Chadema kama ni sawa Mbowe kuendelea uenyekiti wanadamu wote tuna mapungufu, kwa nini si sawa CCM kuendelea kutawala maana vyama vyote vina mapungufu?

Chadema kama ni sawa Mbowe kuendelea uenyekiti wanadamu wote tuna mapungufu, kwa nini si sawa CCM kuendelea kutawala maana vyama vyote vina mapungufu?

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Lojiki ya kufikiria ya Watanzania wenzengu mara nyingine inaniacha nashindwa kuwaelewa. Sielewi kwa nini suala la Mbowe na Lissu kugombea uenyekiti liwe jambo linalotishia uhai wa Chadema.

Tukirudi nyuma, hatuwezi kusema Nyerere aliacha uongozi kwa sababu aliishiwa fikra sahihi na ghafla Mwinyi akawa bora kuliko Nyerere. Mara nyingine kuwa na nafasi y uongozi na kuwapisha wengine ni jambo la ustaarabu tu, hasa ikiwa umekuwa katika nafasi hiyo kwa mika 5, au 10, au hata zaidi ya ishirini. Mara nyingine mabadiliko mazuri na makubwa yanakuja kwa sababu tu kuna macho mapya katika uongozi.

Na hii ni sababu mojawapo Chadema wamekuwa wakisisitiza sana kwa nini wanataka kuitoa CCM madarakani, kwamba CCM imekuwapo madarakani muda mrefu na wameanza kujisahau, kuna mambo wanachukulia Tanzania na Watanzania kwa ujumla for granted, na hivyo ni bora chama kingine kishike uongozi wa nchi, ili kuja na mawazo mbadala. Kwa hili nawaelewa sana.

Lakini sasa nisichoelewa, kama hii filosofia ya Chadema ya mabadiliko ya uongozi wa nchi yanayohitaji CCM iondoke na labda Chadema wapewe nafasi, kwa nini wao wenyewe wanashindwa kuitumia ndani ya chama chao katika suala la Tundu na Mbowe kuwania nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa Chadema?

Nawauliza Chadema, kama ni sawa Mbowe kuendelea uenyekiti zaidi ya miaka 20, kwamba amefanya kazi nzuri na kama amefanya makosa wanadamu wote tuna mapungufu hivyo aendelee tu, kwa nini sasa, kwa kutumia kanuni hiyo hiyo, si sawa CCM kuendelea kutawala mkijua wazi vyama vyote vina mapungufu? Kwani Nyerere aling'atuka kwa sababu Mwinyi alikuwa mbadala bora zaidi kwa Nyerere?

Kumbuka Mwinyi alisema akijilingnisha na Nyerere, yeye alijiona kichuguu n Nyerere mlima Kilimanjaro! Mnaweza kumona Mbowe kuwa Mlima Kilimanjaro, na Lissu kichuguu cha huko Sekenke, lakini filosofia ya maisha ni kukubali mabadiliko yanapostahili, hasa kama kutoyakubali kunaweza kuleta mtafaruku.
 
Lojiki ya kufikiria ya Watanzania wenzengu mara nyingine inaniacha nashindwa kuwaelewa. Sielewi kwa nini suala la Mbowe na Lissu kugombea uenyekiti liwe jambo linalotishia uhai wa Chadema.

Tukirudi nyuma, hatuwezi kusema Nyerere aliacha uongozi kwa sababu aliishiwa fikra sahihi na ghafla Mwinyi akawa bora kuliko Nyerere. Mara nyingine kuwa na nafasi y uongozi na kuwapisha wengine ni jambo la ustaarabu tu, hasa ikiwa umekuwa katika nafasi hiyo kwa mika 5, au 10, au hata zaidi ya ishirini. Mara nyingine mabadiliko mazuri na makubwa yanakuja kwa sababu tu kuna macho mapya katika uongozi.

Na hii ni sababu mojawapo Chadema wamekuwa wakisisitiza sana kwa nini wanataka kuitoa CCM madarakani, kwamba CCM imekuwapo madarakani muda mrefu na wameanza kujisahau, kuna mambo wanachukulia Tanzania na Watanzania kwa ujumla for granted, na hivyo ni bora chama kingine kishike uongozi wa nchi, ili kuja na mawazo mbadala. Kwa hili nawaelewa sana.

Lakini sasa nisichoelewa, kama hii filosofia ya Chadema ya mabadiliko ya uongozi wa nchi yanayohitaji CCM iondoke na labda Chadema wapewe nafasi, kwa nini wao wenyewe wanashindwa kuitumia ndani ya chama chao katika suala la Tundu na Mbowe kuwania nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa Chadema?

