LGE2024 CHADEMA Ivishirikishe Vyama Vingine Katika Kutoa Msimamo wa Pamoja Kuhusiana na Uharibifu wa Uchaguzi Serikali za Mitaa

LGE2024 CHADEMA Ivishirikishe Vyama Vingine Katika Kutoa Msimamo wa Pamoja Kuhusiana na Uharibifu wa Uchaguzi Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Edwin na Alhaj Bob Makani ni Vijana wa Nyerere

Ili Alhaj Bob awe na Akili za ulimwenguni aliozeshwa Bint wa kichaga kama mwenzake Oscar Kambona na Nelson Mandela 😂😂

Nyerere alikuwa Akili Kubwa sana ndio sababu aliweza kuwaundieni BAKWATA na mwanawe Shemasi Ben akawapa Bure chuo cha ADANI pale Morogoro 😄😂
Kwa kweli yule mwenyeshari Julius alikuwa laaana sana

Tunafurahi kuona hata nyinyi wenyewe makafiri mnatambua kuwa bakwata alishiriki kuiasisi.

But tumeshtuka,japo kwa kukuchelewa but mwenyeshari laana ziwe juu yake.
 
Kwa kweli yule mwenyeshari Julius alikuwa laaana sana

Tunafurahi kuona hata nyinyi wenyewe makafiri mnatambua kuwa bakwata alishiriki kuiasisi.

But tumeshtuka,japo kwa kukuchelewa but mwenyeshari laana ziwe juu yake.
😂😂😂
 
Wakati wa mapambano ya kutafuta haki, unatakiwa kutafuta umoja wenye nguvu na kila mwenye dhamira njema bila ya kujali ukubwa au udogo wake.

Pamoja na maneno mengi hasi na chanya, binafsi naamini vyama kama ACT Wazalendo na CUF, vina watu makini, wenye ushawishi, utashi na dhamira njema, na wanapitia madhira yale yale wanayoyapitia CHADEMA, na wananchi kwa ujumla, japo kwa viwango tofauti.

Viongozi kama Zitto Kabwe, naamini bado ana nguvu, ujasiri na ushawishi pia.

DHuluma ya CCM dhidi ya umma wa Watanzania, ituunganishe Watanzania wote wenye dhamira njema, iviunganishe vyama vyote vya siasa vyenye dhamira njema, hata kama vyama hivyo pengine havina nguvu zinazolingana.

Hivyo ni muhimu, ikiwezekana, Kamati kuu ya CHADEMA ijadili namna ya kushirikisha vyama vyote vyenye dhamira njema, katika kufikia uamuzi wa pamoja, juu ya hatua za kuchukua baada ya uchaguzi kuharibiwa kwa kiwango kisichotibika.

Ushauri wangu, kwanza ni kuitaka serikali kuufuta uchaguzi huu kwa kuwa ni haramu. Uchaguzi uitishwe upya na usimamiwe na Tume ya uchaguzi, waziri Mchengerwa afunguliwe mashtaka ya uhaini, kwa kosa la kutaka kuteka mamlaka ya wananchi.
Tatizo vipo vyama chawa vya CCM ambavyo havina vigezo vyovyote vya kuwepo lakini vinalindwa na CCM, vyama hivi huonekana wakati wa uchaguzi tu ili vivuruge kura kwa wapinzani, hivi vyama tayari vilikwisha sifu uchaguzi ulivyoenda, sasa utavishirikishaje tena!
 
BAKWATA ni kitengo cha CCM chenye jukumu la kuwaghilibu Waislamu waiunge mkono CCM.
Hilo tunafaham mbona kitambo tuh,na kanisa katoliki kama wanaona wenzaon wanafaidi basi wajiunge nao hao chadema,why wanasuasua na wanafahamika kuwa ajenda yao ni Nini??
 
Wakati wa mapambano ya kutafuta haki, unatakiwa kutafuta umoja wenye nguvu na kila mwenye dhamira njema bila ya kujali ukubwa au udogo wake.

Pamoja na maneno mengi hasi na chanya, binafsi naamini vyama kama ACT Wazalendo na CUF, vina watu makini, wenye ushawishi, utashi na dhamira njema, na wanapitia madhira yale yale wanayoyapitia CHADEMA, na wananchi kwa ujumla, japo kwa viwango tofauti.

Viongozi kama Zitto Kabwe, naamini bado ana nguvu, ujasiri na ushawishi pia.

DHuluma ya CCM dhidi ya umma wa Watanzania, ituunganishe Watanzania wote wenye dhamira njema, iviunganishe vyama vyote vya siasa vyenye dhamira njema, hata kama vyama hivyo pengine havina nguvu zinazolingana.

Hivyo ni muhimu, ikiwezekana, Kamati kuu ya CHADEMA ijadili namna ya kushirikisha vyama vyote vyenye dhamira njema, katika kufikia uamuzi wa pamoja, juu ya hatua za kuchukua baada ya uchaguzi kuharibiwa kwa kiwango kisichotibika.

