Elections 2010 CHADEMA iwaachilie walioshinda kura za maoni wagombee

Elections 2010 CHADEMA iwaachilie walioshinda kura za maoni wagombee

Status
Not open for further replies.
Mkandara unaweza kuiweka dream cabinet ya CHADEMA, tuseme wamepewa nchi leo, not that CCM ni wazuri hivyo, let us say unataka kuonyesha CHADEMA wana team, unaweza kuweka mawaziri na manaibu wao hapa just for he sake of argument ?

This is a genuine question, I am genuinely examining things. Inawezekana wapo ila wananchi hatuwajui.

Strictly CHADEMA members au hata wa kutoka vyama vingine kama wafanyavyo Marekani...na kwingineko?
 
Well tupo wengi tu kama Regia kwani hapa ni kijiweni. Tunaandika kama vile unaongea na mtu na sii kuandika habari au kitabu.
It's a forum..!

Right,

Lakini si wote tunaogombea ubunge, sio wote tunaotumia majina yetu, sio wote tunaotaka dhamana ya uongozi. Kiranga hata akiboronga, anaboronga yeye kama private citizen na anaweza kusema "it is just a forum". Lakini Regia ana campaign, kila kitu anachoandika na jinsi anavyoandika vinaweza kutumiwa ku form opinion kuhusu alivyo na uwezo wake, kwa hiyo anatakiwa kuwa mwangalifu zaidi, hawezi kusema "It is just a forum". It is more than ajust a forum, it is a campaign platform where she is convincing the people that she is capable and she knows her stuff, that she will be comfortable not only following parliamentary regulations, but possibly understand them enough to refrom. Sasa mtu hajui hata kanuni za kuandika unaniambia anaweza kusahihisha logic na content za "Government Gazette" na procedure za ku submit motions bungeni ? Ataweza kwenda one on one na ma CCM attack dogs kama kina Phillip Marmo huyu ? Mafupa yaliyowashinda kina Zitto Kabwe (muulizeni Zitto ile "leadership ethics bill" yake iliishia wapi ?)

Huwezi kumtetea mdada mzima, mtu mzima anaye run for public office, asiyejua kuandika.

Hata huyo private citizen akikosea anajionyesha alivyo nincompoop.
.

Ndiyo hii hii culture yetu ya compacency tunayoipiga vita hapa. Kutokuwa makini katika vitu vidogo kunaonyesha uwezo mdogo wa kuwa makini katika vitu vikubwa.
 
Mkandara

Kitila alikosea kuzungumzia vitu asivyokuwa na hakika navyo, lkn pia hakumaanishi kuwa kusema 'kitila usitake kuupoteza umma' na mfano wake kuwa sahihi.

Angemwomba kitila kuja kurekebisha kauli yake ingetoa picha nzuri kwa chama, kitila na yeye pia........lakini Mimi si mwana siasa Kama nyie wenye chama mnafurahia 'uwazi' wa aina hii na auendeleze.

Btw hii principle ya kuwa hapa ni kijiweni ni applicable wakati wote
 
Kwa nini Mnyika anamdiss huyu dada? Nafikiri kuna watu CHADEMA washaanza kuliona hili ndio maama Tundu Lissu kashaanza kupendekeza mtu mwingine.
Na kashfa na mapungufu yake yote, sitaki Mtema aenguliwe na kikao au kikundi cha watu, awe Lissu awe John, iwapo tumeshafanyishwa uchaguzi. Kwa nini tumepiga kura?

Mtema, dada, watu wanakukatia simu kwa sababu hawako makini kiuongozi na kidiplomasia, lakini pia unafanya mambo kienyeji, usijipigishe simu kwa John na Zitto, andika hata barua pepe kupitia tarakishi au mtandao wa CHADEMA.
 
Mkandara unaweza kuiweka dream cabinet ya CHADEMA, tuseme wamepewa nchi leo, not that CCM ni wazuri hivyo, let us say unataka kuonyesha CHADEMA wana team, unaweza kuweka mawaziri na manaibu wao hapa just for he sake of argument ?

This is a genuine question, I am genuinely examining things.
Mkuu wangu mimi simo ktk Uongozi wa chama Chadema isipokuwa naweza kabisa kukujibu swali hili na pengine kuwasaidia hao Chadema in the making..

Chadema hawana haja wala sababu ya kuwa na Wizara 30 na Manaibu wake. Chadema inaweza kuwa na Wizara 15 au 18 tu na hakuna Manaibu Waziri. Na kati ya hao Chadema kikaweka Mawaziri wake 10 toka au 12 na wengine kuwachukua toka vyama vyingine kuunda bipartisan. Kwani naamini kabisa sio viongozi wote ndani ya CCM na CUF watakataa kuchukua jukumu walilopewa na rais wao kuhakikisha Ufisadi unakoma.