Nawauliza Chadema, kama ni sawa Mbowe kuendelea uenyekiti zaidi ya miaka 20, kwamba amefanya kazi nzuri na kama amefanya makosa wanadamu wote tuna mapungufu hivyo aendelee tu, kwa nini sasa, kwa kutumia kanuni hiyo hiyo, si sawa CCM kuendelea kutawala mkijua wazi vyama vyote vina mapungufu? Kwani Nyerere aling'atuka kwa sababu Mwinyi alikuwa mbadala bora zaidi kwa Nyerere?

Kumbuka Mwinyi alisema akijilingnisha na Nyerere, yeye alijiona kichuguu n Nyerere mlima Kilimanjaro! Mnaweza kumona Mbowe kuwa Mlima Kilimanjaro, na Lissu kichuguu cha huko Sekenke, lakini filosofia ya maisha ni kukubali mabadiliko yanapostahili, hasa kama kutoyakubali kunaweza kuleta mtafaruku.
Chadema chama cha demokrasia kisichojua demokrasia 🤣🤣🤣🤣
 
Kama ni cha demokrasia ya kweli inapaswa ianzie nyumbani kabla ya kwenda kuihubiri kwa watu walio nje
Kabisa. Hawa wakipewa nchi kwa tabia hizi watakua sawa na M7 tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Lojiki ya kufikiria ya Watanzania wenzengu mara nyingine inaniacha nashindwa kuwaelewa. Sielewi kwa nini suala la Mbowe na Lissu kugombea uenyekiti liwe jambo linalotishia uhai wa Chadema.

Tukirudi nyuma, hatuwezi kusema Nyerere aliacha uongozi kwa sababu aliishiwa fikra sahihi na ghafla Mwinyi akawa bora kuliko Nyerere. Mara nyingine kuwa na nafasi y uongozi na kuwapisha wengine ni jambo la ustaarabu tu, hasa ikiwa umekuwa katika nafasi hiyo kwa mika 5, au 10, au hata zaidi ya ishirini. Mara nyingine mabadiliko mazuri na makubwa yanakuja kwa sababu tu kuna macho mapya katika uongozi.

Na hii ni sababu mojawapo Chadema wamekuwa wakisisitiza sana kwa nini wanataka kuitoa CCM madarakani, kwamba CCM imekuwapo madarakani muda mrefu na wameanza kujisahau, kuna mambo wanachukulia Tanzania na Watanzania kwa ujumla for granted, na hivyo ni bora chama kingine kishike uongozi wa nchi, ili kuja na mawazo mbadala. Kwa hili nawaelewa sana.

Lakini sasa nisichoelewa, kama hii filosofia ya Chadema ya mabadiliko ya uongozi wa nchi yanayohitaji CCM iondoke na labda Chadema wapewe nafasi, kwa nini wao wenyewe wanashindwa kuitumia ndani ya chama chao katika suala la Tundu na Mbowe kuwania nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa Chadema?

Nawauliza Chadema, kama ni sawa Mbowe kuendelea uenyekiti zaidi ya miaka 20, kwamba amefanya kazi nzuri na kama amefanya makosa wanadamu wote tuna mapungufu hivyo aendelee tu, kwa nini sasa, kwa kutumia kanuni hiyo hiyo, si sawa CCM kuendelea kutawala mkijua wazi vyama vyote vina mapungufu? Kwani Nyerere aling'atuka kwa sababu Mwinyi alikuwa mbadala bora zaidi kwa Nyerere?

Kumbuka Mwinyi alisema akijilingnisha na Nyerere, yeye alijiona kichuguu n Nyerere mlima Kilimanjaro! Mnaweza kumona Mbowe kuwa Mlima Kilimanjaro, na Lissu kichuguu cha huko Sekenke, lakini filosofia ya maisha ni kukubali mabadiliko yanapostahili, hasa kama kutoyakubali kunaweza kuleta mtafaruku.
Mbowe ni Ayatollah mpya.
 
Wanaompigia debe Mbowe aendelee kwenye nafasi ya uenyekiti ni hawa wanachadema wavivu wa kujitafutia akina Boni Yai, Ntobi na Yericko Nyerere .
 
Lojiki ya kufikiria ya Watanzania wenzengu mara nyingine inaniacha nashindwa kuwaelewa. Sielewi kwa nini suala la Mbowe na Lissu kugombea uenyekiti liwe jambo linalotishia uhai wa Chadema.

