CHADEMA kataeni kuonewa tena , unyonge wenu sasa basi , wala Msiogope maana Shetani hajawahi kumshinda Mungu

CHADEMA kataeni kuonewa tena , unyonge wenu sasa basi , wala Msiogope maana Shetani hajawahi kumshinda Mungu

View attachment 1251530
View attachment 1251640

Unyama mliofanyiwa dunia nzima imeona na wala hakutakuwa na mshangao wowote iwapo mtakataa kuonewa tena , mmeuawa waziwazi , mmeteswa waziwazi , mmekamatwa hovyo hovyo , mmekatwa mapanga kwa namna walivyotaka , mmebambikwa kesi nyingi za kutunga , mmefungwa bila huruma , mmenyanyaswa kwa kiwango ambacho hakuna binadamu anayeweza kuvumilia

Hujuma za uchaguzi mnazofanyiwa nchi nzima na hasa kwenye Majimbo ya Chato , Mlimba , Kilombero na kwingineko itoshe kuwaamsha na kuanza KUMTUKUZA MUNGU kwa kukataa dhuluma kwa vitendo , ama hakika subira yavuta heri , hakuna tena nafasi ya kukubali kuonewa na watendaji wachovu wasiojua lolote kuhusu Demokrasia .

Mungu ibariki Chadema
Hayo yote yanasababishwa na Upinzani uchwara wa Tanzania

Duniani kote hakuna demokrasia bila Tume huru ya uchaguzi....... Lakini ninyi wapinzani mmekubali demokrasia " mfu" ili mradi tu mnapata RUZUKU!
 
Ndio mana mange aliwaita waoga na wapumbavu
Yaani we we umejitoa kabisa unawataka chadema wachukue hatua
Chadema ni akina nani hao?
Hahahaaa...... hahahaaa.... hahahaaa...... Hao ndio akina bwashee bhana!

Umewahi kusikia bwashee kachalangwa mapanga?!!
 
View attachment 1251530
View attachment 1251640

Unyama mliofanyiwa dunia nzima imeona na wala hakutakuwa na mshangao wowote iwapo mtakataa kuonewa tena , mmeuawa waziwazi , mmeteswa waziwazi , mmekamatwa hovyo hovyo , mmekatwa mapanga kwa namna walivyotaka , mmebambikwa kesi nyingi za kutunga , mmefungwa bila huruma , mmenyanyaswa kwa kiwango ambacho hakuna binadamu anayeweza kuvumilia

Hujuma za uchaguzi mnazofanyiwa nchi nzima na hasa kwenye Majimbo ya Chato , Mlimba , Kilombero na kwingineko itoshe kuwaamsha na kuanza KUMTUKUZA MUNGU kwa kukataa dhuluma kwa vitendo , ama hakika subira yavuta heri , hakuna tena nafasi ya kukubali kuonewa na watendaji wachovu wasiojua lolote kuhusu Demokrasia .

Mungu ibariki Chadema
Ujumbehuu ungekuwa na maana sana kama ungeweka na picha za zamani za akina Lipumba, Mrema, nk. kama ulivyofanya kwa CHADEMA, aana picha hizo ni za miaka iliyopita. Baadaye zungumzia vyama vyote vya upinzani na siyo tu CHADEMA. Hata hivyo wapo akinaMWangoka ambao kesi zao hazikuwahusu wanasiasa.

Ukiendelea kutaja CHADEMA tu, tunachoelewa unakuwa ni masumbufu ya ukabila yanayokuzunguka bila kujitambua.
 
View attachment 1251530
View attachment 1251640

Unyama mliofanyiwa dunia nzima imeona na wala hakutakuwa na mshangao wowote iwapo mtakataa kuonewa tena , mmeuawa waziwazi , mmeteswa waziwazi , mmekamatwa hovyo hovyo , mmekatwa mapanga kwa namna walivyotaka , mmebambikwa kesi nyingi za kutunga , mmefungwa bila huruma , mmenyanyaswa kwa kiwango ambacho hakuna binadamu anayeweza kuvumilia

Hujuma za uchaguzi mnazofanyiwa nchi nzima na hasa kwenye Majimbo ya Chato , Mlimba , Kilombero na kwingineko itoshe kuwaamsha na kuanza KUMTUKUZA MUNGU kwa kukataa dhuluma kwa vitendo , ama hakika subira yavuta heri , hakuna tena nafasi ya kukubali kuonewa na watendaji wachovu wasiojua lolote kuhusu Demokrasia .

Mungu ibariki Chadema
Haha maneno kama aya uwa mnaandikia chumbani , huku mtaani gari moja la polisi linatawanya watu elfu mbili aibu tupuu
 
Ujumbehuu ungekuwa na maana sana kama ungeweka na picha za zamani za akina Lipumba, Mrema, nk. kama ulivyofanya kwa CHADEMA, aana picha hizo ni za miaka iliyopita. Baadaye zungumzia vyama vyote vya upinzani na siyo tu CHADEMA. Hata hivyo wapo akinaMWangoka ambao kesi zao hazikuwahusu wanasiasa.

