Hayo maswali ukitoa la Chato ni bora Umuulize mwenyekiti wako .Hoja zijibiwe?
Nani walimshambulia Tundu lisu?
Nani alimuua akwilin?
Yupo wapi Ben na ANZORY GWANDA?
Tuanzie hapa?
Kwann uwanja wa ndege chatto na siyo geita?
Kwann ASSADalifurushwa kazi???