Tukirudi nyuma, hatuwezi kusema Nyerere aliacha uongozi kwa sababu aliishiwa fikra sahihi na ghafla Mwinyi akawa bora kuliko Nyerere. Mara nyingine kuwa na nafasi y uongozi na kuwapisha wengine ni jambo la ustaarabu tu, hasa ikiwa umekuwa katika nafasi hiyo kwa mika 5, au 10, au hata zaidi ya ishirini. Mara nyingine mabadiliko mazuri na makubwa yanakuja kwa sababu tu kuna macho mapya katika uongozi.

Na hii ni sababu mojawapo Chadema wamekuwa wakisisitiza sana kwa nini wanataka kuitoa CCM madarakani, kwamba CCM imekuwapo madarakani muda mrefu na wameanza kujisahau, kuna mambo wanachukulia Tanzania na Watanzania kwa ujumla for granted, na hivyo ni bora chama kingine kishike uongozi wa nchi, ili kuja na mawazo mbadala. Kwa hili nawaelewa sana.

Lakini sasa nisichoelewa, kama hii filosofia ya Chadema ya mabadiliko ya uongozi wa nchi yanayohitaji CCM iondoke na labda Chadema wapewe nafasi, kwa nini wao wenyewe wanashindwa kuitumia ndani ya chama chao katika suala la Tundu na Mbowe kuwania nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa Chadema?

Nawauliza Chadema, kama ni sawa Mbowe kuendelea uenyekiti zaidi ya miaka 20, kwamba amefanya kazi nzuri na kama amefanya makosa wanadamu wote tuna mapungufu hivyo aendelee tu, kwa nini sasa, kwa kutumia kanuni hiyo hiyo, si sawa CCM kuendelea kutawala mkijua wazi vyama vyote vina mapungufu? Kwani Nyerere aling'atuka kwa sababu Mwinyi alikuwa mbadala bora zaidi kwa Nyerere?

Kumbuka Mwinyi alisema akijilingnisha na Nyerere, yeye alijiona kichuguu n Nyerere mlima Kilimanjaro! Mnaweza kumona Mbowe kuwa Mlima Kilimanjaro, na Lissu kichuguu cha huko Sekenke, lakini filosofia ya maisha ni kukubali mabadiliko yanapostahili, hasa kama kutoyakubali kunaweza kuleta mtafaruku.
Nikiwa kijana almost 39 now, hakuna mchakato niliushuhudia chama cha kisiasa kikijichimbia kaburi kuzidi ninachokiona Chadema
 
Lojiki ya kufikiria ya Watanzania wenzengu mara nyingine inaniacha nashindwa kuwaelewa. Sielewi kwa nini suala la Mbowe na Lissu kugombea uenyekiti liwe jambo linalotishia uhai wa Chadema.

Tukirudi nyuma, hatuwezi kusema Nyerere aliacha uongozi kwa sababu aliishiwa fikra sahihi na ghafla Mwinyi akawa bora kuliko Nyerere. Mara nyingine kuwa na nafasi y uongozi na kuwapisha wengine ni jambo la ustaarabu tu, hasa ikiwa umekuwa katika nafasi hiyo kwa mika 5, au 10, au hata zaidi ya ishirini. Mara nyingine mabadiliko mazuri na makubwa yanakuja kwa sababu tu kuna macho mapya katika uongozi.

Na hii ni sababu mojawapo Chadema wamekuwa wakisisitiza sana kwa nini wanataka kuitoa CCM madarakani, kwamba CCM imekuwapo madarakani muda mrefu na wameanza kujisahau, kuna mambo wanachukulia Tanzania na Watanzania kwa ujumla for granted, na hivyo ni bora chama kingine kishike uongozi wa nchi, ili kuja na mawazo mbadala. Kwa hili nawaelewa sana.

Lakini sasa nisichoelewa, kama hii filosofia ya Chadema ya mabadiliko ya uongozi wa nchi yanayohitaji CCM iondoke na labda Chadema wapewe nafasi, kwa nini wao wenyewe wanashindwa kuitumia ndani ya chama chao katika suala la Tundu na Mbowe kuwania nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa Chadema?

Nawauliza Chadema, kama ni sawa Mbowe kuendelea uenyekiti zaidi ya miaka 20, kwamba amefanya kazi nzuri na kama amefanya makosa wanadamu wote tuna mapungufu hivyo aendelee tu, kwa nini sasa, kwa kutumia kanuni hiyo hiyo, si sawa CCM kuendelea kutawala mkijua wazi vyama vyote vina mapungufu? Kwani Nyerere aling'atuka kwa sababu Mwinyi alikuwa mbadala bora zaidi kwa Nyerere?