Huwezi kunambia Chadema haina watu wanaoweza kushika wizara 10 au 12.. na hakika siwezi kuwataja majina kwa sababu mimi siwaelewi wagombea wa Chadema wala uongozi wake zaidi ya hawa tunaowataja hapa kila siku. Nimejiunga na Chadema kwa sababu ya malengo ya chama na sio kutazama kina nani wana represent Chadema kuweza kuchukua nchi.

John Okello na makuli wa bandarini zanzibar ndio waliofanya Mapinduzi ya Zanzibar, na hakika pamoja na hawa manamba kutokuwa na uwezo wa kutawala, leo hii Zanzibar ni huru na haipo tena chini ya Sultan.

This is a genuine Answer, I am genuinely exploring reality!
 
Mkandara

Kitila alikosea kuzungumzia vitu asivyokuwa na hakika navyo, lkn pia hakumaanishi kuwa kusema 'kitila usitake kuupoteza umma' na mfano wake kuwa sahihi.

Angemwomba kitila kuja kurekebisha kauli yake ingetoa picha nzuri kwa chama, kitila na yeye pia........lakini Mimi si mwana siasa Kama nyie wenye chama mnafurahia 'uwazi' wa aina hii na auendeleze.

Btw hii principle ya kuwa hapa ni kijiweni ni applicable wakati wote
Noo mkuu wangu Kitila hakutakiwa kuandika asiyoyajua kama hakuwepo ama hakuwa na ukweli wa kilichotokea - Period
 
Na kashfa na mapungufu yake yote, sitaki Mtema aenguliwe na kikao au kikundi cha watu, awe Lissu awe John, iwapo tumeshafanyishwa uchaguzi. Kwa nini tumepiga kura?

Mtema, dada, watu wanakukatia simu kwa sababu hawako makini kiuongozi na kidiplomasia, lakini pia unafanya mambo kienyeji, usijipigishe simu kwa John na Zitto, andika hata barua pepe kupitia tarakishi au mtandao wa CHADEMA. [/SIZE][/FONT]

Kutii maamuzi ya viongozi wako ni muhimu pia! Nidhamu ya chama LOL
 
Na kashfa na mapungufu yake yote, sitaki Mtema aenguliwe na kikao au kikundi cha watu, awe Lissu awe John, iwapo tumeshafanyishwa uchaguzi. Kwa nini tumepiga kura?

Mtema, dada, watu wanakukatia simu kwa sababu hawako makini kiuongozi na kidiplomasia, lakini pia unafanya mambo kienyeji, usijipigishe simu kwa John na Zitto, andika hata barua pepe kupitia tarakishi au mtandao wa CHADEMA. [/SIZE][/FONT]

Watu wanamkatia simu na kumpigisha mark time ya one step forward two steps backwards, lakini yeye anakwambia "hawaja ni diss".

Anaweza kukaa na machinery ya Mkuchika ikamtukana matusi ya nguoni akawa anachekelea tu.

This proves my point kwamba wanachama wanaweza kukosea kuchagua mtu kwa sababu tofauti na ajenda ya chama (kama uwezo) na katika cases kama hizi uongozi wa juu uwe na uwezo wa ku veto wagombea dhaifu waliopita, kama kina Regia Mtema.

Of course another way of doing thi ni kuwachuja wagombea mapema kabisa kama alivyosema Mwanakijiji, ili kusudi yeyote atakayepita awe kashapitishwa na chama kwamba ana uwezo.
 
Hili sijaanza kulisema leo, ni wewe tu mwenye bias ya CHADEMA ndiye ambaye hujaona hili labda.

Sentesi yako imesema '' not that ccm ni wazuri hivyo"

Kwa maana kwamba, ccm ni wazuri, lakini sio wazuri hivyo!

Kwa macho yangu na bias zangu za chadema nikaona ufisadi right there ... right there Kiranga, right there ukisema ccm ni wazuri ila sio wazuri hivyo.
 
Ndio nini hiyo Mr.Fastidious?

You know better than that, I am developing this heuristic algorithm to eliminate all redundancy in linguistic expressions and see how much people can understand without using full words. Joke.

Typo, more like keyboard malfunction. But at least I had the sense not to run for public office, knowing my preponderance to typos every once in a while.
 
Sentesi yako imesema '' not that ccm ni wazuri hivyo"

Kwa maana kwamba, ccm ni wazuri, lakini sio wazuri hivyo!

Kwa macho yangu na bias zangu za chadema nikaona ufisadi right there ... right there Kiranga, right there ukisema ccm ni wazuri ila sio wazuri hivyo.

If you force me to go there I can.

Na ubaya wao wote at least CCM wana a national team, which is something CHADEMA can never claim.
 
Kiranga hivyo unavyotaka haiwezi kuwa kwa sababu she is the best Kati ya waliojitokeza kuwania nafasi.

