econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
- Thread starter
- #21
Unajua kuwa hizo kura zao majimboni zinaleta viti maalum? Pili halima alikuwa mwenyekiti bawacha kwahiyo alikuwa na tiketi tayari ya mjengoni
Hujanielewa, Mimi sipingi Hilo, Bali nachopinga Ni kwanini tusiwe na sysytem moja tu ya kugombea viti maalum kuliko hi ya Sasa.