Ukiendelea kutaja CHADEMA tu, tunachoelewa unakuwa ni masumbufu ya ukabila yanayokuzunguka bila kujitambua.
huna hoja
 
View attachment 1251530
View attachment 1251640

Unyama mliofanyiwa dunia nzima imeona na wala hakutakuwa na mshangao wowote iwapo mtakataa kuonewa tena , mmeuawa waziwazi , mmeteswa waziwazi , mmekamatwa hovyo hovyo , mmekatwa mapanga kwa namna walivyotaka , mmebambikwa kesi nyingi za kutunga , mmefungwa bila huruma , mmenyanyaswa kwa kiwango ambacho hakuna binadamu anayeweza kuvumilia

Hujuma za uchaguzi mnazofanyiwa nchi nzima na hasa kwenye Majimbo ya Chato , Mlimba , Kilombero na kwingineko itoshe kuwaamsha na kuanza KUMTUKUZA MUNGU kwa kukataa dhuluma kwa vitendo , ama hakika subira yavuta heri , hakuna tena nafasi ya kukubali kuonewa na watendaji wachovu wasiojua lolote kuhusu Demokrasia .

Mungu ibariki Chadema
Hao Chadema unaowaambia ni kina nani? Wewe haumo?
 
Subiri dozi matokeo yakitangazwa kwa jiji la DSM..utalia sana dogo..

Viva Magufuri
 
Mbowe ataishia tu kusema CDM tunapenda amani bla bla bla.

Bora chama apewe kichaa kamanda Lema au Lissu au Heche,era za siasa za upole upole za dizaini za mbowe is gone&dead.
 
View attachment 1251530
View attachment 1251640

Unyama mliofanyiwa dunia nzima imeona na wala hakutakuwa na mshangao wowote iwapo mtakataa kuonewa tena , mmeuawa waziwazi , mmeteswa waziwazi , mmekamatwa hovyo hovyo , mmekatwa mapanga kwa namna walivyotaka , mmebambikwa kesi nyingi za kutunga , mmefungwa bila huruma , mmenyanyaswa kwa kiwango ambacho hakuna binadamu anayeweza kuvumilia

Hujuma za uchaguzi mnazofanyiwa nchi nzima na hasa kwenye Majimbo ya Chato , Mlimba , Kilombero na kwingineko itoshe kuwaamsha na kuanza KUMTUKUZA MUNGU kwa kukataa dhuluma kwa vitendo , ama hakika subira yavuta heri , hakuna tena nafasi ya kukubali kuonewa na watendaji wachovu wasiojua lolote kuhusu Demokrasia .

Mungu ibariki Chadema



KWA HALI INAYOENDELEA NCHINI SIO AFYA HATA KWA CCM ....KWANI INAENDELEA KUKITOA CHAMA KUTOKA KWENYE SIASA NA KUWA CHAMA CHA MABAVU .......NADHANI NI BORA KUSINGEKUWA NA UCHAGUZI
WIKI MBILI TU ZILIZOPITA VIONGOZI WALIKUWA WANAHAHA KUOMBA WANANCHI WAJIANDIKISHE .....LEO WAMESAHAU HASIRA ZA WANANCHI KUSUSA KUJIANDIKISHA NI HIZI TABIA ZA KIJINGA .....
TAYARI BAADHI YA MAENEO UVUNJAJI WA TARATIBU UNAENDELEA KUWAONDOA WAGOMBEA WA UPINZANI AU HATA WA CCM AMBAO WAPO WANAOLALAMIKIWA KUSHINDA NA KUKATWA .......DEMOKRASIA IKIKOSEKANA NJE YA CCM BASI KWA NDANI NDIO ITANYONGWA KABISA ..
KUNA MAENEO TAYARI INARIPOTIWA WANANCHI WATASUSIA UPIGAJI WA KURA , NA WAPO WENGINE WANAENDA MBALI ZAIDI KUPANGA KUTOTOA USHIRIKIANO KWA WATAKAOPITISHWA KWA NGUVU NA WENGINE WANAPANGA KUWADHURU VIONGOZI WATAKAOPITISHWA KWA HILA ......KIMSINGI KUNA UWEZEKANO MKUBWA SANA WA KUSHUHUDIA VURUGU KUBWA NCHINI ...NA KUNA KILA DALILI KUWA UVUMULIVU WA WANANCHI UMEFIKIA MWISHO
 
Kwenye Sanaa ya Siasa , ukiona watu wananyimwa kushiriki HAKI YA MSINGI ya kuchagua viongozi wanaowataka kuanzia ndani ya vyama kama [CCM] hadi uchaguzi wa ushindani kwa hila za kuondoa washindani ili watu waliopangwa wapite "BILA KUPINGWA" Basi tuko rasmi kwenye UDIKTETA MKONGWE sio UCHWARA tena , hili sio jambo la kujivunia hata kwa mwana ccm yeyote kufurahia haya yanayoendelea kwani hata huko ndani ya ccm wanachama waliopitishwa kwa KURA za MAONI wengi wamekatwa ...
SUALA HILI katika mizania za USALAMA ndio huzalisha INSURGENCY yaani kama wanasiasa wameshindwa basi VITAIBUKA VIKUNDI VYA KIHARAMIA AMBAVYO HAVIRIDHIKI NA HAYA YANAYOFANYIKA NA VITATUMIA UHARAMIA KUWASILISHA MAUMIVU YAO YA MOYO ....binadamu ameumbwa kufanya RESISTANCE hivyo siasa ya demokrasia ndio njia nzuri ya kufanya mwanadamu awe na njia rasmi ya kuwasilisha malalamiko yake kupitia kura na kwa viongozi aliowachagua ....
TUNACHOTAFUTIWA TUTAKIPATA MUDA SIO MREFU .....HII NI AIBU AIBU AIBU AIBU!!!!
 
Back
Top Bottom