Chama kilikuwa na wagombea wawili tu wanao wania nafasi na wakapigiwa kura na watu 60 ( a bit more or less)

Sasa hapa kuwalaumu waliojitokeza au wananchi kazi bure.... They didn't have a choice

Na chama kingeweka masharti magumu labda kingekosa kabisa hata wa kumuweka.

Inabidi twende tu na Hali halisi iliyopo
 
Kiranga,
This proves my point kwamba wanachama wanaweza kukosea kuchagua mtu kwa sababu tofauti na ajenda ya chama (kama uwezo) na katika cases kama hizi uongozi wa juu uwe na uwezo wa ku veto wagombea dhaifu waliopita, kama kina Regia Mtema.
Mkuu nadhani una lako jambo wala sii kidogo!
 
Mkuu wangu mimi simo ktk Uongozi wa chama Chadema isipokuwa naweza kabisa kukujibu swali hili na pengine kuwasaidia hao Chadema in the making..

Chadema hawana haja wala sababu ya kuwa na Wizara 30 na Manaibu wake. Chadema inaweza kuwa na Wizara 15 au 18 tu na hakuna Manaibu Waziri. Na kati ya hao Chadema kikaweka Mawaziri wake 10 toka au 12 na wengine kuwachukua toka vyama vyingine kuunda bipartisan. Kwani naamini kabisa sio viongozi wote ndani ya CCM na CUF watakataa kuchukua jukumu walilopewa na rais wao kuhakikisha Ufisadi unakoma.

Huwezi kunambia Chadema haina watu wanaoweza kushika wizara 10 au 12.. na hakika siwezi kuwataja majina kwa sababu mimi siwaelewi wagombea wa Chadema wala uongozi wake zaidi ya hawa tunaowataja hapa kila siku. Nimejiunga na Chadema kwa sababu ya malengo ya chama na sio kutazama kina nani wana represent Chadema kuweza kuchukua nchi.

John Okello na makuli wa bandarini zanzibar ndio waliofanya Mapinduzi ya Zanzibar, na hakika pamoja na hawa manamba kutokuwa na uwezo wa kutawala, leo hii Zanzibar ni huru na haipo tena chini ya Sultan.

This is a genuine Answer, I am genuinely exploring reality!

Sijataja namba ya mawaziri, nimesema dream cabinet ya CHADEMA ipi, naona hadithi nyingi, hamna kitu concrete wakati ulishasema unaweza kujibu swali vizuri tu.

Halafu mimi nishakipa CHADEMA mandate ku form gov 100% wewe unatafuta bipartisanship ? na watu ambao hawana mandate? Wananchi waliokupa mandate wakueleweje ?
 
Kiranga,
Mkuu nadhani una lako jambo wala sii kidogo!

Mbona nishali state kitambo tu ? Kwamba as long as tuna vyama vya siasa, na uongozi wake unachaguliwa kidemokrasia, then tuwape viongozi mandate ya kukataa au kukubali mambo, wasifungwe na popular support ya mtu.

Tukitaka kwenda na popular suport tuondoe vyama, maana vitakuwa havina maana. Leadership inatakiwa ku lead, sio kuendeshwa tu kama bendera kufuata upepo.
 
Sijataja namba ya mawaziri, nimesema dream cabinet ya CHADEMA ipi, naona hadithi nyingi, hamna kitu concrete wakati ulishasema unaweza kujibu swali vizuri tu.

Halafu mimi nishakipa CHADEMA mandate ku form gov 100% wewe unatafuta bipartisanship ? na watu ambao hawana mandate? Wananchi waliokupa mandate wakueleweje ?
Hakuna serikali hata moja duniani inayozungumzia dream cabinet kabla ya kuchukua Ushindi. haya sio mashindano ya Mpira au team ya kucheza. Tanzania tuna population ya watu millioni 40 na kati ya hao Chadema haiwezi kushindwa kuwa na cabinet unless ktk akili yako unafikiria cabinet has to be those U have in mind..
 
.. kwamba wanachama wanaweza kukosea kuchagua mtu kwa sababu tofauti na ajenda ya chama (kama uwezo) na katika cases kama hizi uongozi wa juu uwe na uwezo wa ku veto wagombea dhaifu waliopita, kama kina Regia Mtema.
Demokrasia ya wapi hiyo ya kuwapa kura ya turufu makao makuu ya chama baada ya wote kupiga kura?

"Tutaendesha kesi halafu ndio tutamnyonga," walivyosema Wavulanang'ombe wa Texas. Kesi ya nini sasa, mnyongeni tu. Uchaguzi wa nini kama mlijua mtamnyonga mbeleni? Mlitegemea atashindwa lakini mtu wenu akashindwa? Mtema 1 - CHADEMA 0.

Mtema ni mchemfu, lakini kashinda kura, mpende usimpende lazima umpigie saluti.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom