Uchaguzi 2020 CHADEMA: Jeshi la polisi limeomba majina ya wagombea wetu

Uchaguzi 2020 CHADEMA: Jeshi la polisi limeomba majina ya wagombea wetu

Ambatanisha na sampuli za barua hizo, msije kuwa mmejiandikia au wakasema mmejiandikia. Mbona tumeshashuhudia barua zikighushiwa na kusambazwa mitandaoni na baadae ofisi husika kuuzikana!
Wambie wakane sasa!
 
Hivi Chadema ni wa kuandika barua ya hivi kweli asee? Au ni mkakati wa kuichafua chadame ionekane kutoa tuhuma za ovyo?

Na kama ni kweli hii ni ya Chadema mbona hawakuweka ushahidi wa hizo barua za polisi zinazolalamikiwa hapa?

Wasipo ziweka hizo barua tutaamini kuwa hizo ni propaganda tu kama ilivyokuwa kwenye tukio la kupigwa na kuvunjwa kwa KUB huku watu wakitamka "tumetumwa kukuvunja mkuu na unamsumbua Rais".
Mkuu hiyo barua umeona imekuwa addressed kwa jamii forum? Wewe umepewa FYI ukitaka amini hizo tuhuma zipo au ukitaka acha.Hope Chadema hawataweka hizo barua za police humu
 
Madictator huwa hawaogopi mahakama, bali huogopa nguvu ya umma au vikundi vya kigaidi. Hayo mambo mawili ndio pekee madictator huogopa. Bila kuanza kutega mabomu kwenye ofisi na mikutano ya ccm, au kuanza kupambana na vyombo vya dola itakuwa ngumu kusikilizwa.
Naunga mkono hoja
 
Ndo mmemaliza?
Jirani yangu mmoja ana mtoto wa kike anasoma darasa la saba, hivi karibuni alirudi nyumbani toka shule analia akashtaki kwa mama yake kwamba dereva wa boda boda anataka kujua jina lake bahati nzuri baba wa mtoto alikuwepo nae akamwambia binti yake huyo jamaa anataka kukuchumbia usikie umeshakuwa mkubwa. Kwa hiyo Chasema wasilie watoe majina
 
In fact hiyo ni moja ya njia ya kuwapa presha vyama upinzani kuelekea kwenye uchaguzi.

Mfaham kabisa hii ni Afrika.
 
Chadema wanatakiwa wachukue Hizo barua kisha kuwafungulia kesi OCD wote kwenye mahakama ya uhalifu wa kimataifa The Hague watazinduka na kuacha kuwasaidia wenzao CCM
Huu ndo ushauri makini kabisa
 
Hivi Chadema ni wa kuandika barua ya hivi kweli asee? Au ni mkakati wa kuichafua chadame ionekane kutoa tuhuma za ovyo?

Na kama ni kweli hii ni ya Chadema mbona hawakuweka ushahidi wa hizo barua za polisi zinazolalamikiwa hapa?

Wasipo ziweka hizo barua tutaamini kuwa hizo ni propaganda tu kama ilivyokuwa kwenye tukio la kupigwa na kuvunjwa kwa KUB huku watu wakitamka "tumetumwa kukuvunja mkuu na unamsumbua Rais".
Tatizo lako unategemea single source of information. Hadi watoto wameziona hizi barua
EdEQ28YXgAAftqN.jpeg
 
Back
Top Bottom