Ushauri wangu, kwanza ni kuitaka serikali kuufuta uchaguzi huu kwa kuwa ni haramu. Uchaguzi uitishwe upya na usimamiwe na Tume ya uchaguzi, waziri Mchengerwa afunguliwe mashtaka ya uhaini, kwa kosa la kutaka kuteka mamlaka ya wananchi.
Ivi nikweli CCM ingeshindwa ktk uchaguzi huuu ambao wapinzani wameweka wagombea %35 nchi nzima kwamaana %65 CCM ilishashinda kabla ya uchaguzi sasa apo kuna wakumlaumu kweli Mchengerwa angefanyanini ili upinzani ushinde kwa %35 ya wagombeawake. Mnakwepa kusema kweli kwann wapinzani wasiweke wagombea kwa 100% aya kwaiyo Mchengerwa ndio kikwazo nyie kushinda kwa %99 jua kali sana DAR poleni yumkin mvua zikianza mtajua shida sio Mchengerwa ni hii 35% Yanga bingwa.
 
Mosi: Chadema ni wabinafsi hawapendagi huo umoja

Mbili: Baadhi ya vyama vya upinzani vilishatoka mbele ya kamera jana na kusema Uchaguzi ulikuwa swafi kabisa tena vikalishukuru Jeshi la polisi kwa usimamizi mzuri, hiyo ndo siasa CCM ina mbinu korofi zaidi
 
Uchaguzi ushapita mmeshindwa fanyeni kazi zingine.
After all mnaonekana wafanya vurugu tu
Tunaonekana wafanya vurugu na nani? Kama ni hao shetani wauaji, ni sawa tu. Shetani kukuona wewe ni mwema maana yake na wewe ni shetani kama yeye. Ukionekana mbaya kwa shetani, shangilia.
 
Ivi nikweli CCM ingeshindwa ktk uchaguzi huuu ambao wapinzani wameweka wagombea %35 nchi nzima kwamaana %65 CCM ilishashinda kabla ya uchaguzi sasa apo kuna wakumlaumu kweli Mchengerwa angefanyanini ili upinzani ushinde kwa %35 ya wagombeawake. Mnakwepa kusema kweli kwann wapinzani wasiweke wagombea kwa 100% aya kwaiyo Mchengerwa ndio kikwazo nyie kushinda kwa %99 jua kali sana DAR poleni yumkin mvua zikianza mtajua shida sio Mchengerwa ni hii 35% Yanga bingwa.
Hatuzungumzii kushinda bali haki katika uchaguzi.

CCM kama ingekuwa na viongozi wenye akili, japo huwa hawapendi haki, kwenye uchaguzi huu ambao wapinzani waligombea maeneo machache, wangetenda haki kwa 100% ili kuwadamganya watu kuwa wao ni watu wa haki, maana walikuwa na uhakika wa kushinda. Lakini kwa vile watu wao wengi ni wenye akili ndogo, ndiyo maana wamefanya waliyoyafanya, na sasa ushetani wao upo wazi kwa kila mtu. Hakuna atakayeweza kuwaamini tena.
 
DHuluma ya CCM dhidi ya umma wa Watanzania, ituunganishe Watanzania wote wenye dhamira njema, iviunganishe vyama vyote vya siasa vyenye dhamira njema, hata kama vyama hivyo pengine havina nguvu zinazolingana.
Tukiyakumbuka ya UKAWA tunakosa nguvu kabisa watanzania.
Devide and rule ndiyo mtaji wa CCM.
 
Wakati wa mapambano ya kutafuta haki, unatakiwa kutafuta umoja wenye nguvu na kila mwenye dhamira njema bila ya kujali ukubwa au udogo wake.

Pamoja na maneno mengi hasi na chanya, binafsi naamini vyama kama ACT Wazalendo na CUF, vina watu makini, wenye ushawishi, utashi na dhamira njema, na wanapitia madhira yale yale wanayoyapitia CHADEMA, na wananchi kwa ujumla, japo kwa viwango tofauti.

Viongozi kama Zitto Kabwe, naamini bado ana nguvu, ujasiri na ushawishi pia.

DHuluma ya CCM dhidi ya umma wa Watanzania, ituunganishe Watanzania wote wenye dhamira njema, iviunganishe vyama vyote vya siasa vyenye dhamira njema, hata kama vyama hivyo pengine havina nguvu zinazolingana.

Hivyo ni muhimu, ikiwezekana, Kamati kuu ya CHADEMA ijadili namna ya kushirikisha vyama vyote vyenye dhamira njema, katika kufikia uamuzi wa pamoja, juu ya hatua za kuchukua baada ya uchaguzi kuharibiwa kwa kiwango kisichotibika.

Ushauri wangu, kwanza ni kuitaka serikali kuufuta uchaguzi huu kwa kuwa ni haramu. Uchaguzi uitishwe upya na usimamiwe na Tume ya uchaguzi, waziri Mchengerwa afunguliwe mashtaka ya uhaini, kwa kosa la kutaka kuteka mamlaka ya wananchi.

View: https://www.instagram.com/reel/DC9AI8Ui38A/?igsh=MXUxejFlNXRtdWgweA==
 
Mtavuna mlichopanda, ya Zanzibar yakutokuzikana ndo yanaenda kutokea, taifa linaelekea shimoni
99% CCM, vyama vingine mmegawana hiyo 1%. CCM wanatosha kuzikana wenyewe kwa wenyewe. Nyie wengine mpaka mfanye kolabo kwenye mazishi.
 
Back
Top Bottom