

Kama mnataka kura zipungue kutoka mil 6 mbaka mil 2 asimame lisu
Lisu ajui kujenga hoja
Lisu ni mwana harakati
Watanzania hivi sasa sio wajinga wa kuletewa porojo wanataka fact katika maendeleo yao..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afrika tunakosea sn kuruhusu Multi-party kutokana na umaskini wa nchi zetu, turudi kwenye mfumo wa chama kimoja kama ilivyokuwa mwanzo, Mbowe, Lissu na wenzie watakuwa wazalendo endapo wataingia ndani ya Chama X let's say (Tanu) then wagombane kwa hoja na wakubaliane hili nchi iendelee.
 
Chadema hii inayoongozwa na dikteta mbowe mwenyekiti wa maisha.Mwaka huu mnalo,mkipata wabunge watatu mshukuru sana
 
Chadema itashinda urais hata bila tume huru 2020 kama itafanya yafuatayo

1: Kama haitapokea makapi na mafisadi kutoka ccm kuja kugombea.

2: kama watamsimamisha Tundu Lissu kupambana na Magufuli.

3: Kama watawaambia wananchi kulinda kula zao kwa Cost yetote kwenye vituo.

Kama chama kitaamua kufanya siasa kali za hoja na sio soft soft ambazo hazina tija kwa upinzani na wapenda mageuzi kwa ujumla.

Nawaambia Ukweli tumefikia kwenye the point of no return ni either tuchukue dola au tupotee moja kwa moja.

Kipi hatujapitia? wafusi wetu wameuawa, wametekwa wamejeruhiwa na kuwekwa vilema na wengine kufungwa kipi hatujakipitia kuingia barabarani tutapoteza nini?

hakuna muda wa kupoteza twendeni na nguvvu ya umma tunachukua dola mapema sana ila tuteue watu waadilifu, Udiwani Ubunge na Urais. Tume sio kigezo kama ni ivyo Odinga angekuwa rais wa Kenya. Urais ni Timing.
Uko sahihi na tunavyokaribia uchaguzi naiona dalili ya ccm kuangukia pua
 
urais upi kwanza labda wa tff lakini wa nchi mnaota tu
 
Back
Top Bottom