johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ipo tofauti Kati ya akili na mihemuko 😂CCM nzima mkikusanya akili zenu (kama mnazo anyway) haziwezi kufikia 0.0001 ya akil ya Lisu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo tofauti Kati ya akili na mihemuko 😂CCM nzima mkikusanya akili zenu (kama mnazo anyway) haziwezi kufikia 0.0001 ya akil ya Lisu!
Kwa kweli yule mwenyeshari Julius alikuwa laaana sanaEdwin na Alhaj Bob Makani ni Vijana wa Nyerere
Ili Alhaj Bob awe na Akili za ulimwenguni aliozeshwa Bint wa kichaga kama mwenzake Oscar Kambona na Nelson Mandela 😂😂
Nyerere alikuwa Akili Kubwa sana ndio sababu aliweza kuwaundieni BAKWATA na mwanawe Shemasi Ben akawapa Bure chuo cha ADANI pale Morogoro 😄😂
😂😂😂Kwa kweli yule mwenyeshari Julius alikuwa laaana sana
Tunafurahi kuona hata nyinyi wenyewe makafiri mnatambua kuwa bakwata alishiriki kuiasisi.
But tumeshtuka,japo kwa kukuchelewa but mwenyeshari laana ziwe juu yake.
Tatizo vipo vyama chawa vya CCM ambavyo havina vigezo vyovyote vya kuwepo lakini vinalindwa na CCM, vyama hivi huonekana wakati wa uchaguzi tu ili vivuruge kura kwa wapinzani, hivi vyama tayari vilikwisha sifu uchaguzi ulivyoenda, sasa utavishirikishaje tena!Wakati wa mapambano ya kutafuta haki, unatakiwa kutafuta umoja wenye nguvu na kila mwenye dhamira njema bila ya kujali ukubwa au udogo wake.
Pamoja na maneno mengi hasi na chanya, binafsi naamini vyama kama ACT Wazalendo na CUF, vina watu makini, wenye ushawishi, utashi na dhamira njema, na wanapitia madhira yale yale wanayoyapitia CHADEMA, na wananchi kwa ujumla, japo kwa viwango tofauti.
Viongozi kama Zitto Kabwe, naamini bado ana nguvu, ujasiri na ushawishi pia.
DHuluma ya CCM dhidi ya umma wa Watanzania, ituunganishe Watanzania wote wenye dhamira njema, iviunganishe vyama vyote vya siasa vyenye dhamira njema, hata kama vyama hivyo pengine havina nguvu zinazolingana.
Hivyo ni muhimu, ikiwezekana, Kamati kuu ya CHADEMA ijadili namna ya kushirikisha vyama vyote vyenye dhamira njema, katika kufikia uamuzi wa pamoja, juu ya hatua za kuchukua baada ya uchaguzi kuharibiwa kwa kiwango kisichotibika.
Ushauri wangu, kwanza ni kuitaka serikali kuufuta uchaguzi huu kwa kuwa ni haramu. Uchaguzi uitishwe upya na usimamiwe na Tume ya uchaguzi, waziri Mchengerwa afunguliwe mashtaka ya uhaini, kwa kosa la kutaka kuteka mamlaka ya wananchi.
Utakuwa una matatizo makubwa sana kama na wewe unaweza kulinganisha akili kubwa za CCM na huyo jamaa yakoCCM nzima mkikusanya akili zenu (kama mnazo anyway) haziwezi kufikia 0.0001 ya akil ya Lisu!
Tumekuzoea na vihoja vyako rejareja.Mbowe ndio alivunja UKAWA kwa kuwatosa Dr Slaa na Prof Lipumba kisha kumleta KADA wa CCM hayati Lowasa
Sawa CHAWA mzoefu pambania ugali wako kwa gharama ya wengine.Utakuwa una matatizo makubwa sana kama na wewe unaweza kulinganisha akili kubwa za CCM na huyo jamaa yako
Hunaga akili weweSawa CHAWA mzoefu pambania ugali wako kwa gharama ya wengine.
Sawa CHAWA mwenye akili. Hicho unacholipwa kwa unafiki unaofanya ni laana kwa uzao wako wote CHAWA WEWE.Hunaga akili wewe
BAKWATA ni kitengo cha CCM chenye jukumu la kuwaghilibu Waislamu waiunge mkono CCM.Mbona umesahau na mshirika wao mwingine mkubwa wa chagadema ambae ni Kanisa katoliki??
ACT ni pro Samia ingefaa sana washirikiane na CDM lkn ndio hivyoUko sahihi kabisa.
Hilo tunafaham mbona kitambo tuh,na kanisa katoliki kama wanaona wenzaon wanafaidi basi wajiunge nao hao chadema,why wanasuasua na wanafahamika kuwa ajenda yao ni Nini??BAKWATA ni kitengo cha CCM chenye jukumu la kuwaghilibu Waislamu waiunge mkono CCM.
