LGE2024 CHADEMA Ivishirikishe Vyama Vingine Katika Kutoa Msimamo wa Pamoja Kuhusiana na Uharibifu wa Uchaguzi Serikali za Mitaa

LGE2024 CHADEMA Ivishirikishe Vyama Vingine Katika Kutoa Msimamo wa Pamoja Kuhusiana na Uharibifu wa Uchaguzi Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wakati wa mapambano ya kutafuta haki, unatakiwa kutafuta umoja wenye nguvu na kila mwenye dhamira njema bila ya kujali ukubwa au udogo wake.

Pamoja na maneno mengi hasi na chanya, binafsi naamini vyama kama ACT Wazalendo na CUF, vina watu makini, wenye ushawishi, utashi na dhamira njema, na wanapitia madhira yale yale wanayoyapitia CHADEMA, na wananchi kwa ujumla, japo kwa viwango tofauti.

Viongozi kama Zitto Kabwe, naamini bado ana nguvu, ujasiri na ushawishi pia.

DHuluma ya CCM dhidi ya umma wa Watanzania, ituunganishe Watanzania wote wenye dhamira njema, iviunganishe vyama vyote vya siasa vyenye dhamira njema, hata kama vyama hivyo pengine havina nguvu zinazolingana.

Hivyo ni muhimu, ikiwezekana, Kamati kuu ya CHADEMA ijadili namna ya kushirikisha vyama vyote vyenye dhamira njema, katika kufikia uamuzi wa pamoja, juu ya hatua za kuchukua baada ya uchaguzi kuharibiwa kwa kiwango kisichotibika.

Ushauri wangu, kwanza ni kuitaka serikali kuufuta uchaguzi huu kwa kuwa ni haramu. Uchaguzi uitishwe upya na usimamiwe na Tume ya uchaguzi, waziri Mchengerwa afunguliwe mashtaka ya uhaini, kwa kosa la kutaka kuteka mamlaka ya wananchi.
Ishirikishe hao 14 ambao hawajapata chochote lakini wanashangilia km cck? Mazuzu sana!
 
Viongozi kama Zitto Kabwe, naamini bado ana nguvu, ujasiri na ushawishi pia.
Unatupeleka kwenye serikali ya "umoja" CCM ikiwa kinara?

Hapana. Hata sielewi wazo hili limekuijia vipi akilini!
 
Tatizo siyo kudhirikiana, shida ni unashirikiana na nani. Hivihivi vikundi vya mapambio visivyojua maana ya kuundwa kwake ndo viungane na CHADEMA au ACT kweli. Sidhani km ni sahihi.
 
Unatupeleka kwenye serikali ya "umoja" CCM ikiwa kinara?

Hapana. Hata sielewi wazo hili limekuijia vipi akilini!
Siyo Serikali ya umoja, bali kuungana katika kutafuta haki.

Ikishawekwa mifumo ya haki, kila chama kitaingia kwenye uchaguzi kikisubiria maamuzi ya wananchi.
 
Tatizo siyo kudhirikiana, shida ni unashirikiana na nani. Hivihivi vikundi vya mapambio visivyojua maana ya kuundwa kwake ndo viungane na CHADEMA au ACT kweli. Sidhani km ni sahihi.
Nimesema wazi, kuwepo na ushirikiano wa vile vyama vyenye dhamira njema, siyo vile vyama 14 chawa wa CCM. Vile 14, vina ushirika tayari na shetani CCM.
 
Siyo Serikali ya umoja, bali kuungana katika kutafuta haki.

Ikishawekwa mifumo ya haki, kila chama kitaingia kwenye uchaguzi kikisubiria maamuzi ya wananchi.
Mkuu, hili wazo lako ni njia mbadala ya kufifisha juhudi za wanaotaka kwa dhati kabisa kuiondoa CCM madarakani.

Sioni inakuwaje umlalamikie Mbowe (kwa haki kabisa), halafu hapo hapo unageukia upande utakao ingiza matatizo makubwa zaidi ndani ya chama!
Ajabu, hata akina Liumba unawa tambua kuwa na dhamira, kweli?
 
Mkuu upo sahihi sana , Tatizo la Tanzania hivyo vyama vingine vyote jamaa wanavitawala mpinzani pekee ni CDM na ndani ya CDM pia wamewekwa watu wao so kushinda uchaguzi kwa Tanzania wasahau

mi napendekeza vyama vyote vya ukweli viwaunganishe wananchi kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ni bora vijikite huko kuliko kushiriki uchaguzi ambao wanajua fika watashindwa..
Ni sahihi. Hapa naongelea vyama vyenye dhamira njema, siyo vile vyama 14, machawa ya CCM.
 
Wakati wa mapambano ya kutafuta haki, unatakiwa kutafuta umoja wenye nguvu na kila mwenye dhamira njema bila ya kujali ukubwa au udogo wake.

Pamoja na maneno mengi hasi na chanya, binafsi naamini vyama kama ACT Wazalendo na CUF, vina watu makini, wenye ushawishi, utashi na dhamira njema, na wanapitia madhira yale yale wanayoyapitia CHADEMA, na wananchi kwa ujumla, japo kwa viwango tofauti.

