Wambie wakane sasa!Ambatanisha na sampuli za barua hizo, msije kuwa mmejiandikia au wakasema mmejiandikia. Mbona tumeshashuhudia barua zikighushiwa na kusambazwa mitandaoni na baadae ofisi husika kuuzikana!
Weee kenge nn wapeleke ili iweje??pelekeni majina kwa usalama wenu nyie chadema ni wehu nini! hamtaki wagombea wenu walindwe na tume ya uchaguzi?
Mkuu hiyo barua umeona imekuwa addressed kwa jamii forum? Wewe umepewa FYI ukitaka amini hizo tuhuma zipo au ukitaka acha.Hope Chadema hawataweka hizo barua za police humuHivi Chadema ni wa kuandika barua ya hivi kweli asee? Au ni mkakati wa kuichafua chadame ionekane kutoa tuhuma za ovyo?
Na kama ni kweli hii ni ya Chadema mbona hawakuweka ushahidi wa hizo barua za polisi zinazolalamikiwa hapa?
Wasipo ziweka hizo barua tutaamini kuwa hizo ni propaganda tu kama ilivyokuwa kwenye tukio la kupigwa na kuvunjwa kwa KUB huku watu wakitamka "tumetumwa kukuvunja mkuu na unamsumbua Rais".
Naunga mkono hojaMadictator huwa hawaogopi mahakama, bali huogopa nguvu ya umma au vikundi vya kigaidi. Hayo mambo mawili ndio pekee madictator huogopa. Bila kuanza kutega mabomu kwenye ofisi na mikutano ya ccm, au kuanza kupambana na vyombo vya dola itakuwa ngumu kusikilizwa.
Jirani yangu mmoja ana mtoto wa kike anasoma darasa la saba, hivi karibuni alirudi nyumbani toka shule analia akashtaki kwa mama yake kwamba dereva wa boda boda anataka kujua jina lake bahati nzuri baba wa mtoto alikuwepo nae akamwambia binti yake huyo jamaa anataka kukuchumbia usikie umeshakuwa mkubwa. Kwa hiyo Chasema wasilie watoe majinaNdo mmemaliza?
Huu ndo ushauri makini kabisaChadema wanatakiwa wachukue Hizo barua kisha kuwafungulia kesi OCD wote kwenye mahakama ya uhalifu wa kimataifa The Hague watazinduka na kuacha kuwasaidia wenzao CCM
Pia hawajaomba ya chama chao kingine, ACTMbona hawajaomba ya chama tawala?
Tatizo lako unategemea single source of information. Hadi watoto wameziona hizi baruaHivi Chadema ni wa kuandika barua ya hivi kweli asee? Au ni mkakati wa kuichafua chadame ionekane kutoa tuhuma za ovyo?
Na kama ni kweli hii ni ya Chadema mbona hawakuweka ushahidi wa hizo barua za polisi zinazolalamikiwa hapa?
Wasipo ziweka hizo barua tutaamini kuwa hizo ni propaganda tu kama ilivyokuwa kwenye tukio la kupigwa na kuvunjwa kwa KUB huku watu wakitamka "tumetumwa kukuvunja mkuu na unamsumbua Rais".
Mnazua uongo ili mpate kick. Iko wapi barua ya polisi kuomba hayo majina? Chadema imejifia sababu ya kukumbatia upuuzi kama huu.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kumbe nacho no cha kwao?Pia hawajaomba ya chama chao kingine, ACT
Ni vikosi vya wavuta bange tu hawaHili siyo jeshi tena