Ivi nikweli CCM ingeshindwa ktk uchaguzi huuu ambao wapinzani wameweka wagombea %35 nchi nzima kwamaana %65 CCM ilishashinda kabla ya uchaguzi sasa apo kuna wakumlaumu kweli Mchengerwa angefanyanini ili upinzani ushinde kwa %35 ya wagombeawake. Mnakwepa kusema kweli kwann wapinzani wasiweke wagombea kwa 100% aya kwaiyo Mchengerwa ndio kikwazo nyie kushinda kwa %99 jua kali sana DAR poleni yumkin mvua zikianza mtajua shida sio Mchengerwa ni hii 35% Yanga bingwa.Wakati wa mapambano ya kutafuta haki, unatakiwa kutafuta umoja wenye nguvu na kila mwenye dhamira njema bila ya kujali ukubwa au udogo wake.
Pamoja na maneno mengi hasi na chanya, binafsi naamini vyama kama ACT Wazalendo na CUF, vina watu makini, wenye ushawishi, utashi na dhamira njema, na wanapitia madhira yale yale wanayoyapitia CHADEMA, na wananchi kwa ujumla, japo kwa viwango tofauti.
Viongozi kama Zitto Kabwe, naamini bado ana nguvu, ujasiri na ushawishi pia.
DHuluma ya CCM dhidi ya umma wa Watanzania, ituunganishe Watanzania wote wenye dhamira njema, iviunganishe vyama vyote vya siasa vyenye dhamira njema, hata kama vyama hivyo pengine havina nguvu zinazolingana.
Hivyo ni muhimu, ikiwezekana, Kamati kuu ya CHADEMA ijadili namna ya kushirikisha vyama vyote vyenye dhamira njema, katika kufikia uamuzi wa pamoja, juu ya hatua za kuchukua baada ya uchaguzi kuharibiwa kwa kiwango kisichotibika.
Ushauri wangu, kwanza ni kuitaka serikali kuufuta uchaguzi huu kwa kuwa ni haramu. Uchaguzi uitishwe upya na usimamiwe na Tume ya uchaguzi, waziri Mchengerwa afunguliwe mashtaka ya uhaini, kwa kosa la kutaka kuteka mamlaka ya wananchi.
Tunaonekana wafanya vurugu na nani? Kama ni hao shetani wauaji, ni sawa tu. Shetani kukuona wewe ni mwema maana yake na wewe ni shetani kama yeye. Ukionekana mbaya kwa shetani, shangilia.Uchaguzi ushapita mmeshindwa fanyeni kazi zingine.
After all mnaonekana wafanya vurugu tu
Hatuzungumzii kushinda bali haki katika uchaguzi.Ivi nikweli CCM ingeshindwa ktk uchaguzi huuu ambao wapinzani wameweka wagombea %35 nchi nzima kwamaana %65 CCM ilishashinda kabla ya uchaguzi sasa apo kuna wakumlaumu kweli Mchengerwa angefanyanini ili upinzani ushinde kwa %35 ya wagombeawake. Mnakwepa kusema kweli kwann wapinzani wasiweke wagombea kwa 100% aya kwaiyo Mchengerwa ndio kikwazo nyie kushinda kwa %99 jua kali sana DAR poleni yumkin mvua zikianza mtajua shida sio Mchengerwa ni hii 35% Yanga bingwa.
Tukiyakumbuka ya UKAWA tunakosa nguvu kabisa watanzania.DHuluma ya CCM dhidi ya umma wa Watanzania, ituunganishe Watanzania wote wenye dhamira njema, iviunganishe vyama vyote vya siasa vyenye dhamira njema, hata kama vyama hivyo pengine havina nguvu zinazolingana.
Wakati wa mapambano ya kutafuta haki, unatakiwa kutafuta umoja wenye nguvu na kila mwenye dhamira njema bila ya kujali ukubwa au udogo wake.
Pamoja na maneno mengi hasi na chanya, binafsi naamini vyama kama ACT Wazalendo na CUF, vina watu makini, wenye ushawishi, utashi na dhamira njema, na wanapitia madhira yale yale wanayoyapitia CHADEMA, na wananchi kwa ujumla, japo kwa viwango tofauti.
Viongozi kama Zitto Kabwe, naamini bado ana nguvu, ujasiri na ushawishi pia.
DHuluma ya CCM dhidi ya umma wa Watanzania, ituunganishe Watanzania wote wenye dhamira njema, iviunganishe vyama vyote vya siasa vyenye dhamira njema, hata kama vyama hivyo pengine havina nguvu zinazolingana.
Hivyo ni muhimu, ikiwezekana, Kamati kuu ya CHADEMA ijadili namna ya kushirikisha vyama vyote vyenye dhamira njema, katika kufikia uamuzi wa pamoja, juu ya hatua za kuchukua baada ya uchaguzi kuharibiwa kwa kiwango kisichotibika.
Ushauri wangu, kwanza ni kuitaka serikali kuufuta uchaguzi huu kwa kuwa ni haramu. Uchaguzi uitishwe upya na usimamiwe na Tume ya uchaguzi, waziri Mchengerwa afunguliwe mashtaka ya uhaini, kwa kosa la kutaka kuteka mamlaka ya wananchi.
99% CCM, vyama vingine mmegawana hiyo 1%. CCM wanatosha kuzikana wenyewe kwa wenyewe. Nyie wengine mpaka mfanye kolabo kwenye mazishi.Mtavuna mlichopanda, ya Zanzibar yakutokuzikana ndo yanaenda kutokea, taifa linaelekea shimoni