Viongozi kama Zitto Kabwe, naamini bado ana nguvu, ujasiri na ushawishi pia.

DHuluma ya CCM dhidi ya umma wa Watanzania, ituunganishe Watanzania wote wenye dhamira njema, iviunganishe vyama vyote vya siasa vyenye dhamira njema, hata kama vyama hivyo pengine havina nguvu zinazolingana.

Hivyo ni muhimu, ikiwezekana, Kamati kuu ya CHADEMA ijadili namna ya kushirikisha vyama vyote vyenye dhamira njema, katika kufikia uamuzi wa pamoja, juu ya hatua za kuchukua baada ya uchaguzi kuharibiwa kwa kiwango kisichotibika.

Ushauri wangu, kwanza ni kuitaka serikali kuufuta uchaguzi huu kwa kuwa ni haramu. Uchaguzi uitishwe upya na usimamiwe na Tume ya uchaguzi, waziri Mchengerwa afunguliwe mashtaka ya uhaini, kwa kosa la kutaka kuteka mamlaka ya wananchi .Ni uchaguzi umechochea chuki dhidi ya ccm na serikali yake.Mimi sina chama.ILA KWA UCHAGUZI WA SAFARI HII WATANZANIA TUMECHAGULIWA NA VIONGOZI WA CCM WATU WA KUTUONGOZA.SERIKALI IMEPOKA MADARAKA YA WANANCHI.
 
Tunaonekana wafanya vurugu na nani? Kama ni hao shetani wauaji, ni sawa tu. Shetani kukuona wewe ni mwema maana yake na wewe ni shetani kama yeye. Ukionekana mbaya kwa shetani, shangilia.
Ndo hivo tena Watanzania wamewakataa
 
Wakati wa mapambano ya kutafuta haki, unatakiwa kutafuta umoja wenye nguvu na kila mwenye dhamira njema bila ya kujali ukubwa au udogo wake.

Pamoja na maneno mengi hasi na chanya, binafsi naamini vyama kama ACT Wazalendo na CUF, vina watu makini, wenye ushawishi, utashi na dhamira njema, na wanapitia madhira yale yale wanayoyapitia CHADEMA, na wananchi kwa ujumla, japo kwa viwango tofauti.

Viongozi kama Zitto Kabwe, naamini bado ana nguvu, ujasiri na ushawishi pia.

DHuluma ya CCM dhidi ya umma wa Watanzania, ituunganishe Watanzania wote wenye dhamira njema, iviunganishe vyama vyote vya siasa vyenye dhamira njema, hata kama vyama hivyo pengine havina nguvu zinazolingana.

Hivyo ni muhimu, ikiwezekana, Kamati kuu ya CHADEMA ijadili namna ya kushirikisha vyama vyote vyenye dhamira njema, katika kufikia uamuzi wa pamoja, juu ya hatua za kuchukua baada ya uchaguzi kuharibiwa kwa kiwango kisichotibika.

Ushauri wangu, kwanza ni kuitaka serikali kuufuta uchaguzi huu kwa kuwa ni haramu. Uchaguzi uitishwe upya na usimamiwe na Tume ya uchaguzi, waziri Mchengerwa afunguliwe mashtaka ya uhaini, kwa kosa la kutaka kuteka mamlaka ya wananchi.
Act
Wakati wa mapambano ya kutafuta haki, unatakiwa kutafuta umoja wenye nguvu na kila mwenye dhamira njema bila ya kujali ukubwa au udogo wake.

Pamoja na maneno mengi hasi na chanya, binafsi naamini vyama kama ACT Wazalendo na CUF, vina watu makini, wenye ushawishi, utashi na dhamira njema, na wanapitia madhira yale yale wanayoyapitia CHADEMA, na wananchi kwa ujumla, japo kwa viwango tofauti.

Viongozi kama Zitto Kabwe, naamini bado ana nguvu, ujasiri na ushawishi pia.

DHuluma ya CCM dhidi ya umma wa Watanzania, ituunganishe Watanzania wote wenye dhamira njema, iviunganishe vyama vyote vya siasa vyenye dhamira njema, hata kama vyama hivyo pengine havina nguvu zinazolingana.

Hivyo ni muhimu, ikiwezekana, Kamati kuu ya CHADEMA ijadili namna ya kushirikisha vyama vyote vyenye dhamira njema, katika kufikia uamuzi wa pamoja, juu ya hatua za kuchukua baada ya uchaguzi kuharibiwa kwa kiwango kisichotibika.

Ushauri wangu, kwanza ni kuitaka serikali kuufuta uchaguzi huu kwa kuwa ni haramu. Uchaguzi uitishwe upya na usimamiwe na Tume ya uchaguzi, waziri Mchengerwa afunguliwe mashtaka ya uhaini, kwa kosa la kutaka kuteka mamlaka ya wananchi.
Act Wazalendo wametowa tamko jana kupitia kiongozi wa chama hawautambui uchaguzi na zito kwa jimbo la kigoma kasema wanaenda mahakamani kuwashtaki msimamizi mkuu wa uchaguzi pamoja na wagombea wa mitaa yote ya jimbo la kigoma mjini
 
Back
Top Bottom