Kumbuka Mwinyi alisema akijilingnisha na Nyerere, yeye alijiona kichuguu n Nyerere mlima Kilimanjaro! Mnaweza kumona Mbowe kuwa Mlima Kilimanjaro, na Lissu kichuguu cha huko Sekenke, lakini filosofia ya maisha ni kukubali mabadiliko yanapostahili, hasa kama kutoyakubali kunaweza kuleta mtafaruku.
🙋‍♂️💐✍️🤝👏🙏🛡️
 
Hapo ndipo mnapokosea. Unaona USA wameanza kuiga waafrika, wanafanya Republicans kuwa chama cha Trump. Umeona matokeo?
Dunia ya sasa haitaki bla bla,Mwenye Nguvu mpishe,huna nguvu tubaki ku comment hapa jamii forum tu,kujipa moyo

Republican wamempisha Trump,nani pale wa kumzidi
 
Lojiki ya kufikiria ya Watanzania wenzengu mara nyingine inaniacha nashindwa kuwaelewa. Sielewi kwa nini suala la Mbowe na Lissu kugombea uenyekiti liwe jambo linalotishia uhai wa Chadema.

Tukirudi nyuma, hatuwezi kusema Nyerere aliacha uongozi kwa sababu aliishiwa fikra sahihi na ghafla Mwinyi akawa bora kuliko Nyerere. Mara nyingine kuwa na nafasi y uongozi na kuwapisha wengine ni jambo la ustaarabu tu, hasa ikiwa umekuwa katika nafasi hiyo kwa mika 5, au 10, au hata zaidi ya ishirini. Mara nyingine mabadiliko mazuri na makubwa yanakuja kwa sababu tu kuna macho mapya katika uongozi.

Na hii ni sababu mojawapo Chadema wamekuwa wakisisitiza sana kwa nini wanataka kuitoa CCM madarakani, kwamba CCM imekuwapo madarakani muda mrefu na wameanza kujisahau, kuna mambo wanachukulia Tanzania na Watanzania kwa ujumla for granted, na hivyo ni bora chama kingine kishike uongozi wa nchi, ili kuja na mawazo mbadala. Kwa hili nawaelewa sana.

Lakini sasa nisichoelewa, kama hii filosofia ya Chadema ya mabadiliko ya uongozi wa nchi yanayohitaji CCM iondoke na labda Chadema wapewe nafasi, kwa nini wao wenyewe wanashindwa kuitumia ndani ya chama chao katika suala la Tundu na Mbowe kuwania nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa Chadema?

Nawauliza Chadema, kama ni sawa Mbowe kuendelea uenyekiti zaidi ya miaka 20, kwamba amefanya kazi nzuri na kama amefanya makosa wanadamu wote tuna mapungufu hivyo aendelee tu, kwa nini sasa, kwa kutumia kanuni hiyo hiyo, si sawa CCM kuendelea kutawala mkijua wazi vyama vyote vina mapungufu? Kwani Nyerere aling'atuka kwa sababu Mwinyi alikuwa mbadala bora zaidi kwa Nyerere?

Kumbuka Mwinyi alisema akijilingnisha na Nyerere, yeye alijiona kichuguu n Nyerere mlima Kilimanjaro! Mnaweza kumona Mbowe kuwa Mlima Kilimanjaro, na Lissu kichuguu cha huko Sekenke, lakini filosofia ya maisha ni kukubali mabadiliko yanapostahili, hasa kama kutoyakubali kunaweza kuleta mtafaruku.
Inatumika nguvu kubwa kumpigia kampeni Mbowe, umefika wakati anakosa ubunifu wa kwenda sambamba na wakati uliopo.

CCM ni chama kikubwa sana na bado historia yake inao uhusiano wa moja kwa moja na ustawi mzima wa Tanzania.
 
Hapo ndipo mnapokosea. Unaona USA wameanza kuiga waafrika, wanafanya Republicans kuwa chama cha Trump. Umeona matokeo?
Republicans na Democrats wana misingi ya muda mrefu katika siasa za Marekani.

Huyo Trump waliyempisha madarakani sio mkubwa kuliko chama anachokiongoza. USA wana taasisi za kiuongozi zenye uhai wenye kueleweka tofauti na huku Afrika.
 
Back
Top Bottom