sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Wambie wakane sasa!Ambatanisha na sampuli za barua hizo, msije kuwa mmejiandikia au wakasema mmejiandikia. Mbona tumeshashuhudia barua zikighushiwa na kusambazwa mitandaoni na baadae ofisi husika kuuzikana!